TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 456
- 534
Huyo afisa uhamiaji atakuwa ajui anacho kifanya au ana agenda ya siri. Nenda tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
kuna documents zina miss... uhamiaji bora upeleke document nyingi zaidi washindwe wao kuliko upeleke ndogo harafu waushitukie mchezo.
ungeweka kitambulisho cha kazi...
ungeambatanisha na mkataba wa ajira...
ila usikate tamaa... utapata fuata ushauri wangu wa juu hapo... harafu cheti cha kuzaliwa kina patikana...upo mkoa gani...? nikuunganishe na mtu wa vizazi na vifo...!
yatatumika hayo hayo ya kwenye nidaAna namba ya NIDA ila kwa bahati mbaya Ina majina ya ukoo wa mume wake
Hela tumie waliikataa....way back 2017
anapataMama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
Kule kwa wasonjo?Mkuu ukifuatilia unapata!
Nje ya mada!
Digo digo wanasemaje mkuu!
Zingatia comment # 4 utafanikiwa. Ofisi za vizazi na vifo zipo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.Mama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
Kúma la mamaako lina kina kirefuChakuzaliwa hadileo hana , leo mnakitaka mnataka aende lakwanza
Subirieni cha kifo kwa umri wake ndo dili
Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app
Nenda KAIFUMUEunataka kunipa kinyeo 🤣🤣🤣🤣
naiachaje🤣🤣🤣🤣🤣Nenda KAIFUMUE