Mama yangu na kaka yangu ni wachoyo sana, wanafunga friji wafanyakazi wasile, lakini ni washika dini sana

Kwa jinsi alivyomtambulisha mama kwamba anafanyakazi UNESCO, mlokole, anakaa na kaka wa kwanza na anafunga friji lazima ajulikane tuu, mleta Mada uelewa wake mdogo sana.
 
Kwa jinsi alivyomtambulisha mama kwamba anafanyakazi UNESCO, mlokole, anakaa na kaka wa kwanza na anafunga friji lazima ajulikane tuu, mleta Mada uelewa wake mdogo sana.
Wewe waSema.
Nimefanya hivyo makusudi ili wabadilike maana iwe isiwe ujumbe utawafikia tu
 
Nje ya mada.

Hivi Mwanamke/ Binti akiwa mchoyo sana wa chakula baadae akiolewa anaweza kubadilika?
Hawezi ,,,, maana umri unavyoongezeka na dozi ya uchoyo nayo huongezeka
 
Mstari baina ya roho mbaya na uchawi ni mwwembamba mnoooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…