Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Ask your MPπππ
Don't drag God into this...he gave us all brains but you wasted yours on ujamaa
π π π certain Chadema ninconpoop ndio yardstick yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ask your MPπππ
Don't drag God into this...he gave us all brains but you wasted yours on ujamaa
Nani alianzisha Equity. Taja majina.Ana kashare mbuzi kake kanachomfanya asifukuzwe na land lord but equity ina wenyewe mabeberu wameiteka
Ask your MPπππ
Don't drag God into this...he gave us all brains but you wasted yours on ujamaa
Nyinyi mumeua lugha zenu za asili na kusahau mila na desturi zenu kwa sababu Mwalimu Nyerere aliwafunza kuchukia lugha zenu za asili. Unadhani kila mtu anataka kufuata mkondo huo wenu wa ujinga?hilo BBI Lenu linachochea ukabila badala ya kuundoa
Futeni lugha za baadhi ya makabila kufundishwa mashuleni pigeni marufuku mtu kutumia kilugha ofisi za serikali na mikutano ya hadhara iwe ya kisiasa au yeyeyote
Pigeni marufuku media zote iwe magazeti radio au TV kutumia lugha za kikabila
Bila hayo ukabila kenya hautaisha
Kenya lugha inatumika kuchochea ukabila ndio tatizo KOTE AMBAKO LUGHA HUCHOCHEA UKABILA huwa wanatwangana kenya,rwanda na burundi nk tatizo ni kubwa ,Tanzania pekee ndio tuko salama sababu tulilishiughulikia mapema kabisaNyinyi mumeua lugha zenu za asili na kusahau mila na desturi zenu kwa sababu Mwalimu Nyerere aliwafunza kuchukia lugha zenu za asili. Unadhani kila mtu anataka kufuata mkondo huo wenu wa ujinga?
You have more tarriff barriers against our goods than we have against yours, So the problem has never been us! Infact most of our tarriff barriers have been a reaction to yours meaning if you remove yours we will just reciprocate.Mnapojipaga moyo as if Tanzania will not ask for her share too! It is win-win less than that! The Impasse will remain!
which Kenyan goods can u bring evidence? Or you mean counterfeit sugar? The common market for theregional block states which goods r exempted from tarrifs! And JPM has been fair on that!You have more tarriff barriers against our goods than we have against yours, So the problem has never been us! Infact most of our tarriff barriers have been a reaction to yours meaning if you remove yours we will just reciprocate.
Ni kweli mulilishugulikia jambo hilo kwa kusahau lugha zenu za asili.Kenya lugha inatumika kuchochea ukabila ndio tatizo KOTE AMBAKO LUGHA HUCHOCHEA UKABILA huwa wanatwangana kenya,rwanda na burundi nk tatizo ni kubwa ,Tanzania pekee ndio tuko salama sababu tulilishiughulikia mapema kabisa
Milk, cigarette, tour vans.... etc.which Kenyan goods can u bring evidence? Or you mean counterfeit sugar? The common market for theregional block states which goods r exempted from tarrifs! And JPM has been fair on that!
Zipo zote mkuu Tony254 na watu wanaziongea hata kwenye mabasi na baa. Sisi huku watu wamechanganyikana sana (intermarriages) kiasi kwamba ukabila sio ishu tenaβ¦Ni kweli mulilishugulikia jambo hilo kwa kusahau lugha zenu za asili.
Lugha za asili zilizouliwa ni zipi?hujawahi hata tembelea tz ukajionea utamaduni unaongeaongea tu.Nyinyi mumeua lugha zenu za asili na kusahau mila na desturi zenu kwa sababu Mwalimu Nyerere aliwafunza kuchukia lugha zenu za asili. Unadhani kila mtu anataka kufuata mkondo huo wenu wa ujinga?
tourvans ziingie nationalparks zetu under what circumstance hamna nationalpark zenu? Mtakufa mkingoja! Cigaretes where do u grow tobacco in Kenya?Milk, cigarette, tour vans.... etc.
This issue is well documented by the EAC secretariet
Too late for themhilo BBI Lenu linachochea ukabila badala ya kuundoa
Futeni lugha za baadhi ya makabila kufundishwa mashuleni pigeni marufuku mtu kutumia kilugha ofisi za serikali na mikutano ya hadhara iwe ya kisiasa au yeyeyote
Pigeni marufuku media zote iwe magazeti radio au TV kutumia lugha za kikabila
Bila hayo ukabila kenya hautaisha
Lugha zipi za asili zilizokufa, mbona uko ignorant sana Kijana, Tembea kijana, huku Lugha za asili na tamaduni zipo kama kawa na Lugha rasmi ya Taifa ni Kiswahili. Your biggest problem was your first president, he was a selfish tribalist thug.Nyinyi mumeua lugha zenu za asili na kusahau mila na desturi zenu kwa sababu Mwalimu Nyerere aliwafunza kuchukia lugha zenu za asili. Unadhani kila mtu anataka kufuata mkondo huo wenu wa ujinga?
Nyinyi mumeua lugha zenu za asili na kusahau mila na desturi zenu kwa sababu Mwalimu Nyerere aliwafunza kuchukia lugha zenu za asili. Unadhani kila mtu anataka kufuata mkondo huo wenu wa ujinga?
Sio ninyi hutuita Kinjekitile sababu ya kukumbatia utamaduni wetu?Nyinyi mumeua lugha zenu za asili na kusahau mila na desturi zenu kwa sababu Mwalimu Nyerere aliwafunza kuchukia lugha zenu za asili. Unadhani kila mtu anataka kufuata mkondo huo wenu wa ujinga?
Hawa Kenge ni wapumbavu sana! Wanafikiria wao tu ndo wanaongea vernaculars!Sio ninyi hutuita Kinjekitile sababu ya kukumbatia utamaduni wetu?
Nyerere hakukataza lugha za kikabila bali alikataza ukabila, ukabila sio lugha tofautisha tribalism na lugha
Nyerere alihimiza kuenzi utamaduni na jadi zetu kwa kutengeneza kitu kinaitwa utani wa kikabila, kila kabila Tanzania lina kabila rafiki ambao ni majirani na wanasaidiana na kutaniana in a simple way ni kama ujirani mwema yaani kabila na kabila liwe na mahusiano mazuri na muingiliano chanya kama kushiriki kwenye shughuli za uzalishaji mali, kilimo, kuoana, kusaidiana na kushirikiana kiujumla
Matokeo yake sera hii ya Nyerere imekuja sio tu kuunganisha makabila jirani bali makabila yote Tanzania mzima yameshikamana na wanaruhusiwa kuenzi mila na desturi zao lakini pale panapokua na shughuli ya kabila zaidi ya moja ni marufuku kuongea kikabila, sio sababu kikabila hakifai bali sababu hakuna maana kuongea lugha ambayo sitakuelewa wakati ipo lugha inayojulikana na kila mtanzania.
Ni muendelezo wa upumbavu wa wakenya kuwa misinformed kuhusu Tanzania, ni kama walivyoaminishwa Tanzania wana hali dhoofu sana na wao ndio waliopiga hatua kubwa ila ndogo ndogo wanatambua namna walivyokua brainwashed na viongozi waoHawa Kenge ni wapumbavu sana! Wanafikiria wao tu ndo wanaongea vernaculars!