Mambo 10 Niliyoyaona Leo Simba ikiadhibiwa tena na Yanga mara ya Nne Mfululizo

Mambo 10 Niliyoyaona Leo Simba ikiadhibiwa tena na Yanga mara ya Nne Mfululizo

1. Timu yetu ya Simba imecheza vizuri sana kilichotugharimu ni sub, kiukwel hatuna wachezaji wazuri wa sub ndio maana kipindi cha pili sikushangaa kuona Yanga wakipata bao la pili

2. Yussuf Kagoma ni mchezaji mzuri sana lakini Simba isimtegemee sana kwa sababu pancha nyingi sana

3. Kocha wetu anatuudhi sana kwa sub zake, Yanga wanajivunia sana viungo wao na sub wana watu lkn sisi sub zetu ni Balua na Okajepha

4. Kama Ateba angekuwa anacheza na Elie Mpanzu huku Kibbu Dennis prmbeni wale węhu wangetafutana leo

5 Kibbu Dennis ni mchezaji wa quality ya juu mno lakini kocha anamchukulia poa na kumfanyia sub wakati ambao tunahitaji matokeo

6 Hakuna cha maana alichokifanya Jean Charles Ahoua leo zaidi ya kumpa wakati mgumu Ateba
7 Chamou, Okajepha, Mutale, Ngoma watupishe dirisha dogo

8. Camara kafungwa goli la babu, mm simlaumu, Chama aliingia muda ule kwa maelekezo ya washirikina na ndio maana baada ya hapo hakuonekana tena

9 Mechi na Prisons ndio inakwenda kumharibia kibarua Fahdu kwa ubishi na kutoshaurika

10 Leo kazi imefanyika sana nje ya uwanja sina wa kumlaumu, mapambano yaendelee
Ujinga mwingi sana humu.
 
Wachezaji wa simba wabinafsi sana sijui kocha halioni hlo kwasababu hata ile mechi ya ngao ya jamii wangeacha uchoyo wangeshinda labda kocha anaridhishwa na ubinafsi wa baadhi ya wachezaji wa simba.
 
6, 7 na 8 nakukatalia. Ubahili wa Simba kuchukua kocha wa Bei rahisi ndio tatizo.
Kama tulisema tunajenga timu kina Chasambi kwanini wanakaa benchi wdkati Wana uwezo mzuri.
Umakini mdogo wa wachezaji umechangia pakubwa mpira ulivyokuwa unaelekea mwisho makosa mengi yalifanyika Shabalala katoa Boko kibao na mchezo wa Simba kupasiana golini pia ni tatizo.
kocha wa bei rahisi? Unataka kuniambia angekuwa gamondi angemgeuza mutale awe pacome? Kibu awe max? Kapombe awe yao yao si ndio au?
 
6, 7 na 8 nakukatalia. Ubahili wa Simba kuchukua kocha wa Bei rahisi ndio tatizo.
Kama tulisema tunajenga timu kina Chasambi kwanini wanakaa benchi wdkati Wana uwezo mzuri.
Umakini mdogo wa wachezaji umechangia pakubwa mpira ulivyokuwa unaelekea mwisho makosa mengi yalifanyika Shabalala katoa Boko kibao na mchezo wa Simba kupasiana golini pia ni tatizo.
Simba inawachezaji 25 ulitaka wacheze wangapi Leo?. Na nani akae benchi?.

Team imeanza na wachezaji 8 wapya lkn Bado mnapiga kelele. Yanga wameanza na wachezaji 3 wapya huoni utofauti hapo wa muunganiko wa team?. Acheni Kocha ajenge kikosi January mpanzu atacheza na tutafute mbadala wa kibu.
 
Endeleeni kuamini ushirikina,,

Mtashtuka mkipigwa mechi 10 mfululizo,,

Mzize , Chama, Musonda, Mwamnyeto, Abuya wote walianzia benchi na wote ni wachezaj wa timu za Taifa.

Timu gani nyingine imewah weka benchi wachezaj watano wa timu za Taifa?
Inategemea ni taifa gani. Mzinze naye utajivunia kuwa mchezaji wa timu ya taifa?
 
mm ni shabiki wa simba , kiukweli simba hatuna kundi kubwa LA quality ya wachezaji ukilinganisha na yanga . pia kuna haja ya kutumia VAR kwenye ligi yetu ule Mpira ingawa golikipa aliurejesha ulikuwa nje
 
1. Timu yetu ya Simba imecheza vizuri sana kilichotugharimu ni sub, kiukwel hatuna wachezaji wazuri wa sub ndio maana kipindi cha pili sikushangaa kuona Yanga wakipata bao la pili

2. Yussuf Kagoma ni mchezaji mzuri sana lakini Simba isimtegemee sana kwa sababu pancha nyingi sana

3. Kocha wetu anatuudhi sana kwa sub zake, Yanga wanajivunia sana viungo wao na sub wana watu lkn sisi sub zetu ni Balua na Okajepha

4. Kama Ateba angekuwa anacheza na Elie Mpanzu huku Kibbu Dennis prmbeni wale węhu wangetafutana leo

5 Kibbu Dennis ni mchezaji wa quality ya juu mno lakini kocha anamchukulia poa na kumfanyia sub wakati ambao tunahitaji matokeo

6 Hakuna cha maana alichokifanya Jean Charles Ahoua leo zaidi ya kumpa wakati mgumu Ateba
7 Chamou, Okajepha, Mutale, Ngoma watupishe dirisha dogo

8. Camara kafungwa goli la babu, mm simlaumu, Chama aliingia muda ule kwa maelekezo ya washirikina na ndio maana baada ya hapo hakuonekana tena

9 Mechi na Prisons ndio inakwenda kumharibia kibarua Fahdu kwa ubishi na kutoshaurika

10 Leo kazi imefanyika sana nje ya uwanja sina wa kumlaumu, mapambano yaendelee
Kichapo kinaharibu akili
 
Nje ya uwanja nje ya uwanja
Nyie nje ya uwanja hamkushughulika?
Yanga ni Bora Zaid yenu
Hata hivyo mmejitahid Sana
Goli la bahati bahati lile
 
Nje ya uwanja nje ya uwanja
Nyie nje ya uwanja hamkushughulika?
Yanga ni Bora Zaid yenu
Hata hivyo mmejitahid Sana
Goli la bahati bahati lile

Walilipia . Goli limelipiwa hilo….hela zitanenepesha wachezaji wa simba nyama nono ya nundu 😂😂
 
Back
Top Bottom