Hatari sana..!Watu wa vijijini wanaamini Uzazi wa Mpango ni kumzuia asizagamue/ asizagamuliwe.
Hivyo wanapinga sana kwa nguvu zote huku wakijificha kwenye kauli ya Mwenyezi Mungu ya Zaeni Mkaijaze Nchi lakini pointi yao kubwa ni Mizagamuo tu.
Uanzishwe mchango humu tumchangie. Sio kuchangia mpira na siasa pekee. Na akipendeza huyo mama, mjinga aliyekimbia majukumu anajirudisha. Na akina mama wasivyo na hiana, anapachikwa mimba ya 9.Waziri Dkt. Gwajima D kuna hii familia ya kuitazama inahitaji msaada wa kiuchumi na kijamii. Mama wa watoto nane, Belita Deus, ambaye mumewe katoroka.
Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto wa Wilaya ya Malinyi, Mkaguzi wa Polisi Michael Rasha, ameguswa na hali ya mama wa watoto nane, Belita Deus (37), ambaye alitorokwa na mumewe kutokana na ugumu wa maisha.
Mkaguzi Rasha, akiwa katika jukumu lake la kutoa elimu katika kijiji na kata ya Kilosa Mpepo, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, alipokea ujumbe kutoka kwa mama huyo akiomba msaada wa kutafutiwa mumewe ambaye ametoroka na kumtelekeza pamoja na watoto.
Baada ya kupokea wito huo, Rasha alifika nyumbani kwa Belita na kuelezwa changamoto alizonazo baada ya mume wake kumtoroka. Ameeleza kuwa maisha yamekuwa magumu sana na anakabiliwa na tatizo la makazi, kwani anakaa kwenye kibanda alichopewa na msamaria ambaye sasa anakitaka. Pia, amekosa mahitaji muhimu kwa ajili yake na watoto wake na hawezi kuwaendeleza kielimu.
Belita amesema njia pekee inayomfanya aishi ni kufanya vibarua vya kulima na usafi kwenye nyumba za watu ili apate pesa za kusukuma maisha. Mtoto wake mkubwa ana miaka 14 na alitakiwa kuwa darasa la sita, huku mtoto mdogo akiwa na miezi mitano tu.
Mkaguzi Rasha amempatia Belita kilo 20 za unga, mche wa sabuni, na fedha kidogo ya kujikimu ili kumfariji. Hata hivyo, mama huyo anahitaji msaada zaidi kutoka kwa wasamaria wema walioguswa na hali yake.
Picha: Michael Rasha
We umejuaje hajatekwa na kuuwawa? Kuna ushahidi gani katoroka?Haya huyo baba aliyezaa na kukimbia, Kalea nini zaidi ya kukwepa uwajibikaji na majukumu huku akiacha familia kwenye umaskini?
Ndio, nafytua maengineer wa miradi, hakuna tatizo..Hakikisha unafyatua vibarua wengi kwa ajili ya miradi kama BRT
Ma engineer wa miradi wapo tayari kutoka China, Uturuki, Ulaya na Misri.Ndio, nafytua maengineer wa miradi, hakuna tatizo..
Mke wake angesema kwamba mme wake haonekani nyumbani muda mrefu pengine kapotea au katekwa.We umejuaje hajatekwa na kuuwawa? Kuna ushahidi gani katoroka?
Wote hata na mwanamke.Una hasira na wanaume wanao zalisha hovyo je wanaozalishwa hovyo vipi? Mwanamke ndiye mwenye jukumu kubwa la uzazi wa mpango, mwanaume habebi mimba.
Ngoja afikishe 11 ndiyo afunge kizazi bado watatu team ya mpira itimie!!Afunge kizazi sasa hiyo namba yatosha.Mungu ampe taafifu ya roho
Wanahitajika wa ndani piaMa engineer wa miradi wapo tayari kutoka China, Uturuki, Ulaya na Misri.
Mtu aliyetekwa na kuuwawa na mtu aliyetoroka, yeye ametofautisha vipi?Mke wake angesema kwamba mme wake haonekani nyumbani muda mrefu pengine kapotea au katekwa.
Lakini mke wake kasema kwamba, mme wake katoroka nyumbani kukwepa majukumu na ugumu wa Maisha.
Usicho elewa ni nini?
Au unataka kutetea upumbavu wa huyo baba mpumbavu?
Contact za mama zipo wapi??? Au tunampataje? Iwe watsup ya huyo police ikiwezekana.
Huwa nina hasira sana na wanaume wanao zalisha hovyo kama mapanya halafu kulea hawawezi.
Mijitu ya namna hii ndio inazalisha umaskini na kuongeza idadi ya maskini kuwa wengi duniani.
Na ndio maana huwa nafurahi sana watoto wa namna hii, wanao kulia katika shida hizi, wanapokuja kufanikiwa na kuwatupilia mbali hao baba zao wapumbavu na wazembe wakwepa majukumu.
Li mzazi la namna hii siku likija kukuomba msamaha wewe mtoto wake, Unamfurumusha na mabapa ya panga akafie mbali.
Mngeomba muandaliwe utaratibu ili mtafutiwe wengi zaidi. Nchi nzima hali ni kama hiyo.Mh. Doroth gwajima,huyo afande mpambanie.
Kafanya jambo jema sana
Wewe unathibitisha vipi huyo mme ameuwawa?Mtu aliyetekwa na kuuwawa na mtu aliyetoroka, yeye ametofautisha vipi?
Mambo mengine yanachekesha frankly.Ndio mwanamme kamkimbia,na ndiyo anahitaji kupata msaada,lakini wote wawili wamefikaje hapo,yeye na mume wake?Ni wazi kabisa kwamba ujinga ndio uliowafikisha hapo,kwa hiyo kama wasipopata msaada(I hope they will),wasimlalamikie mtu,ila wao wenyewe.Na huyo mwanamme popote alipo asakwe awajibishwe kufuatana na sheria zetu za nchi, na alazimishwe kubeba msalaba wake.Huwezi kusababisha tatizo halafu ukimbie.Waziri Dkt. Gwajima D kuna hii familia ya kuitazama inahitaji msaada wa kiuchumi na kijamii. Mama wa watoto nane, Belita Deus, ambaye mumewe katoroka.
Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto wa Wilaya ya Malinyi, Mkaguzi wa Polisi Michael Rasha, ameguswa na hali ya mama wa watoto nane, Belita Deus (37), ambaye alitorokwa na mumewe kutokana na ugumu wa maisha.
Mkaguzi Rasha, akiwa katika jukumu lake la kutoa elimu katika kijiji na kata ya Kilosa Mpepo, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, alipokea ujumbe kutoka kwa mama huyo akiomba msaada wa kutafutiwa mumewe ambaye ametoroka na kumtelekeza pamoja na watoto.
Baada ya kupokea wito huo, Rasha alifika nyumbani kwa Belita na kuelezwa changamoto alizonazo baada ya mume wake kumtoroka. Ameeleza kuwa maisha yamekuwa magumu sana na anakabiliwa na tatizo la makazi, kwani anakaa kwenye kibanda alichopewa na msamaria ambaye sasa anakitaka. Pia, amekosa mahitaji muhimu kwa ajili yake na watoto wake na hawezi kuwaendeleza kielimu.
Belita amesema njia pekee inayomfanya aishi ni kufanya vibarua vya kulima na usafi kwenye nyumba za watu ili apate pesa za kusukuma maisha. Mtoto wake mkubwa ana miaka 14 na alitakiwa kuwa darasa la sita, huku mtoto mdogo akiwa na miezi mitano tu.
Mkaguzi Rasha amempatia Belita kilo 20 za unga, mche wa sabuni, na fedha kidogo ya kujikimu ili kumfariji. Hata hivyo, mama huyo anahitaji msaada zaidi kutoka kwa wasamaria wema walioguswa na hali yake.
Picha: Michael Rasha
Acha kutetea ujingaKwani uchumi ndiyo unaruhusu kuzaa!? Unaweza kua na uchumi mkubwa tu na bado ukashindwa kupata hata katoto kamoja ka dawa!!
Kwa hiyo waliosema tajiri na mali zake,masikini na watoto wake ndiyo walikua wanatetea ujinga!!?Acha kutetea ujinga
Matusi hayasaidii, mama anataka msaada/mumewe.Huwa nina hasira sana na wanaume wanao zalisha hovyo kama mapanya halafu kulea hawawezi.
Mijitu ya namna hii ndio inazalisha umaskini na kuongeza idadi ya maskini kuwa wengi duniani.
Na ndio maana huwa nafurahi sana watoto wa namna hii, wanao kulia katika shida hizi, wanapokuja kufanikiwa na kuwatupilia mbali hao baba zao wapumbavu na wazembe wakwepa majukumu.
Li mzazi la namna hii siku likija kukuomba msamaha wewe mtoto wake, Unamfurumusha na mabapa ya panga akafie mbali.