Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

Watu muache uhuni kazi umbea umbea tuu.
 
ngoja tuone siku ya leo inaishaje?? umeambiwa tushikamane😁
 
Sirikali inaleta taharuki kwa kutotoa taarifa mahali aliko rais wetu kipenzi, pengine katekwa na wasiojulikana.

Taarifa gani zaidi na taarifa wameshatoa, Leo mama Tanga, Mama katoa salam za Rais na kasema watu washikamane, sasa taarifa gani hizo mnazotaka zaidi, kama mpo na taarifa zaidi basi zitolewe. Nawaamini sana Serikali kwa hili kuliko Lissu.
 
Nikumbusheni ni kazi ipi vilee!
 
Endelea kufanya kazi zako,kuwa ana amani. Magufuli yupo hai sema kuonekana itachukua miezi. Hivyo chapa kazi.Magufuli si O2 .Kwamba tusipomuona basi tutakosa hewa.
Fanya hivyo wewe,sisi tunataka tumuone Rais wetu...au kuna ubaya???

Rais si O2 ila ni kiongozi wetu wa nchi.....
 
Watajua wenyewe, abaki huko huko asije hadi mwaka 2025 kwenye uchaguzi mwingine, yani abaki huko huko, tusimuone kabisa, yani watu usitafute ugali wa familia yako uanze kuwaza mijitu mingine kwamba wapo wapi,
 
Safi na sisi wananchi tunamwombea HERI na amani aendelee kuchapa kazi kutuletea maendeleo
 
Mh... Ndiyo wanakushangaza leo? Ndiyo unajua hakuna wa kukaa milele leo? Tundu Lissu alipopigwa risasi hukuwa unajua? Wakati Ben Saanane anauawa hukujua kuwa waliomuua hawatakaa milele? Jinga kabisa!
 
Ukimsikiliza kwa umakini huyo bi mkubwa moja kwa moja unapata majibu bila hata kujiuliza mara mbili.
" You can fool some of the people all of the time, and all of the people some of the time, but you can not fool all of the people all of the time".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…