Mama Samia akiweza kuvuka 2025, yatakuwa maajabu mapya ya ulimwengu!

Mama Samia akiweza kuvuka 2025, yatakuwa maajabu mapya ya ulimwengu!

Leo kulikuwa na tafrani fulani pale Ubungo Plaza sijaelewa undani wake ila kundi fulani la UVCCM limeswagwa kwa fimbo na kuingia kwenye bus aina ya Eicher, halafu kulikuwa na tenga limeegeshwa karibu na gate linasubiri watakaokinukisha (kuna kakijikundi ni kama kalikodiwa vile)
Je hukubahatika kupata japo "kapicha" kamoja,
 
Ni kiongozi muungwana Ila kazungukwa na kundi ambalo hawezi kujitoa, na bila Shaka wanamkaririsha kwamba Watahakikisha anashinda kwa kishindo. Tupiganie KATIBA kumaliza huu ugomvi.
nikisema JPM alikuwa rais bora kabisa aliyeweza kujisimamia msinishambulie haya ni maoni tu yangu lkn kwa hili la bandari limenihuzunisha sana tena sana kuona viongozi tuliowapa dhamana wakidanganya kweupe wananchi.shame on them.
 
[QUOTE="Amazon2, post: 46774852, member: 561461"
Ukitaka kuwa na siha njema...achana na siasa za Tanzania
[/QUOTE]
Kuacha ni vigumu kwani ziinaa athiri maisha yetu hata usipohusika.
 
Hii nchi ilikuwa bado haijafikia hatua ya kutawaliwa na Rais Mwanamke.

NB: Naomba nisieleweke kama mbaguzi. Ninawapenda akina mama. Na wana mchango mkubwa sana katika maisha yangu. Ika nina sababu za msingi.
Inategemea ni mama wa aina gani mliyemweka,mwendazake alimchagua maza kwakua aliona ni clueless hatimzuia ktk kuendesha serikali yake,na hilo lilijidhihirisha ktk utawala waka hakuwah mshirikisha mambo ya msingi, inshort alikuwa ceremonial vp,ndo mana alitaka kujiudhulu ,so we failed from the beginning.Wanawake capable waligombea ila kutokana na mfumo dume hawakutoboa🙏
 
Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.

Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Nani wa kumzuia? Hizo kura zinazopigwa za urais unadhan ndizo huamua matokeo? Think about it!!
 
Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.

Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Ingekuwa sanduku la kura ndiyo linalotupatia viongozi kweli ingekuwepo hatihati ya kuchaguliwa kwake lakini kwa mfumo wa wizi wa kura na mabavu ya vyombo vya dola atakuwepo sana tu hadi 2030 labda Maulana atuamulie vinginevyo.
IMG-20200726-WA0000.jpg
IMG-20230406-WA0001.jpg
 
Inategemea ni mama wa aina gani mliyemweka,mwendazake alimchagua maza kwakua aliona ni clueless hatimzuia ktk kuendesha serikali yake,na hilo lilijidhihirisha ktk utawala waka hakuwah mshirikisha mambo ya msingi, inshort alikuwa ceremonial vp,ndo mana alitaka kujiudhulu ,so we failed from the beginning.Wanawake capable waligombea ila kutokana na mfumo dume hawakutoboa[emoji120]
Mungu upanga alitakolo na ndiyo imekuwa hivyo.
Pia kumbukeni kurudisha marejesho hapa JF pindi mama atakapo endelea kuwaprove wrong.
 
Hii nchi ilikuwa bado haijafikia hatua ya kutawaliwa na Rais Mwanamke.

NB: Naomba nisieleweke kama mbaguzi. Ninawapenda akina mama. Na wana mchango mkubwa sana katika maisha yangu. Ika nina sababu za msingi.
Hapana. Useme nchi za Afrika hazikuwa tayari (hazikujiandaa) kujitawala. Huo ndio ukweli.

Afrika ilibidi itawale kwa miaka 80-100 zaidi ili iweze kujitawala. Wenye akili zao wanalifahamu vizuri hilo suala.
 
Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.

Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Anaweza kubadili upepo mpaka watu wakashangaa akitumia formula ya papo kwa hapo yaani afanye mambo yenye matokeo ya papo kwa hapo, kama ni barabara basi zinajengwa usiku na mchana zinakamilika haraka sana, huduma za papo kwa hapo kama ni kupunguza umeme au kupata gesi basi zoezi linakuwa la haraka kama moto wa mabua, kama ni wawekezaji basi wanapewa muda mfupi kujenga miundo mbinu na watu wakiwa wanapata Yale matokeo Wala hata wanasahau walivyokuwa wanalalamika, yaani kazi za Jana nilipita niliona kiwanja Leo jumba limejengwa huwa zinaokoa sana.

Ila Sasa hizi nchi zenye uchumi mdogo na miradi inafanywa polepole huku watu wakipoozwa wawe na subira ikiwa hivyo kelele zitakuwa nyingi hiyo 25.
 
Hii nchi ilikuwa bado haijafikia hatua ya kutawaliwa na Rais Mwanamke.

NB: Naomba nisieleweke kama mbaguzi. Ninawapenda akina mama. Na wana mchango mkubwa sana katika maisha yangu. Ika nina sababu za msingi.
Nchi gani imeendelea kwa kuongozwa na mwanamke?
 
Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.

Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Ila kwa Tz atavuka tu tena kwa KISHINDO
 
Ni kiongozi muungwana Ila kazungukwa na kundi ambalo hawezi kujitoa, na bila Shaka wanamkaririsha kwamba Watahakikisha anashinda kwa kishindo. Tupiganie KATIBA kumaliza huu ugomvi.
Rost Tamu na kundi lake
 
UNAFIKIRI ni maamuzi ya mama pekee!!!?

System ungekua haipo upande wake hata uwezo wa kutia saini asingekua nao!!

Inawezekana system imeona ibinafsishe ili ikusanye kodi ya kueleweka kuliko kutengeneza mapato toka KWA usimamizi wa wabongo ambao una mianya ya wizi na kukosa ufanisi kabisaa!!

Tusubiri tuone faida tutakayopata!!!
Kama system imeshindwa kupambana na wizi wa ndani wa nje watauweza?
 
Back
Top Bottom