OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jamhuri ya Twitter ina habari zake na fb kuna habari zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilingeni...Rais anatakiwa awe wapi?
Alivyo pimbi naye atakuuliza badala ya kukujibuKwani wewe unajua aliko!?
Ndilo ninalolihubiri na hakuna sehemu nilifuraha kile kitendo.Kama walivyodhoofu wale walioenda kummiminia binadamu mwenzao risasi 36 halafu hajafariki, anadunda mpaka leo, Mungu hadhihakiwi, ninyi wakristo hubirini neno la kweli neno lililopo katika maandiko matakatifu.
dondoo mkubwa tujue na sisiNimeingia Twitter mida hii kunatisha maana kuna habari mbaya zaidi kuhusu mkulu na Hali yake ya ugonjwa hakika Kama ni kweli basi ni muujiza Tu unahitajika.....
MGonjwa wetu anahitaji maombi makubwa Sana vinginevyo MUNGU ndiye anajua
Wewe unatakaje? Mpumbavu ni yule anaye lazimisha hisia zake na mtazamo wake uwe kama atakavyo!Hii serekali iliyofitinika imekubuhu kwa uongo. Kama Rais ni mzima ajitokeze watu wamuone kwani ugumu hapo uko wapi? Wanachofanya ni kudanganya wapumbavu wachache ambao hawajui kuhoji na ambao hawawezi kutenganisha kati ya ukweli na uongo.
Huko tweeter waliisha sema amefariki, sasa tena amekuwa mgonjwa hali mbaya !!!Nimeingia Twitter mida hii kunatisha maana kuna habari mbaya zaidi kuhusu mkulu na Hali yake ya ugonjwa hakika Kama ni kweli basi ni muujiza Tu unahitajika.....
MGonjwa wetu anahitaji maombi makubwa Sana vinginevyo MUNGU ndiye anajua
Unawaamini twitter?Nimeingia Twitter mida hii kunatisha maana kuna habari mbaya zaidi kuhusu mkulu na Hali yake ya ugonjwa hakika Kama ni kweli basi ni muujiza Tu unahitajika.....
MGonjwa wetu anahitaji maombi makubwa Sana vinginevyo MUNGU ndiye anajua
Mkuu dokeza kidogo hata kwa screenshot mbili tatu ili watu wa jamuhuri ya Stanza waone kinachoendeleaNimeingia Twitter mida hii kunatisha maana kuna habari mbaya zaidi kuhusu mkulu na Hali yake ya ugonjwa hakika Kama ni kweli basi ni muujiza Tu unahitajika.....
MGonjwa wetu anahitaji maombi makubwa Sana vinginevyo MUNGU ndiye anajua
Mibavicha itakwambia yuko wapi!
Hii mijitu bure kabisa
Hivi anaposema kipindi hiki tushikamane tuchape kazi anakuwa na maana gani kwani kwenye kipindi hiki kuna nini?
Wewe shauri yako, kama huogopi kuburuzwa kwa kuvutwa kola ya shati sawa! Wenzako wameuliza alipo tu na wamejikuta pabaya.Nimeingia Twitter mida hii kunatisha maana kuna habari mbaya zaidi kuhusu mkulu na Hali yake ya ugonjwa hakika Kama ni kweli basi ni muujiza Tu unahitajika.....
MGonjwa wetu anahitaji maombi makubwa Sana vinginevyo MUNGU ndiye anajua
Hahahhah Babu Asprin....Alivyo pimbi naye atakuuliza badala ya kukujibu
Hapana boss naogopa ban hapa jfMkuu dokeza kidogo hata kwa screenshot mbili tatu ili watu wa jamuhuri ya Stanza waone kinachoendelea
Wamempa scriptMambo mengine ni ya kitoto sana. Yaani salamu mpaka amtume Samia? Anatusalimia kutokea wapi akiwa katika hali gani?
Acha hofu mkuu,mtangulize Mungu katika kila jambo...Wakuu umofia kwema?
Tangu kuanza kuenea kwa hizi tetesi tumekuwa tukiaminishwa sana na viongozi wetu watukufu kuwa tuzipuuze.
Hatua iliyopo Sasa Ni hofu kuu nchi nzima. Watanzania wote hata wasio jua mitandao ya kijamii wanasemezana kimya kimya kuhusu afya ya kiongozi wetu mtukufu!
Kwanini hofu hii iendelee pasipo sababu ya msingi. Tunawaombeni Kama mtukufu anaumwa Tuambiwe hofu Ni kubwa mno.
Kauli ya Mama Samia Leo ndio imezua hofu maradufu! PM Ameahirisha ziara amerudi jikoni.
Tunaombeni mamlaka izungumze Hali ya kiongozi wetu hofu Ni kubwa Sana mitaani bila sababu ya msingi.