Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

Watu wagumu kuelewa, kasema kabla ya kuanza safari yake kuja tanga Alienda kumuaga na ndipo akampa salam hizo kwa wananchi wa Tanga na kwa maana hiyo Rais yuko ikulu ya Magogoni maana mh. Samia kaanzia safari yake Dar
Asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Alizipuuza! Hakuna hata balozi wa nyumba kumi alimjibu,,

Magu alijisemea hiki kidampa nacho kinaongea upuuzi gani?
Leo yuko wapiii🐍
😭😭😭😭😭tutalia sana na kucheka kwa wingi😂😂😂😂😂🕭🕭🕭🔔🎷📯🎶
 
Yote hadi sasa yameharibika. Akijitokeza akiwa mzima watu watahoji tu, "Kwani alikuwa wapi?". Ikija kujulikana kwamba kweli ana matatizo watahoji "Walikuwa wanaficha kwa sababu gani?"
 
Bavicha noma sana
Nalaumu wote wanaohusika na kazi ya kuwalea kiweledi vijana hawa wa chama kwa kushindwa kuwalea vijana hawa kwa weledi wa kutosha kabisa! Tusingefika hapa tulipo kama wahusika wa malezi katika chama kama wangewajibika sawa sawa.
 
Hii serekali iliyofitinika imekubuhu kwa uongo. Kama Rais ni mzima ajitokeze watu wamuone kwani ugumu hapo uko wapi? Wanachofanya ni kudanganya wapumbavu wachache ambao hawajui kuhoji na ambao hawawezi kutenganisha kati ya ukweli na uongo.
Karibuni utajificha baada ya mwamba kujitokeza very soon. Sijui niweke picha ya leo ya Mheshimiwa!! Basi ngoja tuache kwanza kidogo ili mapovu yakutoka zaidi.
 
Leo yuko wapiii[emoji216]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]tutalia sana na kucheka kwa wingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]🕭🕭🕭[emoji348][emoji449][emoji397][emoji445]
Kwani alitakiwa awe wapi?
 
Back
Top Bottom