Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kama hivyo sawa
Nyie wañawake mkikutàna na wanaume maboya mnawatesa Sana.
Kuna mmoja hapa mtoto sio wakwake na bado anapelekeshwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hivyo sawa
Duuuuuuuuu. Sio kwamba hajui kuchagua nguo bali ananunua za bei poa.Nikweli yeye kashaolewa na mwanaume mwingine Mimi na nunua vitu kwaajir ya mtoto wangu lakini yeye hata ana taka niwe natuma pesa ili anunue yeye na Mimi sitaki nataka nimnunulie nguo mwangu nzur nzur maana yeye hajui kuchagua nguo nzur
Sent using Jamii Forums mobile app
MPE HELA ZA MATUMIZI YA MTOTO, HUWEZI KUTENGANISHA MATUMIZI YA MAMA NA MTOTO.Siwezi kumpa hela za matumizi yake binafsi wakati yeye kashaolewa ni mke wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu kaandika mzazi mwenzie hivi sasa kashaolewa na mwanaume mwingine.Jamaa kaaandika mahali fulani kuwa mkewe kamng'ang'ania mtoto...
Sasa kwa kuwa hatujaelezwa sababu ya yeye na mama mtoto kuwa single parents nilifungwa kumpa huo ushauri kama wako...
Jamaa ni kama yupo sawa kwa mtoto kuishi na mama isipokuwa hiyo tabia ya mama ya kutaka kutumiwa pesa ndio haoni ipo sawa...
Mmekutana pipa na mfunikoHuyu Mama wa mtoto wangu ana tabia ya kukataa vitu ninavyo mnunu lia mtoto wangu yeye ana taka niwe na mtumia hela mfano nime mnunulia mtoto wangu vifaa vya shule na baiskel nika mwambie nakutumia nauli umpe mdogo wako ampeleke mtoto kwa Bibi yake akachukue vitu vyake maana siyo mbali na anapo ishi nauli ni 800 na shangaa ana kataa ana taka nimtumie pesa akanunue yeye.
Kwan Mimi kumnunulia nguo mwanangu nikosa na Nili mtumia pesa aka mpigie picha mtoto ili nimkatie mtoto bima ya afya lakin yeye hataki ana sema bima ya afya haisaidii ukienda hospital hakuna dawa Wana kwambia ukanunue eti ni Bora niwe na mtumia hela ya kwenda hospital kuliko kumkatia bima mtoto Mim na mshanga huyu mwanamke.
Sasa Bima ya Afya nayo haitakiWe nae mkuu acha kulalamika,, Tuma boda apeleke na sio lazima aagize yeye mtu akachukue...
Pili huenda anataka hela ili labda awanunulie na watoto wake(Yaani wafanane) so ukinunua wewe mtoto wako atakuwa tofauti na watoto wake so anataka ku balance..
kama na yeye ana watoto basi huenda anataka wafanane,, ili wajisikie vizuri wasibaguane,...sio Mwanao ananunuliwa Begi,,wenzake hawana,, analetewa nguo,,wenzake hawana.
Ni malezi tu PLUS combination ya Njaa ndio inaleta yote hayo....
Tafakari | Chukua hatua
Amesoma Hadi darasa la ngapi?Huyu Mama wa mtoto wangu ana tabia ya kukataa vitu ninavyo mnunu lia mtoto wangu yeye ana taka niwe na mtumia hela mfano nime mnunulia mtoto wangu vifaa vya shule na baiskel nika mwambie nakutumia nauli umpe mdogo wako ampeleke mtoto kwa Bibi yake akachukue vitu vyake maana siyo mbali na anapo ishi nauli ni 800 na shangaa ana kataa ana taka nimtumie pesa akanunue yeye.
Kwan Mimi kumnunulia nguo mwanangu nikosa na Nili mtumia pesa aka mpigie picha mtoto ili nimkatie mtoto bima ya afya lakin yeye hataki ana sema bima ya afya haisaidii ukienda hospital hakuna dawa Wana kwambia ukanunue eti ni Bora niwe na mtumia hela ya kwenda hospital kuliko kumkatia bima mtoto Mim na mshanga huyu mwanamke.
Kama ameshaolewa ndio usimpe motivation ya kukulelea mtoto wenu pia?
Mchukue mwanao na ubahili na wivu wako kwanini hukumuoa wewe Sasa?Siwezi kumpa hela za matumizi yake binafsi wakati yeye kashaolewa ni mke wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huyo mume mwenzio akinunua chakula pale nyumbani na matumizi mengine ambayo mwanao pia anayapata huwa anamtenga mwanao?Nikweli yeye kashaolewa na mwanaume mwingine Mimi na nunua vitu kwaajir ya mtoto wangu lakini yeye hata ana taka niwe natuma pesa ili anunue yeye na Mimi sitaki nataka nimnunulie nguo mwangu nzur nzur maana yeye hajui kuchagua nguo nzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini alimzalisha mke wa mtu?Kama ni mke wa MTU, achana naye ,USIMPE HATA MIA YAKO.
Wewe endelea kufanya unavyofanya.
Chukua Mtoto Wako Ulee
Pole sana kwa kuzaa na mwanamke mpumbavu.Huyu Mama wa mtoto wangu ana tabia ya kukataa vitu ninavyo mnunu lia mtoto wangu yeye ana taka niwe na mtumia hela mfano nime mnunulia mtoto wangu vifaa vya shule na baiskel nika mwambie nakutumia nauli umpe mdogo wako ampeleke mtoto kwa Bibi yake akachukue vitu vyake maana siyo mbali na anapo ishi nauli ni 800 na shangaa ana kataa ana taka nimtumie pesa akanunue yeye.
Kwan Mimi kumnunulia nguo mwanangu nikosa na Nili mtumia pesa aka mpigie picha mtoto ili nimkatie mtoto bima ya afya lakin yeye hataki ana sema bima ya afya haisaidii ukienda hospital hakuna dawa Wana kwambia ukanunue eti ni Bora niwe na mtumia hela ya kwenda hospital kuliko kumkatia bima mtoto Mim na mshanga huyu mwanamke.
Hapa ndiyo shida inapoanzia na mama mtoto wako, akionekana kama wa mabeberu ndiyo muonekano gani huo? anaona una matumizi mabaya bora anunue yeye bei simple pesa nyingine amnunulie vitu vingine dogo🤔Hapana Mimi napenda mtoto wangu akivaa aoneka anatoka kwenye nchi ya dunia ya Kwanza kwa mabeberu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siyo bahili tatizo yeye ana taka kunipagia utaratibu Mimi niufate yani Mimi nifanye vitu ana vyo vitaka yeye mfano yeye ana taka nisinunue kitu chochote cha mtoto niwe nampa pesa yeye ndo anunue Jambo jingine ni muongo siyo mkweli ana danganya sehem anayo ishiKama ameshaolewa ndio usimpe motivation ya kukulelea mtoto wenu pia?
Acha ubahili bwashee
Yeye hajui kunuua nguo nzur yani ana nunuaa nguo kubwa mwishoe ana zipeleka kuzipunguza kwa fundiHapa ndiyo shida inapoanzia na mama mtoto wako, akionekana kama wa mabeberu ndiyo muonekano gani huo? anaona una matumizi mabaya bora anunue yeye bei simple pesa nyingine amnunulie vitu vingine dogo[emoji848]
Kama ana taka kulea kwa usawa Mimi mwangu atakuwa haja tendewa haki mtoto wangu kuna vitu ata vikosa yeye alisema kwa wazaz wangu simgaii pesa kama zamani Mama akamjib sasa hivi umeshaolewa na mwanaume wako unaishi nae mtoto wangu hawez kuku hudumua kama mke wake, mim na paga bajet ya mwanangu Mimi sipagi bajet kwaajir ya yeye na mume wakeKwani huyo mume mwenzio akinunua chakula pale nyumbani na matumizi mengine ambayo mwanao pia anayapata huwa anamtenga mwanao?
Acha roho mbaya ukute huyo mama anataka alee watoto kiusawa hivyo hiyo pesa anaweza share na wale wengine