Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

I like this part, " The Tanzania Head of State will be seeking to lure Kenya’s business community to consider investments in the neighbouring country. "
Si mje tu! Kwani kuna tatizo gani? Kama sisi tunaweza kuwa wamachinga na omba omba kwenu kwanini nyie mshindwe huku kwetu.

Ila mkija msituzingue. Maparachichi yetu myabrand kama product of Tanzania na yaende ulaya kupitia hapa hapa. Tunandege za kutosha na viwanja vya kutosha.

Napia muache kusema kila kitu kizuri cha Tanzania ni chenu. Mnakera sana! [emoji23]
 
Si mje tu! Kwani kuna tatizo gani? Kama sisi tunaweza kuwa wamachinga na omba omba kwenu kwanini nyie mshindwe huku kwetu.

Ila mkija msituzingue. Maparachichi yetu myabrand kama product of Tanzania na yaende ulaya kupitia hapa hapa. Tunandege za kutosha na viwanja vya kutosha.

Napia muache kusema kila kitu kizuri cha Tanzania ni chenu. Mnakera sana! [emoji23]
Ona venye ulivyo fala, kwani hamjui kubrand ndiyo mtegemee wakenya kuwafanyia branding?
 
Ona venye ulivyo fala, kwani hamjui kubrand ndiyo mtegemee wakenya kuwafanyia branding?
Nyie janja yenu ni janja ya nyani tu. Safari hii tumewaonea huruma tu. Mtake msitake. Mama ni muugwana sana ndo maana kaona aware chance mapema. Mkizingua tu imekula kwenu. Hii nafasi haitojirudia.
 
Japo haya mataifa tumekua watani wa jadi, ila hatukuwahi kufikia kwenye kilele cha chuki ambacho tumeshuhudia miaka michache ya hivi majuzi, hongera sana mama, binafsi nitaacha shughuli zangu ili tu nikuone hata kama wapambe hawataruhusu tukukaribie sisi akina Yahaya wa mtaani......

==========================

President Uhuru Kenyatta speaking with Tanzania's President Samia Suluhu's President Samia Suluhu

President Uhuru Kenyatta speaking with Tanzania's President Samia Suluhu
FILE
Tanzania’s President Samia Suluhu is expected to arrive in Nairobi in the next few days for a state visit.

First among President Suluhu’s to-do list is meeting with President Uhuru Kenyatta at State House which will mark the end of a 5-year period since a Tanzania Head of State last visited Kenya.

The discussion will range from bilateral matters and areas of cooperation in terms of regional trade policies that have suffered tensions in recent years.

President Uhuru Kenyatta greeting Tanzania's President Samia Suluhu during the funeral service of the Late John Magufuli's President Samia Suluhu during the funeral service of the Late John Magufuli

President Uhuru Kenyatta greeting Tanzania's President Samia Suluhu during the funeral service of the Late John Magufuli
FILE
After meeting with Kenyatta, Suluhu has planned a roundtable with the local business community and private sector.

The Tanzania Head of State will be seeking to lure Kenya’s business community to consider investments in the neighbouring country.

She is keen on revising the hostile economic policies introduced by her predecessor John Pombe Magufuli - that were particularly punitive on Kenyan-owned businesses.


Investors have suffered losses due to the tense trade ties between the two countries that have caused the destruction and seizure of goods.

President Suluhu has kickstarted an aggressive campaign to improve what her administration has termed as economic diplomacy.

In her recent first address to Parliament since assuming the role of President, she communicated that her administration would promote investments by creating a good business environment.

“The government will be taking specific steps to promote investment by looking into investment policies, laws, and regulations, remove clauses that are hampering smooth investments, including unpredictable policies, an unstable tax system and unnecessary bureaucracies,” she stressed.

President Suluhu’s visit to Kenya comes just months after her trip to Uganda where she signed the Ksh400 billion East Africa Crude Oil Pipeline deal.


  • Uganda’s oil pipeline will be built through Tanzania instead of Kenya as initially planned.
    Kenya lost out on the deal after Uganda raised concerns about the feasibility of the pipeline going through Kenya.
    President Yoweri Museveni welcomes President Samia Suluhu to Uganda on March 11, 2021

    President Yoweri Museveni welcomes President Samia Suluhu to Uganda on March 11, 2021
Mazungumzo ndio kila kitu dunian, Mama Anafanya vizuri, Bado USA,CANADA,European Union, England, China,na nyumbani waweke kitako wajue wajue unataka wafanye nini, Tunataka BIASHARA zifufuliwe ili watu wapate ajira, mtaani hali ni ngumu sana, Tunaomba BOT izipe kampuni ambazo zina return ya zaidi ya Bilion moja kwa Mwaka mikopo isiyo na riba kwa miaka 5 ili zipite ktk kipindi hiki kigumu
 
Mazungumzo ndio kila kitu dunian, Mama Anafanya vizuri, Bado USA,CANADA,European Union, England, China,na nyumbani waweke kitako wajue wajue unataka wafanye nini, Tunataka BIASHARA zifufuliwe ili watu wapate ajira, mtaani hali ni ngumu sana, Tunaomba BOT izipe kampuni ambazo zina return ya zaidi ya Bilion moja kwa Mwaka mikopo isiyo na riba kwa miaka 5 ili zipite ktk kipindi hiki kigumu

Kwa namna alivyoanza huyo mama naona atakua na kundi la washauri wazuri tu, kwanza keshaanza kuwekana sawa na upinzani Tanzania, halafu papo hapo ameamua kurekebisha mahusiano ya kimataifa na majirani pia. Kwenye jopo la washauri wake kutakua wadau waliokua wanasubiri sana fursa za kushauri, na hapo hata kiuchumi ataweka sawa sana.
 
Kwa namna alivyoanza huyo mama naona atakua na kundi la washauri wazuri tu, kwanza keshaanza kuwekana sawa na upinzani Tanzania, halafu papo hapo ameamua kurekebisha mahusiano ya kimataifa na majirani pia. Kwenye jopo la washauri wake kutakua wadau waliokua wanasubiri sana fursa za kushauri, na hapo hata kiuchumi ataweka sawa sana.
Waziri wa mambo ya Nje ni Mama mzoefu sana kwenye Diplomasia ya kawaida na ya uchumi, pia Raisi anaonekana ni mtu mwenye maono makubwa sana ya maendeleo hivyo atachagua team Nzuri. Mungu amsaidie
 
Hawa Kenge ni wapumbavu sana! Wanafikiria wao tu ndo wanaongea vernaculars!

Sio ninyi hutuita Kinjekitile sababu ya kukumbatia utamaduni wetu?

Nyerere hakukataza lugha za kikabila bali alikataza ukabila, ukabila sio lugha tofautisha tribalism na lugha

Nyerere alihimiza kuenzi utamaduni na jadi zetu kwa kutengeneza kitu kinaitwa utani wa kikabila, kila kabila Tanzania lina kabila rafiki ambao ni majirani na wanasaidiana na kutaniana in a simple way ni kama ujirani mwema yaani kabila na kabila liwe na mahusiano mazuri na muingiliano chanya kama kushiriki kwenye shughuli za uzalishaji mali, kilimo, kuoana, kusaidiana na kushirikiana kiujumla

Matokeo yake sera hii ya Nyerere imekuja sio tu kuunganisha makabila jirani bali makabila yote Tanzania mzima yameshikamana na wanaruhusiwa kuenzi mila na desturi zao lakini pale panapokua na shughuli ya kabila zaidi ya moja ni marufuku kuongea kikabila, sio sababu kikabila hakifai bali sababu hakuna maana kuongea lugha ambayo sitakuelewa wakati ipo lugha inayojulikana na kila mtanzania.


wengi wenu hamjui vernaculars zenu. Mnaogopa kuzizungumza hadharani maana mtaitwa wakabila. Watoto wenu wanazaliwa na kukuwa watu wazima bila kujua kuzungumza lugha zao za asili eti kwa sababu lugha hizi zimedhalilishwa na kudharauliwa sana huko TZ. Na aliyeleta hii dhana potovu ni Mwalimu Nyerere mwenyewe. Lugha hizi zinachukuliwa kama takataka huko TZ.
Yeyote anayeizungumza hata anaweza kutiwa mbaroni na polisi kwa kisingizio kwamba yeye ni mkabila.

Cc MK254
 
wengi wenu hamjui vernaculars zenu. Mnaogopa kuzizungumza hadharani maana mtaitwa wakabila. Watoto wenu wanazaliwa na kukuwa watu wazima bila kujua kuzungumza lugha zao za asili eti kwa sababu lugha hizi zimedhalilishwa na kudharauliwa sana huko TZ. Lugha hizi zinachukuliwa kama takataka huko TZ.
Yeyote anayeizungumza hata anaweza kuitiwa polisi akamatwe kwa kisingizio kwamba yeye ni mkabila.
wanaoishi mijini tu na tena wale wa baba na mama makabila tofauti na wasiofundisha watoto wao lakini nakuhakikisha over 75% can speak their vernaculars! Nenda majumbani kwao ndo utajua hujui!
 
wengi wenu hamjui vernaculars zenu. Mnaogopa kuzizungumza hadharani maana mtaitwa wakabila. Watoto wenu wanazaliwa na kukuwa watu wazima bila kujua kuzungumza lugha zao za asili eti kwa sababu lugha hizi zimedhalilishwa na kudharauliwa sana huko TZ. Na aliyeleta hii dhana potovu ni Mwalimu Nyerere mwenyewe. Lugha hizi zinachukuliwa kama takataka huko TZ.
Yeyote anayeizungumza hata anaweza kutiwa mbaroni na polisi kwa kisingizio kwamba yeye ni mkabila.

Cc MK254

Nilishangaa na kuona huruma sana unakuta mbaba mtu mzima kabisa lakini lugha yake ya asili hawezi hata kusalimia, japo kidogo wanaotokea mikoani kama Moshi, Mwanza na Kagera hujaribu jaribu lakini wengi wa hapo Dar ni hovyoo kabisa, wamemezwa na mambo ya Uswahilini mpaka wamekua watumwa wasiokua na asili yoyote, mtu hajui lugha yake ya asili na pia uandishi wa Kiswahili ni umagumashi, Kingereza ndio hajui chochote kabisaaaa.

Wanakuambia kuongea Kingereza ni ukoloni, kuongea lugha ya asili ni ushamba, na hata hicho Kiswahili bado anayumba yumba kwenye uandishi. Kile hunishanga, mtuhumiwa akikamatwa kwenye uhalifu wowote hutajwa kabila lake kwenye dodoso, check hii...

2760304_78ccfbb956cf7734e9cc072756adf1ec.jpg
 
Nilishangaa na kuona huruma sana unakuta mbaba mtu mzima kabisa lakini lugha yake ya asili hawezi hata kusalimia, japo kidogo wanaotokea mikoani kama Moshi, Mwanza na Kagera hujaribu jaribu lakini wengi wa hapo Dar ni hovyoo kabisa, wamemezwa na mambo ya Uswahilini mpaka wamekua watumwa wasiokua na asili yoyote, mtu hajui lugha yake ya asili na pia uandishi wa Kiswahili ni umagumashi, Kingereza ndio hajui chochote kabisaaaa.

Wanakuambia kuongea Kingereza ni ukoloni, kuongea lugha ya asili ni ushamba, na hata hicho Kiswahili bado anayumba yumba kwenye uandishi. Kile hunishanga, mtuhumiwa akikamatwa kwenye uhalifu wowote hutajwa kabila lake kwenye dodoso, check hii...

2760304_78ccfbb956cf7734e9cc072756adf1ec.jpg
Hawa watu hawaeleweki. Wanasema kwamba wao sio wakabila ila wanataja kabila la mtu waziwazi? Huo ni unafiki wa hali ya juu. Kama wao sio wakabila basi wasitaje kamwe kabila la mtu.
 
Ukiona maadui zako wanakusifu, tafakari — By JPM.

John Pombe Joseph Magufuli.
 
Mama hana mda wa kufanya ushamba na upuuzi wa mwendazake,anasaka pesa uchumi wetu urudi tena kwenye viwango kama zamani.

May day kamuumbua mwendazake Jiwe na wapambe wake kwamba uchumi umeshuka kwa 4.7% kwa sababu ya covid wakati Jiwe lilikuwa liongo liongo,tunashukuru kwa kusema ukweli.Kila la heri huko ziarani
 
mkuu, Kenya ina makampuni 529 ndani ya Tanzania, against Tanzania's 23 ndani ya Kenya kufikia mwaka 2016.
I hope you know what I mean.
Sio jambo la ajabu given the historical background of the two countries with their path each country took.

Ko wakenya walifunguka mapema ,tunahitaji tujifunze kwao kwa kufanya biashara nao
 
Hehehe!! Yaani tu, duh....nimejikuta nacheka sana, ila sidhani kama tatizo lipo kwa viongozi wao, hii ni wao wenyewe wajilaumu, hawana ule uthubutu, waoga waoga sana hawa ndugu zetu.
Historia yetu ya njia ya uchumi ndio ilitugharimu.

******** badala arekebishe makosa ya JK akaturudisha enzi za Nyerere ikafika mahali kitaani biashara haziendi vijana wanasubiri ajira za.serikali ambazo hazipo.

Wanawake wajiajiri kudanga.Nakumbuka kipindi cha JK watu walikuwa wanaacha Kazi government wanaenda kujiajiri,ile spirit ya kujiamini kwa kujiajiri ilianza kujengeka jamaa kaja kuharibu kila kitu eti anajenga stand.

Mama anajua hali ya mtaa ni ngumu sana kama haijawahi kuwa kwenye biashara eti leo uanzishe biashara na vimitaji vidogo vya start ups inakufa hata miezi 6 haijafika maana purchasing power hakuna,TRA na Halmashauri wanapora mtaji yaani tabu tupu.
 
Please get ready to see Naivas, Quickmart, Tumaini among other big retailers in Tanzania. Get ready for Cooperative Bank to enter in Tanzania, get ready for more of Kenyan made products. Get ready to see most big companies in Tanzania hiring Kenyans as experts to work for them.
Mkileta retail kama hizo malls mtafunga wenyewe ,,middle class Tzn ni kama hakuna na purchasing power imeshuka Sana labda awamu ya pili ya Mama akijitahidi kurudisha pesa kwa watu.

Mkiwa na Rais aliyekulia kwenye umaskini huko kijijini na akalelewa na mzazi wa kambo wanakuaga na roho mbaya,makatili na wasiojali .

Hicho ndicho alikuwa yule mwendazake,Sadamu na watu wote wenye shida ya malezi,kama ni mke ukioa wa hivyo jiandae kufa mapema Sana sasa mama amekulia familia nzuri na amekuwa serikali na kwenye nyanja ya kimataifa mda mwingi.Hapo hata English inapanda sio mchezo.
 
wengi wenu hamjui vernaculars zenu. Mnaogopa kuzizungumza hadharani maana mtaitwa wakabila. Watoto wenu wanazaliwa na kukuwa watu wazima bila kujua kuzungumza lugha zao za asili eti kwa sababu lugha hizi zimedhalilishwa na kudharauliwa sana huko TZ. Na aliyeleta hii dhana potovu ni Mwalimu Nyerere mwenyewe. Lugha hizi zinachukuliwa kama takataka huko TZ.
Yeyote anayeizungumza hata anaweza kutiwa mbaroni na polisi kwa kisingizio kwamba yeye ni mkabila.

Cc MK254
Wewe ni taahira sababu unaongea kitu kisichokuwepo

Inaonekana ulivyo shallow minded na hujawahi hata siku 1 kufika Tanzania,

Hivi yupo mtanzania asiejua lugha yake ya asili? Hata watoto waliozaliwa mijini wanaweza wasijue lugha yote Lakini baadhi ya maneno wanajua

Zaidi ya 40% ya wa Tanzania wapo vijijini, unataka kusema huko vijijini hawaongei lugha zao?
 
Hawa watu hawaeleweki. Wanasema kwamba wao sio wakabila ila wanataja kabila la mtu waziwazi? Huo ni unafiki wa hali ya juu. Kama wao sio wakabila basi wasitaje kamwe kabila la mtu.
Wewe ni kichaa

Maana ya ukabila ni kumpendelea mtu katika nafasi fulani, kipaumbele, huduma, huba, chuki, maslahi au kumdunisha sababu ya kabila lake na si vinginevyo

Kila mtu ana kabila sababu watu sio mawe, kabila lako litaishia kwenye mambo ya kimila, lugha, mavazi, utamaduni kwa ujumla Lakini sio zaidi ya hapo, Huwezi kupata nafasi sehemu yoyote sababu ya kabila lako wala Huwezi kuzuiliwa kufanya makazi, biashara, mahisiano sababu ya kabila lako
 
Back
Top Bottom