Mama Samia Suluhu anajua kuongea Kiingereza?

Ana afadhali kulinganisha na cha magufuli. Yule msukuma hata chakuandikiwa hawezi kusoma [emoji1787]
 
Hujui kitu! Pumzika!
 
Boris Johnson anajua kiswahili?
 
Duh huu uzi sio wakuwasilishwa na mtu mwenye weledi na jamvi hili kama nyani , kwahili ndugu umejidhalilisha zamani ulikua na nyuzi za maana sijui unazeeka sasa
 
Watu wamepanda jazba baada ya swali hili kuulizwa...!

Inawezekana 90% ya Viongozi wetu tunaowaita ni wasomi hawajui kiingereza ndio maana huwa wanakwepa international meetings, wanatuonea na kujidai tu hapa bongo

Inashangaza mtu kusoma kwa lugha ya kiingereza tangu awali then anakuwa kiongozi wa Taifa, means anakutana na mataifa mengine then hajui international language. Na wengine eti wamesoma nje wanakozungumza lugha hiyo officially na mtaani

Hawa wasomi wa kukariri bana, balaa tupu
 
Mmoja anajua kwa ufasaha zaidi ya mwingine.
 
Bashite naye vipi mkuu ngeli yake?
 


Wewe hapo kimekusaidia nini kiingereza mkuu? Si ndio nyie wengi wenu mnaangukia kuajiriwa na wa darasa la 7 na form 4, ambao hata kiingereza hawakijui!!
 
Kiingereza ni kiswahili cha dunia, ukiwa na madaraka halafu umepata elimu yako kwa lugha hiyo, ni aibu na fedheha kutokuijua fullstop.

Puttin, Raisi wa china na kim wanajua kiingereza? Au mliambia ukijua kiingereza ndio utapata mafanikio/uchumi utakuwa kwa haraka?


Wewe unaeongea kiingereza umefaidikachk nini!! Si ndio nyie wengi wenu mnaishia kuomba omba mitaani/kuajiriwa na ambao wameishia std7 na form 4!!! Au sio nyie!!!!
 
Old school hamna kitu huyo
Huyu mimi nilimuona akiwa Afisa elimu kule Singida; sijui kama ngeli inapanda sijawahi kumshuhudia! Mataga hawathamini intenational relations, they belive in living in AUTARKY hence kutema YAI sio muhimu!
 
Mtu mweusi huwa ananichosha akili 😄😄 akijua kuongea kiingereza anajiona ndio the king....wasukuma tunasema "Mashkolo mageni" au kipofu kaona mwezi 😂
 
Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!
Umeelewa lakini alichosema? Maana elimu ni ya mtaala wa kiingereza sasa usipojua kuna walakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…