Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa

We umeabiwa ni wakati wa kushikamana katika kipindi hiki,
Binadamu kukaguliwa ni kawaida.
Mbona unaleta chuki tena Hujamsikia makamu wa Raisi alichosema?
 
Sasa hasira za nini mkuu kwani sisi ndio tumeleta huu ugonjwa? Tumuombee mh.rais apate nafuu.
 
Hakuna mshikamano na majizi ya kura. Kimsingi hatujali anayesema anaishi wapi au anatoka wapi, tunajali uzito wa hoja inayosemwa. Awaunganishe wanaccm maana wao ndio wafaidika wa dhuluma za utawala huu.
 
Huu ni wakati wa kushikamana wewe unawaza urais tu.
 

Bado hujapanick, utapanick sana.
 
Naitika niliyokukosea Sasa unihurumie, moyo wanichechemea, mwili damu hunikauka.......maini yanakataaaaa
 
😎😎😎😶😶😶😏😏😑😐😐🤨🤨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…