Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Umalize kabisa kumpakulia chakula c shemeji ndo usomeπππNitulie nisome sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umalize kabisa kumpakulia chakula c shemeji ndo usomeπππNitulie nisome sasa
Haya dear ushauri umezingatiwa π πUmalize kabisa kumpakulia chakula c shemeji ndo usomeπππ
NAKATAAAKatika kitu ambacho najisifu mpka leo ni kupita salama kipindi cha utotoni na kipindi cha mihemuko cha form 2,3,4,5&6 bila kudinywa...hapa watu watakataaa hahaha [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sawa dearAsante Kipenzi πβ€οΈ
πππππππHaya dear ushauri umezingatiwa π π
Sawa shem darlingAsante shemejiππ
Umekosea, mi ni jirani tuππSawa shem darling
KataaaaaNAKATAAA
πππ Wahuni sio watu ndo maana madaraka serikalin wanapewa wazeeπππdah masela bana yaani mchizi anakusifia kabisa as if umefanya jambo la maaana sana
π€π€π€kama mama yako kakwambia Bora ufe ni muhimu kumsikiliza mzazi tekeleza maagizo
πππ Me nakubal 100% classmate wanguKatika kitu ambacho najisifu mpka leo ni kupita salama kipindi cha utotoni na kipindi cha mihemuko cha form 2,3,4,5&6 bila kudinywa...hapa watu watakataaa hahaha π π π π π π π
πππ Daaah tushakuwa vijana wa ovyo tena wakati tumemsaidia msafiri aliyepata majanga katikati ya safariAu walipiga 3some make vijana wahovyo sana hawa!
Maziwa ππChai au kahawa
πππππKazi nzuri, mtt bado mbichi wa Magu
Pamoja mate π π ππππ Me nakubal 100% classmate wangu