Mama yangu na kaka yangu ni wachoyo sana, wanafunga friji wafanyakazi wasile, lakini ni washika dini sana

Nimekuwa nao kwa zaidi ya miaka 40, siwaruhusu kama nipo kuanza wao kula na tunakula pamoja. Ulisemalo lipo uhindini, mhindi hawezi kula na mswahili wala kulala chumba kimoja na watoto wake.
Mzungu utajua mwenyewe utakavyokula ila siyo mezani pake.
 
Niliwahi kuishi na mama wakambo mchoyo dah ni hatari sana.
 
naomba uzidi kuwakanya hawa ndio wanaosababisha wafanya kazi za ndani kufanya ukatili mkubwa sana mfano unaweza kuta mwanao amewekwa kwenye deep freezer narudia tena naomba uendelee kuwakanya
 
Nimekuwa nao kwa zaidi ya miaka 40, siwaruhusu kama nipo kuanza wao kula na tunakula pamoja. Ulisemalo lipo uhindini, mhindi hawezi kula na mswahili wala kulala chumba kimoja na watoto wake.
Mzungu utajua mwenyewe utakavyokula ila siyo mezani pake.
Nazungumzia wabongo wenzetu mkuu,watanzania hawa hawa
 
Kwa hiyo kwa sababu wanasali sana ulitaka waachie chakula kitumike hovyo?

Kwani huwa wanalala njaa kabisa au ni budgeting tu?
 
Kwan si wanalipwa mshahala sasa vya frijini vinawahusu nn wale vya jikon
Dini ni imani tu tumeikuta tukalithi dini sio roho wala nafsi ya mtu uchoyo wizi uongo izo ni tabia za mtu haijalishi anasali au hasali
 
walokole wa nabii Mwingira ni wachoyo waongo wanafki chuki roho mbaya zimewajaa..., Nilijuta kuwajua mbwa wale
 
hatari aiseee niliwahi date na mtu wa hivii yeye kila kitu akinunua lazima awekee ubinafsi manyanyaso ya kifalaa tuuuu na vyangu anatumia... ni asili yao hawawezi kuacha
Niliwahi kuwa na boss wa hii kabila acha ila kwa sasa hayupo tena Ameenda Mbinguni kwa Mungu
 
SAHIHI MKUU
Kushika dini na kumshika Mungu ni vitu viwili tofauti. Hakuna watu wema mchana na wanao sali Sana kama wachawi na majambazi lakini usiombe uiingie 18 zao usiku bora ukutane na simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…