Ameyasema hayo leo Jumapili, Januari 21, 2024 alipokuwa akizungumza kwenye Ibada Maalumu ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa iliyofanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Azania Front, Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
“Kwa wakazi wa mijini ni wastani wa asilimia 61 na vijini 55.5 na kwamba wanaofanikiwa kuingia kwenye ndoa kuna changamoto mbalimbali zinazosababisha migogoro ya ndoa, kwa mfano mwaka 2022/23 kulikuwa na mashauri 39,571 ya migogoro ya ndoa na katika nusu ya kwanza ya 2023/24 tayari tumeshapokea mashauri 28,773
nawaza tu ndani ya mwaka mmoja mahakamani kuna kesi za talaka za ndoa 39,571
Nime give up kwenye swala la kuoa na Sababu ni wadada kuwa waovu. Wametanguliza maslahi ya kifedha kuliko nia ya kuolewa.
Wiki iliyopita Nilimtongoza mwanamke asubuhi alafu jioni akanitumia orodha mahitaji ya vitu vyenye thamani ya laki sita bila aibu! Jambo hili limenitokea kwa zaidi ya mara moja.
Kwa sasa nimejikita kwenye kuimarisha ustawi wangu binafsi. Mambo ya ndoa hapana aisee
Tatizo lenu mnataka kuoa wanawake full package yani awe mzuri wa sura na umbo, mcha mungu, mpole, mvumilivu, mwenye akili ya maisha, anayejua kufanya kazi za nyumbani pamoja na kulea mume nk, mnataka wanawake wakamilifu ili hali ninyi siyo wakamilifu na huwa hamyaoni maovu yenu kutwa kusema ya wanawake tu
Takwimu zinaonesha watanzania wengi wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku, kwa kipato hicho unaoa ili iweje?
Kama kweli anataka watu waoane kwa wingi basi ajikite zaidi katika kuboresha kipato cha wananchi.
Ameyasema hayo leo Jumapili, Januari 21, 2024 alipokuwa akizungumza kwenye Ibada Maalumu ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa iliyofanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Azania Front, Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
“Kwa wakazi wa mijini ni wastani wa asilimia 61 na vijini 55.5 na kwamba wanaofanikiwa kuingia kwenye ndoa kuna changamoto mbalimbali zinazosababisha migogoro ya ndoa, kwa mfano mwaka 2022/23 kulikuwa na mashauri 39,571 ya migogoro ya ndoa na katika nusu ya kwanza ya 2023/24 tayari tumeshapokea mashauri 28,773
nawaza tu ndani ya mwaka mmoja mahakamani kuna kesi za talaka za ndoa 39,571
Huyu mama, ni mpuuzi sana, ndoa sio tatizo la vijana! Tatizo kubwa ni ajira! Kipato duni, elimu duni.
Anaji tripisha, kuhamisha mjadala! So fucking pathetic