ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Sababu kuu ziko tatu.
1. Mke anadai vitu vya gharama kubwa ambavyo havina umuhimu (k.m. wigi la laki tatu, i-phone latest n.k.). Kijana akishajua akimwoa binti atadaiwa vitu hivyo, hawezi kumwoa.
2. Umasikini wa mwanaume kukosa kipato kunamfanya mwanaume awe na msongo wa mawazo saa zote. Kwenye msongo kama huo, hata "wajibu wa chumbani" unamshinda mwanaume.
3. Kijana anataka msichana mwenye uzuri wo-o-te huku hajui kila mwanaume atamtaka. Akiwa bado anachumbia, anagundua binti ana wanaume kibao wenye pesa wanamfuatilia. Hata kama binti hajawakubali, kijana wa kiume hawezi kumwoa kama huyo. Ndio maana unakuta mabinti weeeengi wazuri sana hawajaolewa
1. Mke anadai vitu vya gharama kubwa ambavyo havina umuhimu (k.m. wigi la laki tatu, i-phone latest n.k.). Kijana akishajua akimwoa binti atadaiwa vitu hivyo, hawezi kumwoa.
2. Umasikini wa mwanaume kukosa kipato kunamfanya mwanaume awe na msongo wa mawazo saa zote. Kwenye msongo kama huo, hata "wajibu wa chumbani" unamshinda mwanaume.
3. Kijana anataka msichana mwenye uzuri wo-o-te huku hajui kila mwanaume atamtaka. Akiwa bado anachumbia, anagundua binti ana wanaume kibao wenye pesa wanamfuatilia. Hata kama binti hajawakubali, kijana wa kiume hawezi kumwoa kama huyo. Ndio maana unakuta mabinti weeeengi wazuri sana hawajaolewa