Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

kaa kwa kutulia... hakuna kubana bana tena. Mama mwenyewe ameridhia. tarehe 04/05 anakuja mzima mzima kuja kuachia. kitakochofuata ni sisi kumimina magoli
Hahaha. Hii kauli ni nzito sana.
 
chochote kitakachotekea ukweli ni kuwa kunao watanzania wengi tu wasiowapenda wakenya hata iwe vipi, sasa huyo bimkora aka 1% anakuja kivyake na serikali yake
 
Hujielewi Nchi nyingi zinatuzunguka Kenya sio nchi pekee tuaziuzia chakula sisi tunauza vyakula mpaka nchi za kusini mwa afrika.uchumi wa Tanzania unaendelea kukua vizuri.atakaye adhirika ni nyie mtakufa njaa.
Nchi yenu imezungukwa na Nchi za wakulima Sasa mtauzia wakulima na Ni Kama nyinyi Tu.kwanza Kenya Ndio Nchi inakula Ugali kwa wingi na wivu yenu mpaka mnafukuza sisi Customers,Tutanunua kwingine Mkicheza😃
 
Nchi yenu imezungukwa na Nchi za wakulima Sasa mtauzia wakulima na Ni Kama nyinyi Tu.kwanza Kenya Ndio Nchi inakula Ugali kwa wingi na wivu yenu mpaka mnafukuza sisi Customers,Tutanunua kwingine Mkicheza😃
Wakenya hamuaminiki. Mlipopokea mahindi kutoka DRC kwasababu mna mnalolitafuta huko mkatuletea ngonjera za mahindi yetu naya Uganda yanasumu. Njaa ikiwashika mnatuita ndungu moja. Nyie Omera shida sana kudeal nanyi.
 
Tunawalisha 100% na uchumi wenu wa makaratasi na mikopo
😃Correction,Tunanunua we are CUSTOMERS wwe Bongo lala,Tukiona hatupendi Duka yenu Tunaweza badilisha ,we have the Money🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakenya hamuaminiki. Mlipopokea mahindi kutoka DRC kwasababu mna mnalolitafuta huko mkatuletea ngonjera za mahindi yetu naya Uganda yanasumu. Njaa ikiwashika mnatuita ndungu moja. Nyie Omera shida sana kudeal nanyi.
Tutanunua Mexico ikuje na Ndege za JKIA🤣🤣🤣
 
Mpaka umeniquote mara mbili, kweli mnaumia, halafu naona mama kachaguliwa 100% ndani ya chama.....poleni "gang"
Acheni kujimwambafy wakati kila kitu mnatutegemea,muache chokochoko zenu za kijinga,muache kuchafua mahindi yetu.
 
Sio Mali ya Mzungu Ni Mali ya Serikali ya Kenya,labda uje ununue shares
Na hizi zenye usajili wa Kenya tz ni mali ya nani?

You guys mnavyosikia Kenya imeongoza kuwekeza Tanzania mnafikiri ni mlalahoi wa kikikuyu?

images (65).jpeg
download (1).png
images (64).jpeg
1985.png
images (1).png
images (63).jpeg
download.png
 
Back
Top Bottom