Mama wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi, kipi nifanye kumuepuka?

Maadili ni kitu adimu sana, na ni kitu subjective sio Kila mtu ataweza kuwa na msingi wa maadili kama hivyo.Simamia unachokiamini.
 
Huu uzi ufutwe tu halafu upigwe ban!
Mkuu, hii inaweza kuonekana rahisi na wengi wataninyooshea vidole lwa kushindwa kupiga. Lakini tatizo lipo kwenye urafiki wetu. Endapo nitazitii hisia naweza kutengeneza uadui mkubwa sana. Wa kujutia nitabaki kuwa mimi kwakuwa ndio nitakuwa source
 
Mkuu, hii inaweza kuonekana rahisi na wengi wataninyooshea vidole lwa kushindwa kupiga. Lakini tatizo lipo kwenye urafiki wetu. Endapo nitazitii hisia naweza kutengeneza uadui mkubwa sana. Wa kujutia nitabaki kuwa mimi kwakuwa nfio nitakuwa source
Mimi sijakushauli utembee nae ila unafahamu kabisa kuwa hutakiwi kutembea nae sasa kwanini unatuuliza!, umeandika waje wenye ushauri wa busara na wakati unajua kwa kutumia busara nini ufate!. hivyo nasema wewe ni zwazwa maana unajua nini chakufata na ningekuwa mimi ndo moderator ban ungekula ya wiki tatu na masaa sita halafu nauzi naufuta!.
 
Shule zimefungwa.
 
Jitahidi kumfanya asijisikie vibaya na asione hatia kwa alichofanya hata kama humtaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…