Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Unatag watu eti amekuja mxiuuuSawa hustle.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatag watu eti amekuja mxiuuuSawa hustle.
Upigwe vita na nani binti??Kumbe kunatimu ya kumpiga Unique Flower vita sijajua mtaungana sana mie Niko hapa nanyonya Kwa babe
Bora huyu Hana unafiki wewe ni mekuvulia kofiaUnique Flower hauna tofaut sana na konda msafiView attachment 2632774
Na nyie simeitwa Kuja kunidhibiti aisee makanda wa chadema oye?Upigwe vita na nani binti??
DUA NENE.Bora huyu Hana unafiki wewe ni mekuvulia kofia
Wewe ndiyo huyo demu Naa anayezungumziwa katika hii story?Na nyie simeitwa Kuja kunidhibiti aisee makanda wa chadema oye?
Hapana usinifunge macho mie sio mtotoWewe ndiyo huyo demu Naa anayezungumziwa katika hii story?
Tunapozungumzia neno unafiki ni kuongelea mambo ya watu wengine kwa maslahi yako binafsi.Bora huyu Hana unafiki wewe ni mekuvulia kofia
Emu kaa kando binti mauwa, usinimixie files.Hapana usinifunge macho mie sio mtoto
Bado natafutaa ili nikija nije vizuriiMarahaba kijana wangu, mbona skuizi haupiti kunisalimia huku shambani??
Stay away from me, I want no more troubleSawa tu
hichi kipande nimecheka sanaMkeka wa elfu 20 mapema tu ukachanika. ukabaki wa mkeka wa pili wa elfu 10 ukabaki nao niliubettia team moja ya kwanza dakika 40 za kwanza tu teyali ilikuwa ishafungwa goal tatu.
ikabidi nizime simu mda uo jasho linanitoka ikabidi nizime simu nilale kwanza.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38]sijataka kupitwanlitaka nikutag kumbe ushawahi siti ya mbele kabisa wakili[emoji4]
Mim Paula ww RayvannyStay away from me, I want no more trouble