Mama yangu Raisi Samia Suluhu Hassan, waziri wa ulinzi pamoja na waziri wa miundombinu. Tumieni DK 5 tu kusoma hili juu ya SGR

Mama yangu Raisi Samia Suluhu Hassan, waziri wa ulinzi pamoja na waziri wa miundombinu. Tumieni DK 5 tu kusoma hili juu ya SGR

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Amani ya Bwana iwe nanyi.

Roho yangu binafsi inaniuma sana kuona kuna baadhi ya watu wanahujumu huu mradi wa SGR, tena wengine ni mafundi au wanahusika kwa namna moja ama nyingine.

Opinion yangu; Mh Raisi na waziri wa ulinzi tengeneza taskforce kali sana, zitungiwe sheria ndogo maalumu kwa ajiri ya kulinda huu mradi uliyopoteza hela nyingi sana. Chukuwa vijana wa JKT wapo wengi tu huko kwenye makambi yao then wasambaze kwenye mradi huu wote.

Naamini, mkiweka hii task force basi kila kitu kitakaa sawa hata kama sio asilimia 100.

Leo wakati naingia ofisini kwangu hapa buguruni kwenye daraja la juu ilikuwa inapita treni ya umeme iliyotoka nadhani Dodoma au Morogoro, na chini ilikuwa hii ya dizeli.

Alooooooo, ni vitu viwili tofauti jamani, tusirudi kwenye dizeli tuweke mkazo kwenye umeme ndio tutaiona hii nchi inafanikiwa kwenye huu mradi.

Najua mwandiko wangu ni mbaya sana ila naamini mmesoma na mtafanyia kazi.

Kazi iendeleee.

Nawasilisha.
 
Tabora _Kigoma Fidia imeshalipwa hatua zingine zinafuata,Wacha tujenge kwanza .
 
Hakuna haja ya kuweka nguvu kuuubwa kwenye task force.

Kadogosa mtafute hanscana akupe machimbo ya drones za bei rahisi.

Nunua drones kadhaa ziwe zinazunguka maeneo ya sgr yooote toka dar mpaka dom.

Kila Station mnaipa drones mbili, moja inaenda kushoto nyingine kulia.
 
Amani ya Bwana iwe nanyi.

Roho yangu binafsi inaniuma sana kuona kuna baadhi ya watu wanahujumu huu mradi wa SGR, tena wengine ni mafundi au wanahusika kwa namna moja ama nyingine.

Opinion yangu; Mh Raisi na waziri wa ulinzi tengeneza taskforce kali sana, zitungiwe sheria ndogo maalumu kwa ajiri ya kulinda huu mradi uliyopoteza hela nyingi sana. Chukuwa vijana wa JKT wapo wengi tu huko kwenye makambi yao then wasambaze kwenye mradi huu wote.

Naamini, mkiweka hii task force basi kila kitu kitakaa sawa hata kama sio asilimia 100.

Leo wakati naingia ofisini kwangu hapa buguruni kwenye daraja la juu ilikuwa inapita treni ya umeme iliyotoka nadhani Dodoma au Morogoro, na chini ilikuwa hii ya dizeli.

Alooooooo, ni vitu viwili tofauti jamani, tusirudi kwenye dizeli tuweke mkazo kwenye umeme ndio tutaiona hii nchi inafanikiwa kwenye huu mradi.

Najua mwandiko wangu ni mbaya sana ila naamini mmesoma na mtafanyia kazi.

Kazi iendeleee.

Nawasilisha.
Samia anawatoto 4, watatu wa kiume Mmoja ni MWANAMKE

wewe ni mtoto wake yupi kati ya hao?
 
Amani ya Bwana iwe nanyi.

Roho yangu binafsi inaniuma sana kuona kuna baadhi ya watu wanahujumu huu mradi wa SGR, tena wengine ni mafundi au wanahusika kwa namna moja ama nyingine.

Opinion yangu; Mh Raisi na waziri wa ulinzi tengeneza taskforce kali sana, zitungiwe sheria ndogo maalumu kwa ajiri ya kulinda huu mradi uliyopoteza hela nyingi sana. Chukuwa vijana wa JKT wapo wengi tu huko kwenye makambi yao then wasambaze kwenye mradi huu wote.

Naamini, mkiweka hii task force basi kila kitu kitakaa sawa hata kama sio asilimia 100.

Leo wakati naingia ofisini kwangu hapa buguruni kwenye daraja la juu ilikuwa inapita treni ya umeme iliyotoka nadhani Dodoma au Morogoro, na chini ilikuwa hii ya dizeli.

Alooooooo, ni vitu viwili tofauti jamani, tusirudi kwenye dizeli tuweke mkazo kwenye umeme ndio tutaiona hii nchi inafanikiwa kwenye huu mradi.

Najua mwandiko wangu ni mbaya sana ila naamini mmesoma na mtafanyia kazi.

Kazi iendeleee.

Nawasilisha.
Mafundi wanahujumu kwa namna gani mkuu
 
Amani ya Bwana iwe nanyi.

Roho yangu binafsi inaniuma sana kuona kuna baadhi ya watu wanahujumu huu mradi wa SGR, tena wengine ni mafundi au wanahusika kwa namna moja ama nyingine.

Opinion yangu; Mh Raisi na waziri wa ulinzi tengeneza taskforce kali sana, zitungiwe sheria ndogo maalumu kwa ajiri ya kulinda huu mradi uliyopoteza hela nyingi sana. Chukuwa vijana wa JKT wapo wengi tu huko kwenye makambi yao then wasambaze kwenye mradi huu wote.

Naamini, mkiweka hii task force basi kila kitu kitakaa sawa hata kama sio asilimia 100.

Leo wakati naingia ofisini kwangu hapa buguruni kwenye daraja la juu ilikuwa inapita treni ya umeme iliyotoka nadhani Dodoma au Morogoro, na chini ilikuwa hii ya dizeli.

Alooooooo, ni vitu viwili tofauti jamani, tusirudi kwenye dizeli tuweke mkazo kwenye umeme ndio tutaiona hii nchi inafanikiwa kwenye huu mradi.

Najua mwandiko wangu ni mbaya sana ila naamini mmesoma na mtafanyia kazi.

Kazi iendeleee.

Nawasilisha.


Taja hujuma wewe kichwa nazi, hujuma zipi ili iwe rahisi kujua, nyoko wee
 
Hakuna haja ya kuweka nguvu kuuubwa kwenye task force.
adogosa mtafute hanscana akupe machimbo ya drones za bei rahisi.

Nunua drones kadhaa ziwe zinazunguka maeneo ya sgr yooote toka dar mpaka dom.

Kila Station mnaipa drones mbili, moja inaenda kushoto nyingine kulia.
Naam wewe umetoa ufumbuzi hakika hii mbinu ikitumika inaweza saidia

t
 
Kuna mwamba bodaboda na gari zilikuwa zinapita hovyo njia ya mwendokasi akasema polisi kamateni toeni matairi kabisa,hakuna bodaboda aliethubutu kupita njia ya mwendokasi lakini leo hii njia ya mwendokasi imekuwa njia ya bodaboda. Kuna kipindi majambazi walikuwa wanasumbua sana mwamba akawaambia polisi wawanyang'anye bunduki hatukuwasikia tena. Ninachotaka kusema leo hii mkuu akisema sitaki kusikia SGR imehujumiwa,hutasikia huu upuuzi.
 
Kuna mwamba bodaboda na gari zilikuwa zinapita hovyo njia ya mwendokasi akasema polisi kamateni toeni matairi kabisa,hakuna bodaboda aliethubutu kupita njia ya mwendokasi lakini leo hii njia ya mwendokasi imekuwa njia ya bodaboda. Kuna kipindi majambazi walikuwa wanasumbua sana mwamba akawaambia polisi wawanyang'anye bunduki hatukuwasikia tena. Ninachotaka kusema leo hii mkuu akisema sitaki kusikia SGR imehujumiwa,hutasikia huu upuuzi.
Hao wanaohujumu wangenyongwa tu

Ova
 
Back
Top Bottom