Dkt. Tulia Ackson: Wanaume wasaidieni wanawake kiuchumi

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Spika Wa Bunge La Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dk Tulia Ackson amesema licha ya kuwepo kwa Juhudi mbalimbali za kuwainua Wanawake Katika Nyanja Mbalimbali Ikiwemo Uchumi na uongozi lakini bado kundi la Wanaume wana wajibu wa kuendelea kuwasaidia Wanawake ili kufikia viwango vya juu sawa na wanaume.

Akizungumzia katika Kongamano kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani lililowakutanisha wanawake wa mikoa ya nyanda za juu kusini na kufanyika jijini Mbeya kwa lengo la kujadili changamoto zinazowakabili wanawake ikiwa ni pamoja na namna ya kujikwamua kiuchumi na kibiashara pamoja na mchango wa wanawaume katika miaka 30 ya Beijing.

Aidha Dk Tulia amesema bado wanawake wanaitaji kushikwa mkono ili kufikia viwango walivyo fikia wanaume, "Hatumaanishi tunaitaka Nafasi ya Wanaume hapana Bali tunataka na sisi tupewe Nafasi ya kufanya Mambo sawa sawa na wanaume na Mahala tunapokwama basi tushikwe Mkono tusiachwe"

Naibu Waziri wa mawasiliano na Teknolojia ya habari na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka Wanawake Kuendelea Kumuungo Mkono Rais Wa Jumuuri ya Muungano wa Tanzania Dkt: Samila Suluhu Hassani zaidi akiwakumbusha wanawake kuendelea kupambana kichumi kwakuwa mwanamke yoyote akifanikiwa hata familia yake inakuwa na misha mazuri.

Kwa Upande wake Naibu Katibu Mkuu Wizara wa Maendeleo ya Jamii Jinsia wanawake na Makundi Maalumu Felista Mdemu ameeleza lengo la kongamano hilo kuwa ni kuendelea kuwakumbusha wanawake kujiimarisha kiuchumi na kuepuka utegemezi uliokithiri.
 
Spika Wa Bunge La Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dk Tulia Ackson amesema licha ya kuwepo kwa Juhudi mbalimbali za kuwainua Wanawake Katika Nyanja Mbalimbali Ikiwemo Uchumi na uongozi lakini bado kundi la Wanaume wana wajibu wa kuendelea kuwasaidia Wanawake ili kufikia viwango vya juu sawa na wanaume.

Akizungumzia katika Kongamano kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani lililowakutanisha wanawake wa mikoa ya nyanda za juu kusini na kufanyika jijini Mbeya kwa lengo la kujadili changamoto zinazowakabili wanawake ikiwa ni pamoja na namna ya kujikwamua kiuchumi na kibiashara pamoja na mchango wa wanawaume katika miaka 30 ya Beijing.

Aidha Dk Tulia amesema bado wanawake wanaitaji kushikwa mkono ili kufikia viwango walivyo fikia wanaume, "Hatumaanishi tunaitaka Nafasi ya Wanaume hapana Bali tunataka na sisi tupewe Nafasi ya kufanya Mambo sawa sawa na wanaume na Mahala tunapokwama basi tushikwe Mkono tusiachwe"

Naibu Waziri wa mawasiliano na Teknolojia ya habari na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka Wanawake Kuendelea Kumuungo Mkono Rais Wa Jumuuri ya Muungano wa Tanzania Dkt: Samila Suluhu Hassani zaidi akiwakumbusha wanawake kuendelea kupambana kichumi kwakuwa mwanamke yoyote akifanikiwa hata familia yake inakuwa na misha mazuri.

Kwa Upande wake Naibu Katibu Mkuu Wizara wa Maendeleo ya Jamii Jinsia wanawake na Makundi Maalumu Felista Mdemu ameeleza lengo la kongamano hilo kuwa ni kuendelea kuwakumbusha wanawake kujiimarisha kiuchumi na kuepuka utegemezi uliokithiri.
Kazi ya serikali ni nini?
Acheni kuwatwisha wanaume mizigo isiyo wahusu!
Fanyeni kazi yenu buanaaaa! kwani kodi zetu kazi yake ni nini?
 
FACT
Idadi ya wanawake Wenye uwezo kiuchumi inazidi kuongezeka. Ilhali idadi ya wanaume Wenye uwezo kiuchumi inazidi kushtuka.
 
Maisha ya sasa hakuna mtu mwenye jukumu zaidi kwenye maisha ya mwenzake, wanawake now wanachapa kazi kama wanaume tu hivyo kila mtu mwisho wa siku anapaswa kuwajibika kiuchumi ndani ya familia.
1741264486317.jpg
 
Wawezeshe wanaume 100 utaziinua familia 100. Wawezeshe wanawake 100 utazibomoa familia 95.
 
Spika Wa Bunge La Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dk Tulia Ackson amesema licha ya kuwepo kwa Juhudi mbalimbali za kuwainua Wanawake Katika Nyanja Mbalimbali Ikiwemo Uchumi na uongozi lakini bado kundi la Wanaume wana wajibu wa kuendelea kuwasaidia Wanawake ili kufikia viwango vya juu sawa na wanaume.

Akizungumzia katika Kongamano kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani lililowakutanisha wanawake wa mikoa ya nyanda za juu kusini na kufanyika jijini Mbeya kwa lengo la kujadili changamoto zinazowakabili wanawake ikiwa ni pamoja na namna ya kujikwamua kiuchumi na kibiashara pamoja na mchango wa wanawaume katika miaka 30 ya Beijing.

Aidha Dk Tulia amesema bado wanawake wanaitaji kushikwa mkono ili kufikia viwango walivyo fikia wanaume, "Hatumaanishi tunaitaka Nafasi ya Wanaume hapana Bali tunataka na sisi tupewe Nafasi ya kufanya Mambo sawa sawa na wanaume na Mahala tunapokwama basi tushikwe Mkono tusiachwe"

Naibu Waziri wa mawasiliano na Teknolojia ya habari na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka Wanawake Kuendelea Kumuungo Mkono Rais Wa Jumuuri ya Muungano wa Tanzania Dkt: Samila Suluhu Hassani zaidi akiwakumbusha wanawake kuendelea kupambana kichumi kwakuwa mwanamke yoyote akifanikiwa hata familia yake inakuwa na misha mazuri.

Kwa Upande wake Naibu Katibu Mkuu Wizara wa Maendeleo ya Jamii Jinsia wanawake na Makundi Maalumu Felista Mdemu ameeleza lengo la kongamano hilo kuwa ni kuendelea kuwakumbusha wanawake kujiimarisha kiuchumi na kuepuka utegemezi uliokithiri.
Mkiwa mnahitaji msaada kutoka kwetu mnakua sio super women tena.!
 
Back
Top Bottom