Mama yangu ana miaka 70. Je, anaweza kupata cheti cha kuzaliwa?

Mama yangu ana miaka 70. Je, anaweza kupata cheti cha kuzaliwa?

1. Fomu la uhamiaji lililojazwa kikamilifu
2. Barua ya utambulisho kutoka kwa muajiri
3. Cheti changu Cha kuzaliwa
4. Copy ya kitambukusho changu Cha NIDA
5. Copy ya kitambukusho Cha NIDA Cha mama
6. Affidavit ya kuzaliwa Cha mama
7. Death certificate ya baba
umeombea...mkoa gani...? na je huyo afisa uhamiaji akukupa namba yake ya simu...? kama alikupa namba yake ya simu jiongeze mpigie simu muyapange....anda kati ya 20k hadi 50k...!

si alisha kuchukua fingerprints...?
 
1. Fomu la uhamiaji lililojazwa kikamilifu
2. Barua ya utambulisho kutoka kwa muajiri
3. Cheti changu Cha kuzaliwa
4. Copy ya kitambukusho changu Cha NIDA
5. Copy ya kitambukusho Cha NIDA Cha mama
6. Affidavit ya kuzaliwa Cha mama
7. Death certificate ya baba
kuna documents zina miss... uhamiaji bora upeleke document nyingi zaidi washindwe wao kuliko upeleke ndogo harafu waushitukie mchezo.

ungeweka kitambulisho cha kazi...
ungeambatanisha na mkataba wa ajira...

ila usikate tamaa... utapata fuata ushauri wangu wa juu hapo... harafu cheti cha kuzaliwa kina patikana...upo mkoa gani...? nikuunganishe na mtu wa vizazi na vifo...!​
 
Mama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
Ndio anapata, chmsingi ni document zake tu kama kadi kura na nida
 
Afsa uhamiaji wa wapi aliekataa?

Kukataa huko kunaweza kuashiria wewe sio raia na mama sio raia.

Affidavit ni document sahihi kabisa.

Mtu aliezaliwa kabla ya mwaka 1978 halazimishwi kua na cheti cha kuzaliwa. Sheria ya cheti cha kuzaliwa inamtaka mtu yoyote aliezaliwa kuanzia 1978 ndio awe na cheti cha kuzaliwa.

Fuatilia vizuri ujue sababu ya yeye kukataa affidavit ni ipi.
 
Mama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
Mh mi nilitumia hizo na tulipata wote 3 passport
au wameanza hivi karibuni kukataa?

We dili na mtu 1 hapo ihamiaji unampa hela anamaliza
Mi sitakagi usumbufu
 
kuna documents zina miss... uhamiaji bora upeleke document nyingi zaidi washindwe wao kuliko upeleke ndogo harafu waushitukie mchezo.

ungeweka kitambulisho cha kazi...
ungeambatanisha na mkataba wa ajira...

ila usikate tamaa... utapata fuata ushauri wangu wa juu hapo... harafu cheti cha kuzaliwa kina patikana...upo mkoa gani...? nikuunganishe na mtu wa vizazi na vifo...!​
😘😘😘😘😘😘😘😍😍😍😍😍😍
 
Mh mi nilitumia hizo na tulipata wote 3 passport
au wameanza hivi karibuni kukataa?

We dili na mtu 1 hapo ihamiaji unampa hela anamaliza
Mi sitakagi usumbufu
kuna jambo... hope barua ya kazi haikuwa kwenye format inayo takiwa,

kwenye barua ya utambulisho kutoka kazi kuna vitu huwa wazingatia,

format ya hiyo barua.
mihuri ya kampuni.
barua itaje kumtambua na kuwa itanatarajia kumpa kazi za kusafiri...

format ikiwa nje ya hapo wanahisi udanganyifu...
kingine mikoa baadhi ipo red zone ukitokeq kwenye mikoa hiyo kupata pass...lazima jasho likutoke​
 
kuna jambo... hope barua ya kazi haikuwa kwenye format inayo takiwa,

kwenye barua ya utambulisho kutoka kazi kuna vitu huwa wazingatia,

format ya hiyo barua.
mihuri ya kampuni.
barua itaje kumtambua na kuwa itanatarajia kumpa kazi za kusafiri...

format ikiwa nje ya hapo wanahisi udanganyifu...
kingine mikoa baadhi ipo red zone ukitokeq kwenye mikoa hiyo kupata pass...lazima jasho likutoke​
njoo inbox
 
kuna jambo... hope barua ya kazi haikuwa kwenye format inayo takiwa,

kwenye barua ya utambulisho kutoka kazi kuna vitu huwa wazingatia,

format ya hiyo barua.
mihuri ya kampuni.
barua itaje kumtambua na kuwa itanatarajia kumpa kazi za kusafiri...

format ikiwa nje ya hapo wanahisi udanganyifu...
kingine mikoa baadhi ipo red zone ukitokeq kwenye mikoa hiyo kupata pass...lazima jasho likutoke​
Hawataki watu wasafiri nje ya nchi
 
Uje na wazazi wake ili tujue kama kweli ni wa Tz ndo tunatoa cheti chake
 
Mama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
Unataka kumpa passport au nida.??
 
Hawataki watu wasafiri nje ya nchi
hapana ujue...wanao sababisha mambo yawe magumu katika upatikanaji wa pass za kusafiria ni ndugu zetu walio wahi kwenda majuu wengi walienda kwa mishe haramu na wengine walienda bila kuwa na kazi maalum.

wanaishia kuwa wazurulaji huko ugenini ina kuwa hasara na aibu kwa serikali kwani most of them huwa wana rudishwa kama mizigo. ndio maana afisa uhamiaji mpaka akupe passport kwa hapa nyumbani.

ni lazima ajiridhishe sana na mwenye jukumu la kumshawishi ni wewe mwenyewe muombaji.

though ni haki ya kila mtanzania kuwa na Hati ya kusafiria....!​
 
Back
Top Bottom