Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

Huyo David Ansell amekuwa appointed kuwa chairman na anapokea mshahara ila yeye sio mmiliki wa Equity. Major shareholders wa Equity wanajulikana ni akina nani. Na wala sio siri.
Major shareholders ni wazungu tupu

Screenshot_20210502-215955.png
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame Samia Suluhu Hassan

Kila La Heri Huko Kenya Kwenye Majukumu
 
Karibu mama,Tulete mbrrka,heshema,dosari na mapenzi ya aina peke kutoka zanzibar. Safi sana mama.
CEO Geza na mwenzi zezeta endezeni
Kunywa supu wa kiti-mtu na makaliyo yake.
 
Tanzanite yenu hata haina pesa. Mnapenda kujipiga kifua na vitu vya ujinga. Gold ndio kitu kinacholetea Tanzania pesa. Mlitengeza almost $3 billion mwaka uliopita kupitia dhahabu. Tanzanite ni upuuzi tu. Hampati pesa yoyote pale.
eti tanzamite haina pesa? hahaha. naona mshaanza kulia
 
The way Kenyans mnashadadia ujio wa Rais wa Tz kama vile Masihi yaani,
Sikuwahi kufikiria kama Kenya ni Kama vile Mexicans wanavyohaha kuingia US [emoji3][emoji3][emoji3]
Njaa mbaya sana
 
Hahaha hivi unazijua hizo companies zenye utambulisho wa Kenya au unabwatuka tu?


Unilever
Barclays
Aga Knan
Jubilee insurance
Standard Chartered
EA Breweries
Diamond TB
Nestel
Etc

Hizi ni International companies kubwa, sio kwamba ni mkikuyu au luo hapo 😅😅😅
All that shit is made in Kenya by Kenyan workers shipped to tanzania by Kenyan drivers driving trucks assembled in Kenya and to top it all off, they cut a cheque to KRA to help pay for all the loans we take and buy treasury bonds and then they take their profits to London. Who owns the company at this point is a nothing burger. Bongolalas, welcome to the globalized world
 
All that shit is made in Kenya by Kenyan workers shipped to tanzania by Kenyan drivers driving trucks assembled in Kenya and to top it all off, they cut a cheque to KRA to help pay for all the loans we take and buy treasury bonds and then they take their profits to London. Who owns the company at this point is a nothing burger. Bongolalas, welcome to the globalized world
Globalized World ! What a joke wakati Mombasa port inaenda China. Should you be smart msingeingia mikataba uchwara mnaweka port kama collateral sasa hivi mnahaha kujing'atua.
 
Globalized World ! What a joke wakati Mombasa port inaenda China. Should you be smart msingeingia mikataba uchwara mnaweka port kama collateral sasa hivi mnahaha kujing'atua.
Sisi sio Kama Nyinyi Tunalipanga Madeni hatungojeangi kusamehewa,Maendeleo Ni Lazima🇰🇪🔥🔥🔥🔥
 
All that shit is made in Kenya by Kenyan workers shipped to tanzania by Kenyan drivers driving trucks assembled in Kenya and to top it all off, they cut a cheque to KRA to help pay for all the loans we take and buy treasury bonds and then they take their profits to London. Who owns the company at this point is a nothing burger. Bongolalas, welcome to the globalized world
All that what made in Kenya?
[for God's sake]
 
The way Kenyans mnashadadia ujio wa Rais wa Tz kama vile Masihi yaani,
Sikuwahi kufikiria kama Kenya ni Kama vile Mexicans wanavyohaha kuingia US [emoji3][emoji3][emoji3]
Njaa mbaya sana
Sasa Nyinyi Ni US hehehe💩Uswazi mtupu na ata hamna aibu kujilinganisha🤮
 
Back
Top Bottom