Ila Tanzania dah!!!!!! CCM itatawala milele,hivi kukaa mbele kunaongeza/kupunguza nini katika utu wako? Bosi wangu kipindi nipo MSI au MST alikua anapenda sana toka na kusafiri namie ila aligundua kua nafanya unafiki wa kujizungusha ili yeye ake mbele,ila kuna alinitolea uvivu na akanichana.......... Mr Ndibuka wewea kukaa mbele hakuondoi nafasi yangu ofisini,hata nikikaa nyuma mie ni bosi wako tu so kuanzia leo utakaa siti ya mbele uwapo namie........ Stop infantism,kukaa mbele au nyuma hakuondoi thamani ya utu wako....... Kwanini Maraisi hawakai siti za mbele,achilia mbali sababu za kiusalama?