Mama yangu alifariki huku akijua simpendi

Mama yangu alifariki huku akijua simpendi

Chuki ni tunda la mahusino yaliyoharibika.
Watu tukiwa hai hata kama tumekoseana kwa namna yoyote ile kuna kusameheana na kacha machungu nyuma ili roho ziwe safi.
Mtoa mada mama yako kakuachia machungu ambayo ulishindwa kumsamehe, hapo umeachiwa ka pepo kanako kusumbua, ka pepo ka chuki.
Kulitoa hilo pepo ni kwa sala na toba!
kinachoniumiza ni alikufa akijua hivo kwanini nilishindwa kumuigizia
 
soma uelewe
"nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu".....
Sema kwanini ulimchukia kiasi hicho alikutenda nini? Au wewe ulichukia tu bila sababu?
 
Maskini Mama! hakika alifariki kifo cha mateso sana, kama mzazi kujua mtoto uliyemuweka tumboni miezi 9 na kumtoa kwa uchungu wa kuliona kaburi anakuchukia!!! dooh! aliishi kwa mateso sana, [emoji26]

Nijuacho mzazi siku zote hawezi kuweka kinyongo kwa mwanae, alikusamehe kabla hajafa ni muda wa wewe kujisamehe na kuishi maisha yaliyo bora bila kuweka vinyongo vinavyounda roho chafu.

Ila usisahau kitu kinachoitwa KARMA.
karma inahusikaje apa?
 
IJUMAAAA IJUMAAAA

KUNA MAOMBI YA KUONDOA NUKSI BALAA LAANA MIKOSI KWA KUHANI MUSA RICHARD MWACHA
NENDA UKAMWGIWE MAFUTA UONDOE HIO LAANA KIINGILIO BURE

....SO SAD SIKUHURUMII WEWE NAHURUMIA WANAO KAMA UMEBAHATIKA KUPATA
 
Najua lazima iko sababu. Na kukulaumu hata kidogo siwezi. Nimeishi katika extended family. Nimeona mengi. Kuna wazazi ni wakatili sana. So usijali. Usiumie sana. Iko siku utasahau tu. Nimewahi andika uzi hapa juu ya sista aliyekua akininyanyasa tukiwa primary. Yule mtawa sijui alikua na shida gani. Toka primary hadi uzeenj. Siku nimeandika ule uzi ndo siku niliweza msamehe. Nilijisikia roho yangu inapumua. Some things need time. Siku moja nilimtembelea mtawa aliyekua mkubwa kivyeo na kumwambia unajua despite the fact kwamba sister Mary amefariki lakini namchujia sana bado? Sista alifariki mida sana na mimi nilimaliza primary 2004. Alininenea maneno mabaya na ambayo sikuwahi fanya. Zaidi uogno ndo uliniumiza. I told sister shayo unajua despite sister mary is gone bado namchukia sana? That was 2014 nimegraduate chuo nikiwa namuonyehsa album yangu ya graduation. Alishtuka sana. Ndipo nilikuhadithia kila kitu. Alijisikia vibaya. Its obvious kuna vitu alikufanyia udogoni either kukubagua, chuki etc. Ulishindwa yahimili ukayabeba. Nakuombea kwa Mola nafsi yako ikapate amani kupitia sala na toba. Muda utakuponya lakini mpe Mungu zaidi nafasi kubwa. Na ukiweza hadithia itakusaidia zaidi...
 
Kama umeshagundua kosa lako, Kiri na ujifunze kusamehe na kusahau.

Hakikisha, hufanyi kosa kama Hilo Tena Kwa Mzee wako kama bado yupo Hai.
 
Maskini Mama! hakika alifariki kifo cha mateso sana, kama mzazi kujua mtoto uliyemuweka tumboni miezi 9 na kumtoa kwa uchungu wa kuliona kaburi anakuchukia!!! dooh! aliishi kwa mateso sana, [emoji26]

Nijuacho mzazi siku zote hawezi kuweka kinyongo kwa mwanae, alikusamehe kabla hajafa ni muda wa wewe kujisamehe na kuishi maisha yaliyo bora bila kuweka vinyongo vinavyounda roho chafu.

Ila usisahau kitu kinachoitwa KARMA.
My dear, hujaona. Hujaonaa nakuambia. Yaani usihukumu. Wamama wa kizazi hiki wamekua wa hovyo sana. Na hiki kizazi tunachokiacha sijui kitakua katika hali gani? Umelifikiria hili? Kuna wamama ni tatizo sana aisee. Very toxic. Wengine wanavunja mpaka ndoa za watoto zao. Utasema ana upendo huyo?
 
IJUMAAAA IJUMAAAA

KUNA MAOMBI YA KUONDOA NUKSI BALAA LAANA MIKOSI KWA KUHANI MUSA RICHARD MWACHA
NENDA UKAMWGIWE MAFUTA UONDOE HIO LAANA KIINGILIO BURE

....SO SAD SIKUHURUMII WEWE NAHURUMIA WANAO KAMA UMEBAHATIKA KUPATA
Najua lazima iko sababu. Na kukulaumu hata kidogo siwezi. Nimeishi katika extended family. Nimeona mengi. Kuna wazazi ni wakatili sana. So usijali. Usiumie sana. Iko siku utasahau tu. Nimewahi andika uzi hapa juu ya sista aliyekua akininyanyasa tukiwa primary. Yule mtawa sijui alikua na shida gani. Toka primary hadi uzeenj. Siku nimeandika ule uzi ndo siku niliweza msamehe. Nilijisikia roho yangu inapumua. Some things need time. Siku moja nilimtembelea mtawa aliyekua mkubwa kivyeo na kumwambia unajua despite the fact kwamba sister Mary amefariki lakini namchujia sana bado? Sista alifariki mida sana na mimi nilimaliza primary 2004. Alininenea maneno mabaya na ambayo sikuwahi fanya. Zaidi uogno ndo uliniumiza. I told sister shayo unajua despite sister mary is gone bado namchukia sana? That was 2014 nimegraduate chuo nikiwa namuonyehsa album yangu ya graduation. Alishtuka sana. Ndipo nilikuhadithia kila kitu. Alijisikia vibaya. Its obvious kuna vitu alikufanyia udogoni either kukubagua, chuki etc. Ulishindwa yahimili ukayabeba. Nakuombea kwa Mola nafsi yako ikapate amani kupitia sala na toba. Muda utakuponya lakini mpe Mungu zaidi nafasi kubwa. Na ukiweza hadithia itakusaidia zaidi...
asante sana mkuu barikiwa
 
Mkuu ukweli humweka mtu huru. Hukuwa unampenda na ilikuwa hvyo na si wewe ulijiamulia tu kutokumpenda ila ilisababishwa na mambo flan ambayo hujayaweka bayana.

Kikubwa samehe alale kwa amani. Sahau yaliyokwisha tokea na jua si wewe ulijiamulia kuwa hvyo.
Samehe sahau na omba msamaha kwa Mungu wako na usiyawaze sana maana yamekwiaha
 
Kuna dogo mmoja alikuwa hasalimiani na mama yake. Sijui walikosana nini. Bahati nzuri niliongea naye na akanipa hiyo ishu. Nikamuuliza mama yako yuko wapi? Akasema alikuwa amelazwa hospitalini anasumbuliwa na shida ya figo.

Nilimuuliza swali rahisi sana. Ati, huyo mamako akikata roho leo, wewe utakuwa na hali gani? Hutajuta maisha yako yote?

Nilimwambia sasa hivi acha kila kitu unachofanya. Nenda hospitalini alikolazwa mama yako. Wala usinunue zawadi yo yote. Nenda kamsalimie mama yako. Nenda ukamkumbatie. Mwambie mama nakupenda sana na nisamehe kwa kujaribu kukosana nawe. Lia naye. Mfute machozi. Mwangalie machoni. Mwambie mama utapona. Nakupenda sana!

Nafurahi kwamba alifanya hivyo maana baada ya siku kama tano hivi mama yake alifariki. Mpaka kesho na kesho kutwa huwa ananishukuru hatari na huwa ananiona kama nabii au apostle fulani hivi. Na ukimuuliza ni tukio gani la muhimu sana ambalo limeshawahi kumtokea katika maisha yake atakutajia kuwa ni siku ile alipojishusha na kwenda kuomba msamaha na kuagana na mama yake aliyekuwa anapambania maisha yake hospitalini.

Na maneno ya mwisho kutoka kwa mama yake ameyaandika kabisa: Asante mwanangu James. Na mimi nisamehe. Sikuwa mama mkamilifu lakini nakupenda mwanangu. Nakuombea mibaraka katika maisha yako. Utaishi maisha mema mwanangu"

Kwako wewe kwa vile umeshachelewa kuomba msamaha kwa mama yako fanya yafuatayo:

Kwanza msamehe mama yako kwa makosa aliyokukosea mpaka ukafikia kumchukia. Mwachilie kabisa kabisa kwa moyo wako wote. Mwambie kabisa: Mama mimi nimeshakusamehe! Na wewe nisamehe mamangu. Tusameheane! Ukiweza nenda kaburini kwake alipolala mkasameheane huko!


Pili kimbilia kwa Mungu (kama unaamini katika uwepo wake). Mwambie Mungu Akusamehe pia kwa niaba ya mama yako maana kumchukia mama yako ulivunja amri mojawapo ya Mungu - amri ya muhimu sana na iliyofungamanishwa na urefu wa muda wako wa kuishi hapa duniani.

Ukishamsamehe mama yako na Mungu Akakusamehe, basi chukua kisadaka kidogo ukipeleke madhabahuni au kwa watoto yatima huko kama ishara ya neema, msamaha, upendo na kusonga mbele. Na kila unapopiga magoti kuomba muombee mama yako na mshukuru Mungu kwa muda wote aliomuweka hapa duniani....

Ukiyafanya haya kwa moyo mweupe, chuki yako itaisha, mahangaiko unayopitia na hii sense of guilty inayokutesa pole pole itaanza kupungua na hatimaye utakuwa huru. Utakuwa mwenye furaha mpya na mambo yako mengi tu yataanza kufunguka.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Na hili liwe funzo kwa nyinyi ambao bado mna wazazi. Epukeni sana mabifu na wazazi wenu. Wasameheni. Jishusheni kwao. Wajalini, kuwaombea na kuwasikiliza maana wakija kuondoka aisee ni mtihani sana. Na hakuna majuto yanayouma kama mzazi wako kufariki wakati mmekosana na mpaka kufikia hata kutosalimiana.

Kila la heri mkuu....
Screenshot_20221215-115200_Swahili%20Bible%20Offline.jpg
 
Kama umeshagundua kosa lako, Kiri na ujifunze kusamehe na kusahau.

Hakikisha, hufanyi kosa kama Hilo Tena Kwa Mzee wako kama bado yupo Hai.
nlikua sijuhi kama kutokupenda ni kosa
sio mama tu kuna muda najiona sijaumbwa kupenda japo yeye nilimchukia na chuki still ninayo mpaka sasa
 
Kuna dogo mmoja alikuwa hasalimiani na mama yake. Sijui walikosana nini. Bahati nzuri niliongea naye na akanipa hiyo ishu. Nikamuuliza mama yako yuko wapi? Akasema alikuwa amelazwa hospitalini anasumbuliwa na shida ya figo.

Nilimuuliza swali rahisi sana. Ati, huyo mamako akikata roho leo, wewe utakuwa na hali gani? Hutajuta maisha yako yote?

Nilimwambia sasa hivi acha kila kitu unachofanya. Nenda hospitalini alikolazwa mama yako. Wala usinunue zawadi yo yote. Nenda kamsalimie mama yako. Nenda ukamkumbatie. Mwambie mama nakupenda sana na nisamehe kwa kujaribu kukosana nawe. Lia naye. Mfute machozi. Mwangalie machoni. Mwambie mama utapona. Nakupenda sana!

Nafurahi kwamba alifanya hivyo maana baada ya siku kama tano hivi mama yake alifariki. Mpaka kesho na kesho kutwa huwa ananishukuru hatari na huwa ananiona kama nabii au apostle fulani hivi. Na ukimuuliza ni tukio gani la muhimu sana ambalo limeshawahi kumtokea katika maisha yake atakutajia kuwa ni siku ile alipojishusha na kwenda kuomba msamaha na kuagana na mama yake aliyekuwa anapambania maisha yake hospitalini.

Na maneno ya mwisho kutoka kwa mama yake ameyaandika kabisa: Asante mwanangu James. Na mimi nisamehe. Sikuwa mama mkamilifu lakini nakupenda mwanangu. Nakuombea mibaraka katika maisha yako. Utaishi maisha mema mwanangu"

Kwako wewe kwa vile umeshachelewa kuomba msamaha kwa mama yako fanya yafuatayo:

Kwanza msamehe mama yako kwa makosa aliyokukosea mpaka ukafikia kumchukia. Mwachilie kabisa kabisa kwa moyo wako wote. Mwambie kabisa: Mama mimi nimeshakusamehe! Na wewe nisamehe mamangu. Tusameheane! Ukiweza nenda kaburini kwake alipolala mkasameheane huko!


Pili kimbilia kwa Mungu (kama unaamini katika uwepo wake). Mwambie Mungu Akusamehe pia kwa niaba ya mama yako maana kumchukia mama yako ulivunja amri mojawapo ya Mungu - amri ya muhimu sana na iliyofungamanishwa na muda wako wa kuishi hapa duniani.

Ukishamsamehe mama yako na Mungu Akakusamehe, basi chukua kisadaka kidogo ukipeleke madhabahuni au kwa watoto yatima huko kama ishara ya neema, msamaha, upendo na kusonga mbele. Na kila unapopiga magoti kuomba muombee mama yako na mshukuru Mungu kwa muda wote aliomuweka hapa duniani....

Ukiyafanya haya kwa moyo mweupe, chuki yako itaisha, mahangaiko unayopitia na hii sense of guilty inayokutesa pole pole itaanza kupungua na hatimaye utakuwa huru. Utakuwa mwenye furaha mpya na mambo yako mengi tu yataanza kufunguka.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Na hili liwe funzo kwa nyinyi ambao bado mna wazazi. Epukeni sana mabifu na wazazi wenu. Wasameheni. Jishusheni kwao. Wajalini, kuwaombea na kuwasikiliza maana wakija kuondoka aisee ni mtihani sana. Na hakuna majuto yanayouma kama mzazi wako kufariki wakati mmekosana na mpaka kufikia hata kutosalimiana.

Kila la heri mkuu....
View attachment 2447445
nashukuru sana mkuu
 
Kuna dogo mmoja alikuwa hasalimiani na mama yake. Sijui walikosana nini. Bahati nzuri niliongea naye na akanipa hiyo ishu. Nikamuuliza mama yako yuko wapi? Akasema alikuwa amelazwa hospitalini anasumbuliwa na shida ya figo.

Nilimuuliza swali rahisi sana. Ati, huyo mamako akikata roho leo, wewe utakuwa na hali gani? Hutajuta maisha yako yote?

Nilimwambia sasa hivi acha kila kitu unachofanya. Nenda hospitalini alikolazwa mama yako. Wala usinunue zawadi yo yote. Nenda kamsalimie mama yako. Nenda ukamkumbatie. Mwambie mama nakupenda sana na nisamehe kwa kujaribu kukosana nawe. Lia naye. Mfute machozi. Mwangalie machoni. Mwambie mama utapona. Nakupenda sana!

Nafurahi kwamba alifanya hivyo maana baada ya siku kama tano hivi mama yake alifariki. Mpaka kesho na kesho kutwa huwa ananishukuru hatari na huwa ananiona kama nabii au apostle fulani hivi. Na ukimuuliza ni tukio gani la muhimu sana ambalo limeshawahi kumtokea katika maisha yake atakutajia kuwa ni siku ile alipojishusha na kwenda kuomba msamaha na kuagana na mama yake aliyekuwa anapambania maisha yake hospitalini.

Na maneno ya mwisho kutoka kwa mama yake ameyaandika kabisa: Asante mwanangu James. Na mimi nisamehe. Sikuwa mama mkamilifu lakini nakupenda mwanangu. Nakuombea mibaraka katika maisha yako. Utaishi maisha mema mwanangu"

Kwako wewe kwa vile umeshachelewa kuomba msamaha kwa mama yako fanya yafuatayo:

Kwanza msamehe mama yako kwa makosa aliyokukosea mpaka ukafikia kumchukia. Mwachilie kabisa kabisa kwa moyo wako wote. Mwambie kabisa: Mama mimi nimeshakusamehe! Na wewe nisamehe mamangu. Tusameheane! Ukiweza nenda kaburini kwake alipolala mkasameheane huko!


Pili kimbilia kwa Mungu (kama unaamini katika uwepo wake). Mwambie Mungu Akusamehe pia kwa niaba ya mama yako maana kumchukia mama yako ulivunja amri mojawapo ya Mungu - amri ya muhimu sana na iliyofungamanishwa na urefu wa muda wako wa kuishi hapa duniani.

Ukishamsamehe mama yako na Mungu Akakusamehe, basi chukua kisadaka kidogo ukipeleke madhabahuni au kwa watoto yatima huko kama ishara ya neema, msamaha, upendo na kusonga mbele. Na kila unapopiga magoti kuomba muombee mama yako na mshukuru Mungu kwa muda wote aliomuweka hapa duniani....

Ukiyafanya haya kwa moyo mweupe, chuki yako itaisha, mahangaiko unayopitia na hii sense of guilty inayokutesa pole pole itaanza kupungua na hatimaye utakuwa huru. Utakuwa mwenye furaha mpya na mambo yako mengi tu yataanza kufunguka.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Na hili liwe funzo kwa nyinyi ambao bado mna wazazi. Epukeni sana mabifu na wazazi wenu. Wasameheni. Jishusheni kwao. Wajalini, kuwaombea na kuwasikiliza maana wakija kuondoka aisee ni mtihani sana. Na hakuna majuto yanayouma kama mzazi wako kufariki wakati mmekosana na mpaka kufikia hata kutosalimiana.

Kila la heri mkuu....
View attachment 2447445
Wooow. Huu ujunbe ni mzuri sana sana sana. Ukafanyike baraka kwa wote.
 
Back
Top Bottom