Mama Samia: Paul Makonda alisimama ndani ya Bunge la Katiba na kusema mimi nafaa kuwa Makamu wa Rais na Bunge zima likashangilia!

Kwahiyo mama Samia nae aseme BASHITE anafaa kuwa VICE President? Amuache tu Bashite awe anakwenda kula ubwabwa nyumbani kwake, mambo ya serikali Bashite kisha yanyea; mama asije kujipaka kinyesi bure!!!
Huyo anafaa awe jela angojee ushahidi kukamilika miaka 10 ndani kama walivyowafanyia wenzao wazee wa escrow,kitilya na mkwe wa Lowasa.
 
Kumsafisha kweni alichafuka wapi? Yamkini wewe ni mchafu kuliko yeye,mdhambi kuliko yeye,masikini kuliko yeye,huna dini na imani kuliko yeye

Lakini unaropoka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…