Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

WaTz tuchukueni hatua za kujikinga na Covid-19 ikiwa pamoja na kuvaa barakoa. Uzembe na kupuuuza kutatumaliza. Dawa ya kiburi ni kaburi.
Hiki ulichoandika hapa ni sahihi kabisa, anza na familia yako, ndugu zako, ukoo wako upande wa baba na wa mama. Tumia uwezo wako wote kuhakikisha wamekuelewa na wanazingatia maana Dawa ya kiburi ni kaburi kama ulivyosema.

Mimi mbwinu zangu kwenye COVID nilishaanza na nimeshafanikiwa kwa 90%
 
Msitupigie kelele na mibarakoa yenu! Sasa tumeamua na neti hatutaki kutumia tena eti sijui kukinga malaria upuuzi mtupu!
Tuacheni tushavurugwa na msiba, ebo!
 
Msitupigie kelele na mibarakoa yenu! Sasa tumeamua na neti hatutaki kutumia tena eti sijui kukinga malaria upuuzi mtupu!
Tuacheni tushavurugwa na msiba, ebo!
Pole mwaya😭💔💔💔💔
 
Nimependa pale ulipomuonesha kumbukumbu Rais wa moyo wao Tundu Lissu akichanja mbuga kwenye mikusanyiko bila barakoa.

Halafu kina Evarist Chahali na wenzake wanasema watanzania watakufa kule kwenye kumuaga rais sababu hakuna social distancing wala barakoa

Wenyewe wanasema mbona huyo tundu alikuja bila barakoa na hakufa
 
Atakwambia alikua hakai nyumba 1 na Mama Janet, walikua wanaingia mlango mmoja ila ndani ya ule mlango kuna nyumba ingine mama janet anaenda na Mh. anaenda.

Let this people talk,you can not stop them "we can only ignore them"
Usidharau kila taarifa unayoambiwa. Hao ni watu na wanaishi na watu.

Wewe ulijua Magu ana watoto 7 Wakati Janet wake ni wawili 2 ??
 
Good analysis!!!
 
Evarist MKUU mbona unabeba tumizigo ambato sio saizi yako!

Itunze heshima yako MKUU tuhoja kama hutu sio twa kutoa mtu kama wewe.
 
WANAFIKI WANAONEKANA KWA MACHO ...KINA JAFFO NA KABUDI WALIOKUWA WAIMBA SIFA NA KUMTIA NDIMU MAGUFULI ASIVAE BARAKO LEO HII WAO NDIO WANAVAAA

SAMIA JIEPUSHE NA WANAFIKI
 
Wanajifanya vipofu kisa Lissu
 
Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote... Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini

Kwahiyo JK hatakufa kwakuwa ni “mtoto wa Mjini”?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…