Mama wa rafiki yangu changamoto

Mama wa rafiki yangu changamoto

Niende moja kwa moja kwenye mada, kifupi mie nakaa Jiji la mzee Amos makalla na nimebahatika kupata kibanda sasa hapa mtaani. Kuna bi mkubwa flani ambae mwanae wa pili licha ya mie kumzidi umri sana ila ndio mshikaji, maana hiyo mwanae ni mtu wa mambo ya mipira na mie napenda mpira na huwa naungana nae kiwanjani kucheza.

Ila bimkubwa wake amekuwa amekuwa na pigo sio maana kuna watu zaidi ya watu wameniambia bimkubwa hiyo anasambaza habali kuwa mie namkula yeye mwanae hajawahi kuniambia japo nahisi atakuwa anajua.

Sasa leo jana nimeenda kuangalia mechi ya FA kati ya Liver na Wolves kwenye baa flan jirani nimemkuta yule mama ameshawaka, nikampa heshima yake akapotezea baadae baadae kaniganda nimsindikize nyumbani huku hata game ya liver haijaisha, nikakataa. Mwanae ambae mshikaji yeye hakuja kuangalia game kwa sababalu aliachiwa nyumba.

Sasa nikasema nimsindikize faster nirudi nimalizie game, matokeo yake tumefika njiani kanichinjia kuwa mie najifanya mtoto wakati mtu mzima. Yeye amekuwa akinielewa siku nyingi hivyo akataka nicheze cowbell our milk na nimuweke walau mzunguko mmoja vinginevyo atanizingua kwa kupiga kelele kuwa nataka kumrape na akayatoa kabisa mamilk.

Nilichofanya ni kutoka mbio mpk getho kwangu ila nimekaa najiuliza kwanini hawa wamama wanakosa ustaarabu? Huyu mama kanizidi over 10 years leo analazimisha penzi kwangu, he wa umri wake hawaoni? Na kwanini kaamua kunisambazia uzushi kuwa mie namkula yeye wakati sio kweli? Mpaka sasa sielewi hasa lengo lake nini!
MKUU hebu gegeda mbunye hainaga umuli Wala saizi zote zipo sawa tu mbona unajipunja
 
Tatizo age lakini pia mshikaji akijua namgegeda bimkubwa wake itakuwa sio poa
Umefanya jambo la busara sana. Ngono haina faida yoyote na ni hatari sana kutembea na mtu aliyekuzidi umri kwasababu ni laana.
Hapo cha kufanya, ni kumkwepa tu. Ukiona yupo sehemu au kuna dalili za huyo mama kuwepo mazingira fulani ni kumkwepa.
 
Kwa hiyo mshikani wako atakuita baba mdogo? Pole Mkuu.

Kuna dogo mmoja alikuwa mchezaji wa timu moja kule mkoani Kagera sasa hivi yupo moro kusini huko village. Anaishi na bi mkubwa wake kabisa. Yaani Mama yake mzazi wananyanduana live bila chenga. Room moja, wakishalewa tu kosa maandalizi yaanzia kwenye kadamnasi huku jamaa akijisifia kabisa anaenda kula mbolea ya mamayake. Sipendi kumtaja jina ila dogo ndo kapotea kiivyo na hayumo sawa kichwani kama zimepoteana kidogo.
Oyaaaaaa mtaje mkuu tumjue.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, kifupi mie nakaa Jiji la mzee Amos makalla na nimebahatika kupata kibanda sasa hapa mtaani. Kuna bi mkubwa flani ambae mwanae wa pili licha ya mie kumzidi umri sana ila ndio mshikaji, maana hiyo mwanae ni mtu wa mambo ya mipira na mie napenda mpira na huwa naungana nae kiwanjani kucheza.

Ila bimkubwa wake amekuwa amekuwa na pigo sio maana kuna watu zaidi ya watu wameniambia bimkubwa hiyo anasambaza habali kuwa mie namkula yeye mwanae hajawahi kuniambia japo nahisi atakuwa anajua.

Sasa leo jana nimeenda kuangalia mechi ya FA kati ya Liver na Wolves kwenye baa flan jirani nimemkuta yule mama ameshawaka, nikampa heshima yake akapotezea baadae baadae kaniganda nimsindikize nyumbani huku hata game ya liver haijaisha, nikakataa. Mwanae ambae mshikaji yeye hakuja kuangalia game kwa sababalu aliachiwa nyumba.

Sasa nikasema nimsindikize faster nirudi nimalizie game, matokeo yake tumefika njiani kanichinjia kuwa mie najifanya mtoto wakati mtu mzima. Yeye amekuwa akinielewa siku nyingi hivyo akataka nicheze cowbell our milk na nimuweke walau mzunguko mmoja vinginevyo atanizingua kwa kupiga kelele kuwa nataka kumrape na akayatoa kabisa mamilk.

Nilichofanya ni kutoka mbio mpk getho kwangu ila nimekaa najiuliza kwanini hawa wamama wanakosa ustaarabu? Huyu mama kanizidi over 10 years leo analazimisha penzi kwangu, he wa umri wake hawaoni? Na kwanini kaamua kunisambazia uzushi kuwa mie namkula yeye wakati sio kweli? Mpaka sasa sielewi hasa lengo lake nini!
Tea bila sugar.....
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, kifupi mie nakaa Jiji la mzee Amos makalla na nimebahatika kupata kibanda sasa hapa mtaani. Kuna bi mkubwa flani ambae mwanae wa pili licha ya mie kumzidi umri sana ila ndio mshikaji, maana hiyo mwanae ni mtu wa mambo ya mipira na mie napenda mpira na huwa naungana nae kiwanjani kucheza.

Ila bimkubwa wake amekuwa amekuwa na pigo sio maana kuna watu zaidi ya watu wameniambia bimkubwa hiyo anasambaza habali kuwa mie namkula yeye mwanae hajawahi kuniambia japo nahisi atakuwa anajua.

Sasa leo jana nimeenda kuangalia mechi ya FA kati ya Liver na Wolves kwenye baa flan jirani nimemkuta yule mama ameshawaka, nikampa heshima yake akapotezea baadae baadae kaniganda nimsindikize nyumbani huku hata game ya liver haijaisha, nikakataa. Mwanae ambae mshikaji yeye hakuja kuangalia game kwa sababalu aliachiwa nyumba.

Sasa nikasema nimsindikize faster nirudi nimalizie game, matokeo yake tumefika njiani kanichinjia kuwa mie najifanya mtoto wakati mtu mzima. Yeye amekuwa akinielewa siku nyingi hivyo akataka nicheze cowbell our milk na nimuweke walau mzunguko mmoja vinginevyo atanizingua kwa kupiga kelele kuwa nataka kumrape na akayatoa kabisa mamilk.

Nilichofanya ni kutoka mbio mpk getho kwangu ila nimekaa najiuliza kwanini hawa wamama wanakosa ustaarabu? Huyu mama kanizidi over 10 years leo analazimisha penzi kwangu, he wa umri wake hawaoni? Na kwanini kaamua kunisambazia uzushi kuwa mie namkula yeye wakati sio kweli? Mpaka sasa sielewi hasa lengo lake nini!
Chai
 
Back
Top Bottom