Fuatilia. Jaguar anawinda mamba mtoni na anamfuata huko huko ndani.Haiwezekani mkuu, Jaguar ni mdogo sana kwa mamba, mdogo sana..
Jaguar ana uzito kati ya kilo 56 hadi 130 tena huo ni mkubwa sana ila average ni kilo 56 hadi 98 huku akiwa na urefu wa futi 6 maximum ama sentimita 180.
Mamba wa mito yetu anaanza na uzito mdogo ni kilo 200 hadi kilo 414.
Halafu kwenye bite force per square inch kwa hawa wanyama wala nyama Jaguar anawazidi simba, chui na hata Duma ila sio fisi ila kwa almost wanyama wote mamba ndio mwisho wa matatizo.
Ni sababu ipiYale machozi si sababu ya utamu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Upo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]miaka ya nyuma kulikuwa home na jogoo ukienda kulifungulia lazima upate kipondo hadi unaingia ndani kujifungia.
Ni sababu ipi
Mamba akiwa kwenye maji huyo Simba tunamzika asubuhi tu. Huyo jamaa akiwa kwenye maji labda Kiboko na Tembo ndio hawawezi.Mimba hana cha kumfanya Simba labda amuotee sana.
Yani Simba anambonda ndugu Mamba home and away
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
Huyo anayetolewa kumayi na jaguar si mamba bali anaitwa cayman mjusi mkubwaKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Sio mamba wa Africa a.k.a Nile crocodileKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Kuna moja simba aliuliwa na mamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na wakamla aisé kumbe mamba abagui achagui atayemzika hamjuiHuwa wanatafuna vile vi-cayman au alligators vya America na Asia. Ila sio African crocodile. Huyu kiumbe ni habari nyingine!
Kila kiumbe kinachoishi Africa kimevurugwa. Kuna documentary moja niliona simba aliingia mtoni kwa kiburi chake akajua jamaa hawamuwezi. Alinusurika ila akabaki taya linaning'inia, akaenda kufia mbele huko!
Anakudai pesa za sensaUpo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
Mambo mkubwa kwanza simba hafui dafu ngozi yake ngumu sanaMimba hana cha kumfanya Simba labda amuotee sana.
Yani Simba anambonda ndugu Mamba home and away
Inaonesha wewe ni mdebwedo sana, hadi kuku wanakuona mnyonge…. namna gani pale.!!Upo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
Itakuwa ni simba jike huyo mkuu, dume huwa hagusiki aisee. Anaweza kuwafanya mamba wote mtoni waonekane mijusi mbele yake.Huwa wanatafuna vile vi-cayman au alligators vya America na Asia. Ila sio African crocodile. Huyu kiumbe ni habari nyingine!
Kila kiumbe kinachoishi Africa kimevurugwa. Kuna documentary moja niliona simba aliingia mtoni kwa kiburi chake akajua jamaa hawamuwezi. Alinusurika ila akabaki taya linaning'inia, akaenda kufia mbele huko!
Aisee nadhani humjui vizuri jaguarYule hakamati Mamba,anakamata caiman(crocodile cousin).Mlete huyo jaguar pale mto mara uone shughuli yake.
Hapo kwenye kilo 40 maximum siaminiHivyo vyenye kilo 40 vikiwa kwenye maji vinakuwa na pulling ya nguvu kuliko hata volkswagen amarok