Tajiri usijulikane maana naona wengi tunajiuliza mbona mtu mwenyewe hatumjui! Mtu kakazana tu tajiri,tajiri!
Anauza vipodozi mjue msije mkaona uso wake uko hivo mkaanza kujudge
Jana kwenye watsap status yangu nilipost meme ya huyu mama sasa kuna sister mmoja mshkaji wangu akaiona akanitext like see hapo chini [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2627954
Nimeona clip anasema kazaa na mtu tajiri,ambae hamsaidii kutunza mtoto.Wewe Tajiri msaidie Sinyaa kutunza mtoto.
Inaonekana Huyu mama zamani alikuwa anazo ila saiv naona kafilisika kisa mikopo kausha damu na TRA..maana naona leo Clouds amehojiwa anaomba asaidiwe apelekwe mlongazila aweke Pluto ili apungue.. na kikubwa hana pesa za kumlipa mwanae ada chuo na mtoto yuko nyumbani hajaenda chuo, na kufika hadi hatua ya kulia kuwa mzazi mwenzie hampatii support ya kumsomesha mtoto. Huyu mama saiv inaonekana anapitia magumu sana.
Kumbe inaonekana ni mtata sana huyu mamaKuna siku mzigo wake umekamatwa na wale Tigo wanaoshirikiana na TRA
Aliongea mpaka akaanza kuvua nguo
Sijui walimalizaje [emoji28][emoji28]
Bongo bhana.Eti siku moja tu ame trend mpaka wanamuita kwenye vituo vya Habari
Ni maajabu sana
Umemsahau Pierre liquid [emoji1]
itakuwa bungeni ndiyo kilele cha ujinga. Ukishafika hakuna kwa kwenda zaidi ya kushuka.Yaani wakiingia Bungeni tu ndio inakuwa mwisho wao
Sijui ndio mwisho wa wajinga
MUNGU FUNDI HAKIKA NIMEKUBARI
Na hapo kakonda.
Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.
Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.
Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.
Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.
Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.
Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.
Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.
Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Puto tena,si alisema hapo kakonda Kwa ishu za TRA au? Ndio anenepe Sasa 🤣🤣Inaonekana Huyu mama zamani alikuwa anazo ila saiv naona kafilisika kisa mikopo kausha damu na TRA..maana naona leo Clouds amehojiwa anaomba asaidiwe apelekwe mlongazila aweke Pluto ili apungue.. na kikubwa hana pesa za kumlipa mwanae ada chuo na mtoto yuko nyumbani hajaenda chuo, na kufika hadi hatua ya kulia kuwa mzazi mwenzie hampatii support ya kumsomesha mtoto. Huyu mama saiv inaonekana anapitia magumu sana.
So what
Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.
Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.
Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.
Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.
Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.
Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.
Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.
Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Achana na huyo Sinyali, kuna mama mmoja ni shombeshombe hivi, huwa anaingiza container hata 50 za vitenge kwa pamoja, alikua anapesa acha mchezo. Gari yake huwa alikua anapaki pale central police Dar na haiguswi. Anaweza kupaki katikati ya barabara akiwa anaongea na mtu au na simu. Kipindi cha mwendazake katikati alipotea sijui yupo wapi Siku hizi. Kariakoo iangalie hivi hivi, inamambo usiyoyajua.
Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.
Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.
Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.
Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.
Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.
Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.
Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.
Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Shujaa wa Kamikaze
Mtu anasifiwa ana shika million 600 halafu anajichubua na maji ya betri,Si apake vipodozi vya kuleweka