Mama yangu alifariki huku akijua simpendi

Mama yangu alifariki huku akijua simpendi

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,070
Reaction score
4,698
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.

Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.

Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.

Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.

Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.

Natanguliza shukrani.
 
Kwa sababu umeshatambua kosa na umejutia basi piga magoti kwa imani tubu kwa mungu wako hakika mungu ni mwenye kusamehe, baada ya hapo usiwe na mashaka moyoni mwako amini umesamehewa, na ishi maisha yako ya kawaida kabisa kama hukuwai kutenda jambo Hilo maana shetani anaweza kutumiwa kigezo Cha kukuwekea kumbukumbu za ulichokitenda ilimradi akuvuruge usiwe na amani ya moyo ukitubu na kuomba msamaa wa dhati hakika mungu atakusamee usiwe na mashaka kabisa na Wala usivunjwe moyo nawalimwengu.

Mungu akusaidie Sana.
 
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.

Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.

Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.

Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.

Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.

Natanguliza shukrani.
Chuki ni tunda la mahusino yaliyoharibika.
Watu tukiwa hai hata kama tumekoseana kwa namna yoyote ile kuna kusameheana na kacha machungu nyuma ili roho ziwe safi.
Mtoa mada mama yako kakuachia machungu ambayo ulishindwa kumsamehe, hapo umeachiwa ka pepo kanako kusumbua, ka pepo ka chuki.
Kulitoa hilo pepo ni kwa sala na toba!
 
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.

Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.

Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.

Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.

Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.

Natanguliza shukrani.
Watu wengi mgejua kwamba barakah za mafanikio yenu hupitia kwa wazazi wenu hususani mama, mgekua mnatamani kuwabeba
 
Maskini Mama! hakika alifariki kifo cha mateso sana, kama mzazi kujua mtoto uliyemuweka tumboni miezi 9 na kumtoa kwa uchungu wa kuliona kaburi anakuchukia!!! dooh! aliishi kwa mateso sana, [emoji26]

Nijuacho mzazi siku zote hawezi kuweka kinyongo kwa mwanae, alikusamehe kabla hajafa ni muda wa wewe kujisamehe na kuishi maisha yaliyo bora bila kuweka vinyongo vinavyounda roho chafu.

Ila usisahau kitu kinachoitwa KARMA.
 
Tubu..omba Mungu akupe amani ya moyo.
 
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.

Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.

Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.

Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.

Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.

Natanguliza shukrani.
UMEKIMBIA MKOJO UNAKANYAGA MAVI
YAANI N MLAANIWA
ANAEMCHUKIA MAMAYAKE A WASIWASI KAMA HUJAMUUA.....
 
Ukitaka uone Dunia chungu penda kuwawekea vinyongo na chuki watu waliotangulia mbele za haki kiufupi msamehe tu na wew ipi siku utalamba tu mchanga why ushindwe kusame
 
Back
Top Bottom