Hujui kitu! Pumzika!Warusi, wachina, wakorea pamoja na kutumia lugha zao hawajawahi dharau Kiingereza wanakigonga vizuri sana lakini pia hawatembezi bakuli kuomba kujengewa vyoo wala kuomba pesa za tohara.
Sasa ukitaka kujua kama kiingereza lugha ya dunia au la muulize Mzee wetu anapo omba mikopo bank ya dunia huwa anaandika kwa lugha gani?
Boris Johnson anajua kiswahili?Hey peeps, let’s have some little fun....shall we?
Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].
Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.
Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.
Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.
Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.
Na Kasimu Majaliwa naye je?
Mmoja anajua kwa ufasaha zaidi ya mwingine.Aisee nawewe bana, Mtu kuuliza swali la kawaida ni kutuchanganya.
BTW, hata mimi nilikuwa natamani sana kujua kama hawa wawili wanajua kiingereza vizuri au ni Mkuu tu ndio alikuwa akisemwa.
Je wanajua kuzungumza kiingereza? Ndio swali la msingi hapa.
Sijui.Boris Johnson anajua kiswahili?
Bashite naye vipi mkuu ngeli yake?Anapiga ngeli nzuri sana.
binafsi sikuwahi kumsikiaga mzee Mwinyi akiongea kingereza siku niliyosikia kingereza chake kimenyooka hatari. Mama Samia nimemsikia akiongea, kimenyooka ila cha kipole pole vilele kama anavyoongea kiswahili...
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaaaaa......Huyu huyu Mwinyi mwenye diploma ya kiswahili alhaj dingi yake Rais wa zenj?
Hey peeps, let’s have some little fun....shall we?
Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].
Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.
Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.
Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.
Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.
Na Kasimu Majaliwa naye je?
Kiingereza ni kiswahili cha dunia, ukiwa na madaraka halafu umepata elimu yako kwa lugha hiyo, ni aibu na fedheha kutokuijua fullstop.
Huyu mimi nilimuona akiwa Afisa elimu kule Singida; sijui kama ngeli inapanda sijawahi kumshuhudia! Mataga hawathamini intenational relations, they belive in living in AUTARKY hence kutema YAI sio muhimu!
Umeelewa lakini alichosema? Maana elimu ni ya mtaala wa kiingereza sasa usipojua kuna walakini.Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!
Sawa, wacha nikujuze, hajui.Sijui.