Je hukubahatika kupata japo "kapicha" kamoja,Leo kulikuwa na tafrani fulani pale Ubungo Plaza sijaelewa undani wake ila kundi fulani la UVCCM limeswagwa kwa fimbo na kuingia kwenye bus aina ya Eicher, halafu kulikuwa na tenga limeegeshwa karibu na gate linasubiri watakaokinukisha (kuna kakijikundi ni kama kalikodiwa vile)
nikisema JPM alikuwa rais bora kabisa aliyeweza kujisimamia msinishambulie haya ni maoni tu yangu lkn kwa hili la bandari limenihuzunisha sana tena sana kuona viongozi tuliowapa dhamana wakidanganya kweupe wananchi.shame on them.Ni kiongozi muungwana Ila kazungukwa na kundi ambalo hawezi kujitoa, na bila Shaka wanamkaririsha kwamba Watahakikisha anashinda kwa kishindo. Tupiganie KATIBA kumaliza huu ugomvi.
Lakini ufahamu kuwa chawa ni mdudu asiye na ubongo.Lazima apite, sisi chawa tupo
Inategemea ni mama wa aina gani mliyemweka,mwendazake alimchagua maza kwakua aliona ni clueless hatimzuia ktk kuendesha serikali yake,na hilo lilijidhihirisha ktk utawala waka hakuwah mshirikisha mambo ya msingi, inshort alikuwa ceremonial vp,ndo mana alitaka kujiudhulu ,so we failed from the beginning.Wanawake capable waligombea ila kutokana na mfumo dume hawakutoboa🙏Hii nchi ilikuwa bado haijafikia hatua ya kutawaliwa na Rais Mwanamke.
NB: Naomba nisieleweke kama mbaguzi. Ninawapenda akina mama. Na wana mchango mkubwa sana katika maisha yangu. Ika nina sababu za msingi.
Nilijitajidi ila ni kama walinusaJe hukubahatika kupata japo "kapicha" kamoja,
Nani wa kumzuia? Hizo kura zinazopigwa za urais unadhan ndizo huamua matokeo? Think about it!!Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Ingekuwa sanduku la kura ndiyo linalotupatia viongozi kweli ingekuwepo hatihati ya kuchaguliwa kwake lakini kwa mfumo wa wizi wa kura na mabavu ya vyombo vya dola atakuwepo sana tu hadi 2030 labda Maulana atuamulie vinginevyo.Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Mungu upanga alitakolo na ndiyo imekuwa hivyo.Inategemea ni mama wa aina gani mliyemweka,mwendazake alimchagua maza kwakua aliona ni clueless hatimzuia ktk kuendesha serikali yake,na hilo lilijidhihirisha ktk utawala waka hakuwah mshirikisha mambo ya msingi, inshort alikuwa ceremonial vp,ndo mana alitaka kujiudhulu ,so we failed from the beginning.Wanawake capable waligombea ila kutokana na mfumo dume hawakutoboa[emoji120]
Hapana. Useme nchi za Afrika hazikuwa tayari (hazikujiandaa) kujitawala. Huo ndio ukweli.Hii nchi ilikuwa bado haijafikia hatua ya kutawaliwa na Rais Mwanamke.
NB: Naomba nisieleweke kama mbaguzi. Ninawapenda akina mama. Na wana mchango mkubwa sana katika maisha yangu. Ika nina sababu za msingi.
Anaweza kubadili upepo mpaka watu wakashangaa akitumia formula ya papo kwa hapo yaani afanye mambo yenye matokeo ya papo kwa hapo, kama ni barabara basi zinajengwa usiku na mchana zinakamilika haraka sana, huduma za papo kwa hapo kama ni kupunguza umeme au kupata gesi basi zoezi linakuwa la haraka kama moto wa mabua, kama ni wawekezaji basi wanapewa muda mfupi kujenga miundo mbinu na watu wakiwa wanapata Yale matokeo Wala hata wanasahau walivyokuwa wanalalamika, yaani kazi za Jana nilipita niliona kiwanja Leo jumba limejengwa huwa zinaokoa sana.Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Nchi gani imeendelea kwa kuongozwa na mwanamke?Hii nchi ilikuwa bado haijafikia hatua ya kutawaliwa na Rais Mwanamke.
NB: Naomba nisieleweke kama mbaguzi. Ninawapenda akina mama. Na wana mchango mkubwa sana katika maisha yangu. Ika nina sababu za msingi.
Bado kuliwa tu wwHahahaaa!.Wivu,uchoyo,roho mbaya na ubinafsi wenu haviwezi kumrudisha mama Sa100 nyuma.Nenda mama ukaiponye nchi.View attachment 2654707
Ila kwa Tz atavuka tu tena kwa KISHINDOKwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Rost Tamu na kundi lakeNi kiongozi muungwana Ila kazungukwa na kundi ambalo hawezi kujitoa, na bila Shaka wanamkaririsha kwamba Watahakikisha anashinda kwa kishindo. Tupiganie KATIBA kumaliza huu ugomvi.
Kama system imeshindwa kupambana na wizi wa ndani wa nje watauweza?UNAFIKIRI ni maamuzi ya mama pekee!!!?
System ungekua haipo upande wake hata uwezo wa kutia saini asingekua nao!!
Inawezekana system imeona ibinafsishe ili ikusanye kodi ya kueleweka kuliko kutengeneza mapato toka KWA usimamizi wa wabongo ambao una mianya ya wizi na kukosa ufanisi kabisaa!!
Tusubiri tuone faida tutakayopata!!!
Wanajua na wao wanaiba nini!!?Kama system imeshindwa kupambana na wizi wa ndani wa nje watauweza?