X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
umeombea...mkoa gani...? na je huyo afisa uhamiaji akukupa namba yake ya simu...? kama alikupa namba yake ya simu jiongeze mpigie simu muyapange....anda kati ya 20k hadi 50k...!1. Fomu la uhamiaji lililojazwa kikamilifu
2. Barua ya utambulisho kutoka kwa muajiri
3. Cheti changu Cha kuzaliwa
4. Copy ya kitambukusho changu Cha NIDA
5. Copy ya kitambukusho Cha NIDA Cha mama
6. Affidavit ya kuzaliwa Cha mama
7. Death certificate ya baba
1. Fomu la uhamiaji lililojazwa kikamilifu
2. Barua ya utambulisho kutoka kwa muajiri
3. Cheti changu Cha kuzaliwa
4. Copy ya kitambukusho changu Cha NIDA
5. Copy ya kitambukusho Cha NIDA Cha mama
6. Affidavit ya kuzaliwa Cha mama
7. Death certificate ya baba
Ana namba ya NIDA ila kwa bahati mbaya Ina majina ya ukoo wa mume wake
Ndio anapata, chmsingi ni document zake tu kama kadi kura na nidaMama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
Mbona mi wazazi wanstumia afirdavit wakati tunaomba passportinawezekana mkuu...true affidavit hawazikubali
Mh mi nilitumia hizo na tulipata wote 3 passportMama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
😘😘😘😘😘😘😘😍😍😍😍😍😍kuna documents zina miss... uhamiaji bora upeleke document nyingi zaidi washindwe wao kuliko upeleke ndogo harafu waushitukie mchezo.
ungeweka kitambulisho cha kazi...
ungeambatanisha na mkataba wa ajira...
ila usikate tamaa... utapata fuata ushauri wangu wa juu hapo... harafu cheti cha kuzaliwa kina patikana...upo mkoa gani...? nikuunganishe na mtu wa vizazi na vifo...!
Mh mi nilitumia hizo na tulipata wote 3 passport
au wameanza hivi karibuni kukataa?
We dili na mtu 1 hapo ihamiaji unampa hela anamaliza
Mi sitakagi usumbufu
njoo inboxkuna jambo... hope barua ya kazi haikuwa kwenye format inayo takiwa,
kwenye barua ya utambulisho kutoka kazi kuna vitu huwa wazingatia,
format ya hiyo barua.
mihuri ya kampuni.
barua itaje kumtambua na kuwa itanatarajia kumpa kazi za kusafiri...
format ikiwa nje ya hapo wanahisi udanganyifu...
kingine mikoa baadhi ipo red zone ukitokeq kwenye mikoa hiyo kupata pass...lazima jasho likutoke
Itakua mtu wa IT aliandika tu bila kushirikiana na maafisa uhamiajiKwanini Hawazikubali wakati kwenye tovuti ya uhamiaji wametaja kama mbadala wa cheti Cha kuzaliwa?
Hawataki watu wasafiri nje ya nchikuna jambo... hope barua ya kazi haikuwa kwenye format inayo takiwa,
kwenye barua ya utambulisho kutoka kazi kuna vitu huwa wazingatia,
format ya hiyo barua.
mihuri ya kampuni.
barua itaje kumtambua na kuwa itanatarajia kumpa kazi za kusafiri...
format ikiwa nje ya hapo wanahisi udanganyifu...
kingine mikoa baadhi ipo red zone ukitokeq kwenye mikoa hiyo kupata pass...lazima jasho likutoke
Pale RITA kuna ulaji kibao. rafiki yangu alisaga viatu mpaka akachoka. Mwisho akakubali kutoa rushuwa ndipo cheti alikipataJust simple ila wale jaamaa wa vifo na vizazi wanapenda rushwa sana ipo siku nitawaonyesha uzalendo wangu!
mie waliikataa....way back 2017Mbona mi wazazi wanstumia afirdavit wakati tunaomba passport
RITA hapafai hats kama una mgonjwa unaenda nayr live hawakuelewiPale RITA kuna ulaji kibao. rafiki yangu alisaga viatu mpaka akachoka. Mwisho akakubali kutoa rushuwa ndipo cheti alikipata
unataka kunipa kinyeo 🤣🤣🤣🤣njoo inbox
Unataka kumpa passport au nida.??Mama hajawahi kuwa na cheti Cha kuzaliwa kutokana na utamaduni wa kabila letu kutozingatia masuala ya documents. Sasa naomba kuuliza, je anaweza kukipata sasa? Nilikuwa nafuatilia passport nikapeleka affidavit baala ya cheti chake cha kuzaliwa lakini afisa uhamiaji wakaikataa. Msaada wa mawazo tafadhali.
Hawataki watu wasafiri nje ya nchi
Mzaliwa wa Arushahiyo sio bahati mbaya kikubwa majina yake yapo kwenye cheti chako cha kuzaliwa...
yeye huyo mzazi wako ni mwenyeji wa mkoa gani...?