Have you ever heard of something called shares? Kama ushaiskia then you shouldn't ask such lame question.Wewe binafsi utafaidika na nini safaricom ikiingia Tz? Bidhaa za malkia na Odinga family za Unilever zikiingia Tz una faidika na nini?
Na wewe unawashwa washwa kwa nini?Wewe binafsi utafaidika na nini safaricom ikiingia Tz? Bidhaa za malkia na Odinga family za Unilever zikiingia Tz una faidika na nini?
Acha kubadilisha Mada... Unaruka ruka tu. Mimi nimekuuliza tuje kuwekeza kwenye kitu gani hapo kenya? Kuna fursa gani kwenye huo uchumi feki uliohodhiwa na wachache? Nchi hadi ukulima tu umeshikiliwa na cartels.. Man eat man
Mje, Ila mje kwa kutulia.. Taratibu zipo mzifuate.
Kibinafsi mimi sioni kama Kenya itafaidika sana kutokana na uhusiano wetu na Tanzania. Malazy wana wivu na Kenya. Sasa wakiona tunafaidika wanaanza kufunga border na kufuriana kama mandazi. Sasa unategemea kufanya biashara vipi na jirani anayekuonea wivu? Jirani mjinga anayesema kwamba tunamuibia rasilimali zake. Aisee kula na kipofu ni kazi ngumu sana.Managing expectations is very crucial in life. What you are mentioning in here you remind me back end of 90's when we were discussing about how to revive and sustain the defunct eac. They were yapping the same way you do now. Ask them, what was the outcome. Watakupa majibu.
😀😁😀
Bwana mapesa kumbe uko na share safaricom na Unilever... Hahaha huyo supplier wako wa leo amenyonga kitu kiko firifiri kweli... UsimuacheeeHave you ever heard of something called shares? Kama ushaiskia then you shouldn't ask such lame question.
Tony... Hahaha tulia...Na wewe unawashwa washwa kwa nini?
Kibinafsi mimi sioni kama Kenya itafaidika sana kutokana na uhusiano wetu na Tanzania. Malazy wana wivu na Kenya. Sasa wakiona tunafaidika wanaanza kufunga border na kufuriana kama mandazi. Sasa unategemea kufanya biashara vipi na jirani anayekuonea wivu? Jirani mjinga anayesema kwamba tunamuibia rasilimali zake. Aisee kula na kipofu ni kazi ngumu sana.
Kuna fursa gani hapo kenya watu waje chap chap kuwekeza?Sijahamisha maana tunawazidi kuwekeza kwenye mataifa yote majirani zenu, nyyie waoga waoga tu halafu wazembe wa kutupwa, kwenu huko labda Wachagga tu ndio huwa na uthubutu na kwa kweli wapo wengi huku wamewekeza, lakini wengi wenu aidha mje mjitangaze waganga wa kienyeji akina kinjeketile au omba omba, hamna zaidi ya hapo.
Mzee yani Rais aje Kenya!!? Thubutu!!Najua Suluhu amelazimika kuja Kenya after bidhaa karibu Zote za TZ kupigwa Ban,inchi imefilisika na wakulima waTZ wanateta pamoja na Makampuni zao zinaenda losses.Msiwai Dharau Sisi Wakenya,🇰🇪We are the Customers,respect us
Hujielewi Nchi nyingi zinatuzunguka Kenya sio nchi pekee tuaziuzia chakula sisi tunauza vyakula mpaka nchi za kusini mwa afrika.uchumi wa Tanzania unaendelea kukua vizuri.atakaye adhirika ni nyie mtakufa njaa.Najua Suluhu amelazimika kuja Kenya after bidhaa karibu Zote za TZ kupigwa Ban,inchi imefilisika na wakulima waTZ wanateta pamoja na Makampuni zao zinaenda losses.Msiwai Dharau Sisi Wakenya,[emoji1139]We are the Customers,respect us
Sio nyinyi pekee mnaopanda mahindi katika dunia hii ya Mungu.Hujielewi Nchi nyingi zinatuzunguka Kenya sio nchi pekee tuaziuzia chakula sisi tunauza vyakula mpaka nchi za kusini mwa afrika.uchumi wa Tanzania unaendelea kukua vizuri.atakaye adhirika ni nyie mtakufa njaa.
get ready to see more kenyans coming to Tz and het employedPlease get ready to see Naivas, Quickmart, Tumaini among other big retailers in Tanzania. Get ready for Cooperative Bank to enter in Tanzania, get ready for more of Kenyan made products. Get ready to see most big companies in Tanzania hiring Kenyans as experts to work for them.
Fantastic, Tanzania welcomes investors..let them come, employ Tanzanians, pay taxes an buy tz made goods to build their factories/ officesPlease get ready to see Naivas, Quickmart, Tumaini among other big retailers in Tanzania. Get ready for Cooperative Bank to enter in Tanzania, get ready for more of Kenyan made products. Get ready to see most big companies in Tanzania hiring Kenyans as experts to work for them.
Wewe mwenyewe hapo ulipo, hivi waweza wekeza nini huku KE, wakati huna hela, wacha wakina dagotee waongee hivyo sio wewe!Sasa tutakuja kuwekeza kwenye nini huko jangwani? Nchi yenye uchumi hewa na rasilimali zimeshikwa na wachache..
Na bado nikafikiria nimeona kila kitu! 🤣 🤣 🤣Fantastic, Tanzania welcomes investors..let them come, employ Tanzanians, pay taxes an buy tz made goods to build their factories/ offices
Profit back to Kenya in dollars resulting in strengthening of currency.Fantastic, Tanzania welcomes investors..let them come, employ Tanzanians, pay taxes an buy tz made goods to build their factories/ offices
Get employed by their own home companies, that's what he means! 🤣get ready to see more kenyans coming to Tz and het employed
Yeah, bringing home part of their salaries.get ready to see more kenyans coming to Tz and het employed