Mama yangu na kaka yangu ni wachoyo sana, wanafunga friji wafanyakazi wasile, lakini ni washika dini sana

Kuna makanisa, wachungaji wanapigana juju!
 
Kawaida sana hii mimi watu wanasali watu wanaenda kanisani ila wanatufukuza home kwao kama sio walokole halafu ukipata hedhi hawakupi pedi unajiblidia blidia wanakupa kazi nyingi kama nini .
Acha tu chakula upikiwe chenye afya ile nyumba Mungu anawaon yaani hawa watu ni ma mbwa sana wanaibs hadi hela za wageni
 
  1. Wewe una umri gani?
  2. Mnawafanyakazi wangapi kwani inaonekana ni zaidi ya mmoja
  3. Wanafanya kazi gani? namaanisha wanakazi zakuwatosha hadi wawe wengi?
  4. Chakula cha wafanyakazi wanajipikia cha kwao wenyewe? na maanisha nyie wengine mnapika chakula chenu tofauti?
  5. Ukisha yajibu hayo ndio nitaweza kutoa maoni yangu kuhusu kufungiwa firiji
 
Opondo Chiro, tonang'o...
 
Ratiba ya chakula chenu kama familia ikoje
 
Viongozi wa Dini Wenyewe si ndo wako hivi au

33:53 - Enyi mlio amini! Msiingie nyumba za Nabii ila mpewe ruhusa kwenda kula, sio kungojea kiwive. Lakini mtakapo itwa basi ingieni, na mkisha kula tawanyikeni, wala msiweke mazungumzo. Hakika hayo yanamuudhi Nabii naye anakustahini, lakini Mwenyezi Mungu hastahi kwa jambo la haki. Na mnapo wauliza wakeze haja waulizeni nyuma ya mapazia. Hivyo ndio usafi zaidi kwa nyoyo zenu na nyoyo zao. Wala haikufalieni kumuudhi Mtume wa mwenyezi Mungu Wala kuwaoa wake zake baada yake kabisa Hakika Hilo Jambo kubwa mbele ya mwenyezi Mungu
 
Mm Ndio ctakagi wapuuzi kama Hawa wanaourudi geto wanakuta msosi hawajui umetoka wap na Wala Hata hawajisumbui kuchanga ,inaumiza sana ni Bora ukae tu mwenyewe .
 
Mm Ndio ctakagi wapuuzi kama Hawa wanaourudi geto wanakuta msosi hawajui umetoka wap na Wala Hata hawajisumbui kuchanga ,inaumiza sana ni Bora ukae tu mwenyewe .
mkuu kuna masela unaenda kupambana,unamwacha anaangalia tv ,hata sahani aliyopakulia chakula uliyopika haoshi unarudi unamkuta anaangalia movie ,upike tena ,sasa mtu kama huyo kama hupigi friji lock si hasara tu
 
Kuna mshika dini hapo mkuu umetupiga na kitu kizito.
 
Asikwambie mtu wengi wanajifanya washika dini kumbe ni kwaajiri ya kujificha na maovu yao kama kuna mchungaji huku kwetu ana watoto wa nje 3 na anadate na baadh ya WAPENDWA [emoji16][emoji16][emoji16] yaani unaweza mkuta kasimama na mpendwa barabarani ukadhani anamuelezea habar za wakoritho na wagaratia kumbe [emoji849][emoji849][emoji849]anamtongoza
 
Kama kule mbeya kwenye kanisa la KKKT, Wajameni nimetoa mfano tu msianze kunipopoa na mawe
 
Wachunguze vizuri, wanaweza kua wachawi pia

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Nje ya mada.

Hivi Mwanamke/ Binti akiwa mchoyo sana wa chakula baadae akiolewa anaweza kubadilika?
 
Umeangalia dini, mwingine atakuja atataja kabila la huyo Mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe wanakiachiaga funguo ya fliji au na wewe unafungiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…