Wanajua vizuri nilichoandika lakini Nasimama na mtazania mwenzangu Mama Suluhu na nimhakikishie mengine atuachie watanzania wenzie it is non of her busness .Fisi wa nje hawezi pewa bucha ya Tanzania leo kesho na hata mileleHuyo fisi ni nani mkuu mbona unaongea kwa mafumbo
War haihitaji mahakaama ku approve warKilling people in our country is not permitted labda mpaka mahakama itoe maamuzi hayo
Je hao watu wamehukumiwa na mahakama?
Eeenh; hiyo picha ndiyo ya ukaguzi au sio?Kukaguliwa kaguliwa Koronya!😄😄😄
View attachment 1726406
Andiko kama hili, nalo kweli unajivunia kuwa umetoa mchango wa mawazo kwa wengine?War haihitaji mahakaama ku approve war
Huyo ndo rais lazima alindwe utaratibu unavokamilishwa ,msije mkamzuru ukaitishwa uchaguzi mwingine bure.mana nyie kwakukagua hamjambo
Taifa linachafuliwa hapa hapa, sio huko kwingine.Kilichotokea ni kuibuka kwa mzushi huko Ubelgiji anayelichafua taifa letu!
Kama hajapotea si angeonekanaKwani alipotea??
Mkuu wala usisikilize hizi mitandao nakwambiaje mwamba yupo fresh kabisa.
Kiswahili cha Kizanzibari kinachotumika vijijini kumaanisha, kutembelewa kwa lengo la kujuuliwa hali/kusalimiwa na kama hayo.Kukaguliwa kukaguliwa ndiyo anamaanisha nini?
Huyo mjinga amechanganyikiwa hajui hata anaandika nini.YEHO..., YEHO..., YEHOOOO........
Nakushangilia mkuu.
In fact, there is a good ring to your name..... YEHO..., YEHOOOO,
"...we declare war with him, and his agent waage kabisa familia zao, any time we will kill them from now"
Utahangaika sana YEHODAYA.
You're so helpless, hadi unatia huruma.
Sijui itakuwaje 'sponsor' akirudisha namba?
Mi naona kwa uoga,hajui hatma yake.Naona kama vile anaandika kwa jazba.
sauti ikitetemeka mtasingizia network au speaker? Rais anaumwa, akiongea basi ni kwa shida mno.Magufuli piga hata simu tukusikie...
Wapo watu hawaishi hukuu... Hawali hawanywi...
Magu piga walau simu.
Ohhoohh!!