Mama yangu mzazi aliwahi kuniambia bora nife tu apumzike

Mama yangu mzazi aliwahi kuniambia bora nife tu apumzike

Unatag watu eti amekuja mxiuuu
Unique Flower hauna tofaut sana na konda msafi
20230521_141422.jpg
 
Mshenzi ulibet hela ya ada[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkeka wa elfu 20 mapema tu ukachanika. ukabaki wa mkeka wa pili wa elfu 10 ukabaki nao niliubettia team moja ya kwanza dakika 40 za kwanza tu teyali ilikuwa ishafungwa goal tatu.
ikabidi nizime simu mda uo jasho linanitoka ikabidi nizime simu nilale kwanza.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hichi kipande nimecheka sana
 
Back
Top Bottom