Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Hata Chatu, Cobra na Black Mamba wanataga.
 
Haiwezekani mkuu, Jaguar ni mdogo sana kwa mamba, mdogo sana..

Jaguar ana uzito kati ya kilo 56 hadi 130 tena huo ni mkubwa sana ila average ni kilo 56 hadi 98 huku akiwa na urefu wa futi 6 maximum ama sentimita 180.

Mamba wa mito yetu anaanza na uzito mdogo ni kilo 200 hadi kilo 414.

Halafu kwenye bite force per square inch kwa hawa wanyama wala nyama Jaguar anawazidi simba, chui na hata Duma ila sio fisi ila kwa almost wanyama wote mamba ndio mwisho wa matatizo.
Kuna sehemu nimesoma, kuna mamba ana 750kg. Hapo hata uungane ukoo wa simba wote hawawezi fua dafu wakimkuta majini
 
Yule sio mamba, ni jamii ya mamba ila sio mamba kamili, ni kama kenge aliechangamka.

Yule ana uzito usiozidi kilo 50 wakati mamba ana hadi kilo 400 na urefu hadi wa futi 21 na nchi 2.

Usimdanganye Jaguar ajichanganye kwenye mito yetu hii, katoto ka mamba ndio katakaomtafuna na wala hatatosha.
Mamba wa afrika anafika tani 1
 
unajua simba au paka wote wana nguvu sana kwa wanyama wenye shingo.

sasa ukiiangalia shape ya kiboko,na ule mdomo unaofanya shambulio kama mkasi,ni hatari sana kwa simba.

ni bora akale hata mapera lakini sio kuingia mtoni kumfata kiboko,kwanza ratio ya uzito ni kama 1:6[emoji16]
Aaisee asimwambie mutuu kuna uhuni alifanyiwa Kiboko mmoja ambaye katika misele yake nyikani akakutana na Simba. Kile alichofanyiwa ni kitendo ovu cha kukemea kwa nguvu zote.
 
mzee
amazon ndio kuna hawa jaguar kwa wingi,anaconda nk.
picha hizi ni mwendelezo wa huyo mamba wa mchongo wa america ya kusini akiliwa na anaconda.

mamba wa ki nigga ni habari nyingine.
kuhusu simba kuwa jasiri ni kweli,ila ujasiri wake una mipaka,ngoja nikutajie wanyama ambao simba huwa hafikirii kuwadhuru isipokuwa aamue kubeti,kufa au kupona sawa.

binaadam,tembo,faru,boko,mamba na nyati dume.hapo simba hukimbia kabisa na ukiona kasimama ujue kakibali kila kitu.
Mamba wako huyo hapo anatoka nduki baada ya kukumbana na dubwasha lisilotishiwa nyau.
 

Attachments

  • images (48).jpeg
    images (48).jpeg
    23.5 KB · Views: 5
Wamejaa tele, mamba Hana ubabe wowote NDIO maana analiwa
Mamba na utemi wake wote majini anapomuona mfalme anakatiza kwenye maji lazima atoke nduki
 

Attachments

  • images (48).jpeg
    images (48).jpeg
    23.5 KB · Views: 6
Mkuu Acha kumdharau mamba,Mamba NI mmoja wa wanyama wenye biting force kubwa ndo maana akishika kiungo cha mnyama kukinyofoa ni dk sifuri tu
 
Kwa uzoefu wangu,
Mamba nchi kavu anakimbizwa kama kenge tu
Ila majini linakua swala lingine kabisa,

Simba hasa simba dume ni kweli mfalme wa nyika
Lakin kuna wahuni wanamkalisha, mfano kwenye kundi la mbogo. Hapo simba atatia mikwala tu
Kwa faru, au tembo. Simba hawezi kutia pua yake

Mamba ni mtata ndio lakini hana ujasiri ambao simba anao.

Kuna kipindi nipo vijiji vya mikumi pale, muungurumo wa simba unaweza sema huyu bwege hayupo mbali.
Wazoefu wanakuambia huyo yupo mbali sana.
 
Back
Top Bottom