Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa

Huyo mgonjwa ndiye ambae hafuati katiba. Km ikitokea akafariki bs mama Samia atachukua nafasi, no way out. Unaowadharau ww ni watu wamestaarabika na wamejaribu kukufumbua akili kwmb ikionekana Rais anaumwa kiasi cha kushndwa kutekeleza majukumu basi Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais. Mnaweka uadui mbele wkt hamuelewi ki2! hi nch kuna watu wana vichwa vigumu sana.
 
Lakini inaonekana kama vile ni yeye ndiye anayedai wa kukaguliwa kaguliwa na mafua na Homa... Ila hatujui how serious maana na Mama inaelekea leo ameimarishiwa ulinzi sana.
 
Trump na Lissu nani ana unafuu?
Swali bovu.

Unafuu wa kitu gani?

Kwa nini isiwe Lissu na Magufuli, "nani ana nafuu"

Kama mmoja wa hao anaheshimu na kufuata taratibu, sheria ,Katiba ya nchi; huyo ana nafuu zaidi ya mwenzake.

Tumekwishaona Magufuli hana breki kuhusu haya mambo.
 
Wakati Tundu Lissu amepigwa risasi na watu wanataka kufanya maombi mlikuwa mnatawanya watu kwa mabomu ya machozi.
Sasa hivi anakaguliwa mafua binadamu wenu mnataka mshikamano kwa taifa.
Yaani taifa lishikamnae na watesi, wauaji. Tushikamane kwa lipi?
Unashindwa kutofautisha binadamu na wanyama wasio na akili na utashi. Mtu anajeruhiwa kwa risasi 30+ halafu inakatazwa kumuombea!
 
Inawezekana sana ukawa sahihi mkuu.
 
Dah.. kwa maneno ya TL huko Twitter, basi kweli dunia ni mapito tu jamani. Cha muhimu hapa duniani ni kuishi vizuri na watu na kufata misingi aliyoiweka Muumba basi!! Hakika hatuijui kesho yetu. Inasikitisha sana sana.
Sijajua ni nini hasa kinakufanya usikitike!
 
Niwahakikishie Wananchi, Tanzania tuko salama, chapeni kazi ili kuleta maendeleo, uimara wa Taifa letu unaleta maneno mengi, msibabaishwe na maneno ya Watu walioko nje”.

Mhe. Samia Suluhu Hassan – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Ukiitaka Tanzania ya Magufuli baada ya muda wake. Omba mungu PM ateuliwe VP (whilst acting as the president) na Jaffo/Biteko awe PM hao ndio waliomuelewa.
Utashangaa sana mkuu.

Katika orodha hiyo, sioni hata mmoja anayeweza kumkaribia hata kwa robo Magufuli kwa lolote lile, mazuri au mabaya yake.

Ukitaka mtu anayemkaribia Magufuli kwa mabaya, mtu sahihi atakuwa Mwigulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…