Mambo 10 ya kisayansi yanayothibitisha kuwa VVU sio chanzo UKIMWI


Duh..we mtu umezama kwenye hili..Hongera,.sasa nimepata pakuanzia..

Wazaz wangu ni waathirika Baba ameanza kutumia ARV's mama Bado,.naomba unishauri nipate chakuwashauri coz napenda kuwaona wakiwa naafya njema kilasiku..

Jibu naomba liegemee kwenye namna yakuachana nahizo dawa bila athari..
 

brother ka kuna uwezekano ungetuletea hapa key point alizozizungumzia doctor huyu kwani siyo wasomaji wote wa hii thread wapo katika eneo la 3g mfano mimi eneo nililiopo linasupport E wengine simu zao hazisupport play online!!!!tusaidien mkuu kwa faida ya taifa letu
 
Aisee huyo Profesa Luc Montagnier anakiri kuwa UKIMWI inaweza kupona Africa kama tukiwa na tabia ya kula chakula bora, kupambana na malaria na kifua kikuu, Usafi, Maji salama na mwisho anasema hata alie na UKIMWI inawezekana alafu akatoa kauli kwangu ni kama amezitukana serikali za Africa

Kuwa tunatumia muda mwingi kuwekeza katika chanjo nadhani anamaanisha ARVs kuliko kujenga mazingira ya kukuza kinga za mwili

Alafu akagonga msumari kuwa hii ni meseji ya pekee na yatofauti kutoka kwake

Now i know HIV/AiDs is not Real
 
True dat, but nashauri tukiwa kama waafrika (mimi na wewe) tusome, tudadisi na tufatilie mambo kwenye ulimwengu, tusiishi kama tupo kwenye chupa. Then we can make permanent decision for permanent emotion.



Kweli kabisa mkuu, kusoma ni lazima na hawa jamaa wanajua kabisa we Africans hatupendi kusoma hence wanatumia huo mwanya. Mskilize huyu jamaa kwa makini ndio utajua they have been taking us for a ride. Yani hakuna research experiment yeyote ambayo imeprove hawa virus can be sexually transmitted!!!

https://www.youtube.com/watch?v=3J7vHLXCphA
 
Hapana..si rahisi kukubali kwa haraka..

Why?

Kwa sababu walioleta nadharia ya HIV/AIDS na ambao wanaamini kuna uhusiano baina yake ni hawa wazungu..utafiti unafanywa na wazungu..na dawa zinatengenezwa na wazungu..Wanaopingana na nadharia hii ni hao hao wazungu..

Hapa kuna mapungufu,tena makubwa tu..je ni vigezo gani tunatumia fuata nadharia mojawapo ktk hizo? Maana tafiti zote wanafanya wao..na hata elimu ya biolojia ya kirusi hiki imetoka kwao..Sasa,tumejiridhisha vipi kuwa hawa wanasayansi tunaowasifia hapa wako sahihi kuliko wenzao? Hamuoni kama, kwa kuwa sisi ni waathirika ktk kdhia hii,huenda tukaamua kufuata nadharia inyoonekana kutufavour? Tunatumia vigezo gani kutambua mzungu mwaminifu kwetu?

Hofu ninayoona hapa ni watu wameamua kukwepa ngumi kwa kufumba macho!!
 

Thanks! mkuu, siko hapa kukupa ushauri kwa ajili ya matibabu but niko hapa kwa ajili ya kushare knowledge then wewe kama mtu unayejitambua upate pa kuanzia na kuzama zaidi ili uelewe pasipo kuwa na shaka (With no doubt).

Ila kwa kukusaidia na wewe kuwasaidia wazazi wako ni kwamba nakushauri ujiongeze yaani tafuta maarifa zaidi ya haya niliyokudokeza, kuna mambo mengi, hatuwezi kuyazungumza yakaisha. Ila waambie wazazi wako wana HIV (Kutokana na vipimo ambavyo havipo standard) bali hawana UKIMWI, na ARV's si salama kwa afya zao. Hivyo basi lishe iliyo bora na mitindo bora ya maisha ndiyo kinga yao. Na hili sio kwao tu hata kwako wewe, mimi na watanzania wote.

Kama utagundua kitu, wagonjwa wote wa ukimwi huwa wanaambiwa wale vizuri, wafanye mazoezi na wapumzishe miili yao. Hivi vitu kila mtu ambaye anataka kuwa salama kiafya ndivyo anavyopaswa kuishi na sio mgonjwa wa ukimwi tu. Na hiyo ndiyo kinga pekee zidi upugufu wa kinga mwilini kwa mtu yoyote yule mwenye HIV na asiye na HIV.
 

Yap! ni kweli mkuu, unajua waafrika tunaamini kwamba huu ugonjwa umeletwa na mungu. Yaan kwa maana kwamba mungu ameleta adhabu kumwangamiza binadamu. This is ridiculous, God is powerfully, hakuitaji miaka 30/miongo 3 kumwangamiza mwanadamu, just 30 minutes zilitosha kumwangamiza binadamu (This is Innocent Claim Against Almighty God).

Waafrika tumeshindwa kufikiri kwa fikra zilizo huru, mimi nadhani sababu ya umaskini pia, umaskini umetuweka kwenye kona, tumeshindwa kufikiri kwa fikra zilizo huru, kuna watu wanafikiri kwa niaba yetu na kufanya maamuzi kwa niaba yetu. African scientists na medical experts wameshindwa kupaza sauti zao kwa nguvu kwa maslahi ya waafrika wenzao ambao wanakufa bila hatia.

Na kitu kibaya zaidi waafrika tunaamini dunia nzima ipo pamoja kupambana na UKIMWI, ila ukweli ni kwamba sivyo hivyo ambavyo tunaamini. Kuna watu wanapigana hii vita kwa maslahi ya kidunia tu. Na kibaya zaidi kuna waafrika wenzetu wameingia kwenye mtego wa hii biashara, wanawaangamiza wafrika wenzao kwa maslahi ya viwanda vya madawa vya nchi za magharibi.

Ni vizuri kufanya biashara kwenye huu ulimwengu, sababu biashara inatufanya tuwe na financial freedom, lakini ni dhambi kubwa sana kufanya biashara at the same time unaangamiza watu ambao hawana hatia.
 

Unajua mkuu,watu wakiingia kwa pupa kwenye uzi kama huu wanaweza kuuona ni wa kawaida sana,lakini wakianza kuhoji na kufanikiwa kujua sifa za watu walioanzisha kupinga nadharia hii ya HIV/AIDS ndio huanza kupata wasiwasi kuhusu nadharia hii.Watu hawa wenye sifa kubwa kwenye sayansi na wana akili timamu,pia hawalipwi chochote kwa kueneza ukweli huu,je, wanafaidika nini?

Kuna mmoja ameongea point nzito sana,alisema kama kweli HIV/AIDS ni adui wetu sote na kweli tunatafuta dawa yake kwa muda mrefu halafu nadharia rasmi imeshindwa kupata dawa,sasa kwa nini wasiruhusu mawazo tofauti na mawazo rasmi yapewe nafasi ya kujaribu pia kama kweli lengo ni kumaliza tatizo hili?Huyu jamaa aliyeuliza hivi ametumia akili sana ingawa linaonekana ni swali la kawaida.
 

Mkuu,maswali hayo yanatosha sana kumfanya mtu yeyote mwenye akili timamu kugundua kwamba nadharia hii ina matatizo tena matatizo makubwa.Mimi huwa nasisitiza watu wafuatilie mambo haya tunayosema hapa wao wenyewe mitaani ndio watajua ukweli,binafsi nimefanya uchunguzi wa kutosha mtaani siwezi kuweka hapa wote,na nimehitimisha muda mrefu tu kwamba tumedanganywa.Kama kusingekuwa na CIA wanaofuatilia haya mambo hapa kwetu,ningekuwa nafanya mihadhara ya kujidunga damu za watu wanaosadikika wana huyu HIV mara kwa mara na nina uhakika nikienda kupima nitakuwa HIV-,lakini nikifanya hivi sitachukua muda mrefu wataniondoa kwenye uso wa dunia kama walivyofanya kwa Dr.Robert Willner yule Dr aliyekuwa anajidunga damu yenye "HIV" na kila akipima ni negative mwanzo mwisho,jamaa wakamsukia mpango na leo hii hatunaye tena huyu Dr.

Nilichokifanya ambacho najivunia mpaka leo kwa kuwa na uelewa huu ni kuwaachisha watu kutumia ARVs na mpaka leo wako safi hawaumwi chochote.
 

Mkuu sio kila mzungu ni adui wa mwafrika ilo inabidi utambue kwanza. Na ukimwi haujawaua wafrika tu kuna wazungu wamekufa pia na huu ugonjwa. Kuna wanasayansi waliguswa na huu utapeli unaofanywa kwenye ulimwengu wa sayansi kwa kuwa kuna wazungu wenzao pia wamepoteza maisha bila hatia.Mtu wa kwanza kusema HIV ni sababu ya UKIMWI ni mzungu ndiyo na Mtu wa kwanza kuhoji hii hypothesis ni mzungu pia.

Unaposema vigezo gani, sijui una maana gani? vigezo ni fact za kisayansi. Hakuna waraka wa kisayansi unaothibitisha HIV ni sababu ya UKIMWI. Mwanasayansi anapokuja na hypothesis anapaswa kuishirikisha scientific community ili kufanya verification au critics ili kuja na uthibitisho wa pamoja (PEER REVIEW).

Baada ya Dr.Robert Gallo kuclaim kwamba HIV ni sababu ya ukimwi alichokifanya ni kupita mlango nyuma kwa kukwepa Peer Review Science kwa kuwa alikuwa anafahamu alichokuwa anakifanya hakina ukweli. Alichofanya ni kuitisha press conference akishirikiana Margaret Heckler ambaye alikuwa ni secretary of health and Human Service kwa wakati huo na kuutangazia ulimwengu kuwa katika historia ya tiba na ya sayansi ya marekani, hatimaye wamegundua kile kilichokuwa kinasababisha UKIMWI. (Ilikuwa April, 23 1984).

Kwahiyo dunia iliamini hivyo, lakini kitu ambacho watu wengi walikuwa hawakifahamu ni kwamba Gallo alikwepa kile kiunzi cha peer review science (Uthibitisho wa pamoja), hivyo hakukuwa na nafasi kwa mwanasayansi yeyote kuverify au criticize madai yake.

Na kitu ch kushangaza test result zake zilikuja kuchapishwa kwenye science magazine wiki moja baadaye wakati dunia ikiwa tayari ishatangaziwa kwamba HIV ndiyo sababu ya UKIMWI.

Nakushauri usome, udadisi na ufatilie mambo kwenye huu ulimwengu usiishi kama upo kwenye chupa. (Africans we are perished from a lack of Knowledge)
 

Ndio mkuu,yaani alimwambia yule mwandishi kwamba ile meseji aliyotoa ni tofauti na ile aliyoisikia kutoka kwa Antonio Fauci(mkurugenzi wa CDC marekani),Fauci yeye anasema fanya uwezavyo huwezi kupona HIV hata ukila chakula bora.Halafu ndio huyuhuyu Fauci anayetaka kupendekeza PEP(ARVs) zitumike na watu wote kila kabla au baada ya kufanya tendo la ngono,huyu jamaa ukimfuatilia vizuri unaweza kupata hasira sana,hana moyo wa utu kabisa.Ukitaka kumjua vizuri wewe anza kumfuatilia uone.

Sasa maneno ya Luc yanatofautiana na yale ya Fauci,yaani wanapingana wenyewe kwa wenyewe,hapo ndipo utakapoona kwamba nadharia hii ni feki na ya kufikirika ikiwa na lengo la kuuza ARVs duniani.
 

Mkuu,David Rasnick ameandika scientific papers nyingi sana akishirikiana na Dr Peter Duesberg.Hawa jamaa hawabahatishi na ndio maana HIV/AIDS defendants wakubwa kama kina R.Gallo na wengine wanawakimbia kufanya nao debate na huwa hawaalikwi kwenye International Aids conferences kutoa lectures.Hii dunia ukifuatilia utagundua mambo ya ajabu sana mkuu.
 
Ebu nipeni jibu ARVs zilipoigwa marufuku South Africa enzi za Thabo Mbeki Vip ukimwi ulipungua South Africa?
 
Hapana..si rahisi kukubali kwa haraka....

Ofcourse,kwani nani alikwambia ukubali kwa haraka?

..Kwa sababu walioleta nadharia ya HIV/AIDS na ambao wanaamini kuna uhusiano baina yake ni hawa wazungu..utafiti unafanywa na wazungu..na dawa zinatengenezwa na wazungu..Wanaopingana na nadharia hii ni hao hao wazungu..

Kwa hiyo hii ndio sababu yako?Hebu jitahidi kidogo ku stretch ubongo basi mkuu,jiamini kwamba unaweza.

..je ni vigezo gani tunatumia fuata nadharia mojawapo ktk hizo?

Je,unataka ujibiwe vipi?Kama watu wamerundika link kibao na maelezo ya kutosha kiasi hiki lakini bado hujaona,sidhani kama hata ukijibiwa swali lako hapo juu utaweza kuona.Narudia tena,jiamini unaweza mkuu.

...Sasa,tumejiridhisha vipi kuwa hawa wanasayansi tunaowasifia hapa wako sahihi kuliko wenzao?

Mkuu,wewe utakuwa daktari eenh?Maana nilipata shida za aina kama hii kwenye uzi mmojawapo kama huu humuhumu.Madaktari walikuwa wanauliza vitu ambavyo vipo wazi kabisa mpaka mimi ambaye sina fani hiyo nilikuwa naona aibu kujibu.

...Hamuoni kama, kwa kuwa sisi ni waathirika ktk kdhia hii,huenda tukaamua kufuata nadharia inyoonekana kutufavour?..

Hayo ni mawazo yako,katiba yetu inasema kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake.

...Tunatumia vigezo gani kutambua mzungu mwaminifu kwetu?..

Hatutafuti uaminifu,hapa tunatafuta facts.Mimi tayari nimeshazipata facts.Labda uniulize najuaje kama hizi ni facts.

...Hofu ninayoona hapa ni watu wameamua kukwepa ngumi kwa kufumba macho!!

Katiba yetu inaruhusu kila mtu kutoa maoni yake,hivyo jisikie huru mkuu.
 
Mkuu naomba unisadie kujua kama mtu ameishaanza kutumia ARVs anaweza kuacha
na kuanza kuishi kwa kufauata masharti ya lishe a
kawa salama au akiishaanza kutumia ARV ndo hawezi tena
kuacha na akawa salama?
 

kaka hao wengine ndo wapo kwenye financial streams za HIV/AIDS so wanajaribu kufanya juu chini ili kupindisha ukweli ila its a matter of time tu the world will know that this z just a business
 

Ni kweli Mkuu, hawa opponents wa kina Dr.Peter Duesberg wakipewa nafasi kwenye mainstream ili ku prove wrong hii Hypothesis ya HIV/AIDS historia mpya inaenda kuandikwa kwenye ulimwengu wa sayansi na tiba.

Lakini hicho sidhani kama kitatokea kwasababu zifuatazo;
1.) Itakuwa ni aibu ya karne kwa taifa kubwa kama Marekani katika historia ya tiba na sayansi, pindi itakapothibitika on the mainstream kwamba HIV is not the cause of AIDS.

2.) Hili kundi la defendants wa HIV/AIDS Hypothesis likiongozwa na kina Dr.Robert Gallo na Anthony Fauci, wanaogopa kuharibiwa CV's zao. Maana ikija kuwa proved on the mainstream kwamba HIV is not the cause of AIDS, knowledge ya sayansi na expertise yao itakuwa MEANINGLESS AND USELESS. Na huenda watu wakafungua kesi mahakamani kuwashitaki hawa watu.

3.) Kuna watu wanaogopa kuwa RESPONSIBLE.

Kama ikithibitika kwenye mainstream kwamba HIV is not the cause of AIDS, hutawaambia nini mamilioni ya watu ambao ndugu zao wamepoteza maisha kwa Wrong treatment??? ARVS zilikuwa zinaenda kufanya nini kwenye miili yao???,

Huwataambia nini mamilion ya watu ambao wametengwa na jamii kwa kukutwa positive kwa kutumia vipimo ambavyo havipo standard???

Hutawaambia nini mamilioni ya waafrika ambao wamejiua kwa kuwa walikutwa positive kwa kutumia vipimo ambavyo havina world standard????

Hutawaambia nini waafrika walioachishwa kazi na kutengwa na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuwa walikutwa positive kwa kutumia vipimo ambavyo havina standard?

Je utawaambia nini maelfu ya wasouth africa ambao nyumba zao zilichomwa moto kwa kuwa walikutwa positive kwa kutumia vipimo ambavyo havipo standard?

So kuna watu wanaogopa kuwa liable hapa.

4.) Sababu ya mwisho ni kwamba, uwepo wa ukimwi miaka 31 kwenye huu ulimwengu, kumewafanya watu kuwekeza mabilioni ya pesa kwenye viwanda vya ARV'S, Condoms na Blood Test Kit. Na hii biashara yao ina exist sababu ya hii Hypothesis ya kitapeli HIV/AIDS. So ikiwa itakuwa proved kwenye mainstream kwamba HIV is not the cause of AIDS, the business is over. Na watu wataingia loss kubwa sana.

Hivyo kuna watu hawataki kuona haya mambo yanatokea, na kitu kibaya zaidi hawa watu wanatumia political economic power kuzima hoja mbadala ambazo ni za msingi. Na sio hivyo wameshika mpaka Media Network kwenye hii dunia.
 

Wewe unajua.
 

At least umemsaidia Deception katika kufafanua jinsi hii biashara inavyoendeshwa, hongera sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…