Mama Samia: Paul Makonda alisimama ndani ya Bunge la Katiba na kusema mimi nafaa kuwa Makamu wa Rais na Bunge zima likashangilia!

Nimekuelewa bwashee!
 
Bwashee umeongea kwa uchungu sanaa. Polee siyo yote yanayofanyika duniani yatakufurahisha mengine yapo juu ya uwezo wako. Ndio hivyo Makonda ni next MP wa kigamboni.
 

posti hiyo ya ukurasa wa BUNGENI LEO INAONESHA JINSI ALIVYOTABIRI, JAPO ALITABIRI PIA MIZENGO NDIYE ATAKAYEKHA RAIS
Haha ha, kumbe pamoja na Jiwe kumpenda sana Bashite lakini hakuwa chaguo la Moyo wa Bashite?
Kwa maana halisi ni kwamba Jiwe anajigonga tuu kwa Bashite, mapenzi ya Bashite yako kwa Pinda.
cc; Ikulu Chamwino
 

posti hiyo ya ukurasa wa BUNGENI LEO INAONESHA JINSI ALIVYOTABIRI, JAPO ALITABIRI PIA MIZENGO NDIYE ATAKAYEKHA RAIS
Ukimsikiliza vizuri makonda utakuja kugundua sio mtu wa kawaida kwenye hii nchi japo wengi tunamchukulia poa ila muda utaongea yetu macho
 
Ndiyo maana alipewa zawadi ya ukuu wa Mkoa
 
Kwa hiyo tumchukulie exRC ni MTABIRI? MPIGA RAMLI? NABII? MGANGA WA KIENYEJI? Je haya yanahusiana vipi na UROHO WA MADARAKA? Je aliwaambia nini kina Rizwan au Ben6?
 
Agenda ninayo iona hapa ni kutaka kumpenyeza makonda kinamna baada ya wajumbe kumvimbia.
Dalili iko wazi kabisa....hapa wanajaribu kupima reaction ya wananchi/wapigakura ukiacha 'wajumbe'.
 
At his age,bado Makonda ana nafasi kubwa tu kwenye siasa za nchi hii kuliko watu wanavyofikiria.
Umri alionao unaweza pia kuwa ni kigezo cha kuwa na muda wa kutosha kujizika kikamilifu kwenye siasa za Tanzania.

Kuna wengi ambao waliwahi kuwa viongozi wajati wa ujana, na ikawa ndiyo mwisho wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugulile awe makini sana na usalama wake, asijwe akapigwa ' juju' hapa majuju ni mengi sio lazima iwe uchawi
 
Mkuu unakumbuka ulivyotokwa povu huu uzi.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…