Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Tajiri usijulikane maana naona wengi tunajiuliza mbona mtu mwenyewe hatumjui! Mtu kakazana tu tajiri,tajiri!

Matajiri wa kariakoo unawajua?

JITAHIDI utofautishe matajiri na watu maarufu

Kuna watu hela zao wanazifinya kimya kimya hawana kelele
 
Jana kwenye watsap status yangu nilipost meme ya huyu mama sasa kuna sister mmoja mshkaji wangu akaiona akanitext like see hapo chini [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2627954

Kuna siku mzigo wake umekamatwa na wale Tigo wanaoshirikiana na TRA

Aliongea mpaka akaanza kuvua nguo
Sijui walimalizaje [emoji28][emoji28]
 
Nimeona clip anasema kazaa na mtu tajiri,ambae hamsaidii kutunza mtoto.Wewe Tajiri msaidie Sinyaa kutunza mtoto.

Mtoto Yule anahitaji matunzo ya baba?

Au matunzo ya mume ambae amemkataa ameamua kula wanawake wenzake?

Hata baba mwenyewe anaogopa
 
Inaonekana Huyu mama zamani alikuwa anazo ila saiv naona kafilisika kisa mikopo kausha damu na TRA..maana naona leo Clouds amehojiwa anaomba asaidiwe apelekwe mlongazila aweke Pluto ili apungue.. na kikubwa hana pesa za kumlipa mwanae ada chuo na mtoto yuko nyumbani hajaenda chuo, na kufika hadi hatua ya kulia kuwa mzazi mwenzie hampatii support ya kumsomesha mtoto. Huyu mama saiv inaonekana anapitia magumu sana.

Aache sound
 

Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.

Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.

Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Na hapo kakonda.

Hawa washenzi sio wa kucheka nao na ni aibu kutetea ukwepaji Kodi wa wafanyabiashara kama Chadomo wanavyotaka iwe..

Nimeanza kuelewa Kwa nini Mwendazake aliwanyoosha Hawa wapuuzi, wametangaza mgomo wa kipuuzi Kwa kushirikiana na Chadomo na eti Serikali inawachekea.
 
Inaonekana Huyu mama zamani alikuwa anazo ila saiv naona kafilisika kisa mikopo kausha damu na TRA..maana naona leo Clouds amehojiwa anaomba asaidiwe apelekwe mlongazila aweke Pluto ili apungue.. na kikubwa hana pesa za kumlipa mwanae ada chuo na mtoto yuko nyumbani hajaenda chuo, na kufika hadi hatua ya kulia kuwa mzazi mwenzie hampatii support ya kumsomesha mtoto. Huyu mama saiv inaonekana anapitia magumu sana.
Puto tena,si alisema hapo kakonda Kwa ishu za TRA au? Ndio anenepe Sasa 🤣🤣
 
Namjua vizuri sana huyu mama zaidi ya kuuza vipodozi vya haramu ,hana kitu yoyote uyo!!

Anawadanganya danganya watu kwenye social media.
 

Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.

Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.

Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
So what
 

Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.

Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.

Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Achana na huyo Sinyali, kuna mama mmoja ni shombeshombe hivi, huwa anaingiza container hata 50 za vitenge kwa pamoja, alikua anapesa acha mchezo. Gari yake huwa alikua anapaki pale central police Dar na haiguswi. Anaweza kupaki katikati ya barabara akiwa anaongea na mtu au na simu. Kipindi cha mwendazake katikati alipotea sijui yupo wapi Siku hizi. Kariakoo iangalie hivi hivi, inamambo usiyoyajua.
 
Nje ya mada: yule mama pekee upande wa wafanybiashara katika Kamati aliyounda Waziri mkuu si ndiye huyu anayezungumziwa katika sredi hii hapa chini?
 
Back
Top Bottom