Well said Mkuu.Sheria hiyo ya kuomba ukazi kwa kupata mke au mume anhörig invandring haijabadilishwa sana.Kilichongezeka ni kwamba ukipata mchumba mume au mke ni lazima uwe na kipato cha kuwatosheleza na makazi.Sharti halikuwepo mwanzoni.Kuomba ukazi unafanya ukiwa nyumbani.Migrationsverket hawapokei maombi ukiwa Sweden.
Uraia siyo muhimu sana kwa mtu ambaye hataki kudumaa sehemu moja, kitu muhimu ni kibali cha ukazi.Au pair Mkuu sina ufahamu nayo.
Mkuu, najuwa wewe ni senior kwenye masuala ya nchi za Ng'ambo kutokana na utafiti wangu humu JF. Ila mKuu siku hizi Sweden mambo yamebadilika, hata hiyo ya kutafuta ji-Mama siyo rahisi kama zamani. Yaani sera kuhusu wahamiaji zinaendelea kubanwa siku hadi siku. Hata ukipata mchumba, kwa sasa hupewi uraia mpaka huyo mchumba wako naye aje kwenu na kipindi cha kuomba ukazi urudi kwenu kwanza.
Well said Mkuu. Niliteleza kidogo. Nilitakiwa kusema Ukazi (Residence permit) na siyo Uraia (Citizenship/Permanent residence).Uraia siyo muhimu sana kwa mtu ambaye hataki kudumaa sehemu moja, kitu muhimu ni kibali cha ukazi.
Kuna mwanangu mmoja yupo Swiss, yeye ameowa ana kibali cha kuishi lakini uraia wanataka akae miaka mitano mfululizo bila kuondoka Swiss, hilo sharti limemshinda maana lazima aje Bongo ma amefanya mambo mazuri kwa future yake, kiasi kwamba uraia ingekuwa ndio kipsumbele chake asingefanya la maana Bongo.
Maana Wabongo ukiwategemea kuwatumia pesa wakufanyie mambo yako unaweza siku ukaja kulia na ukafa kwa pressure hutoamini usanii uliofanyiwa.
Red light district (RLD), Amsterdam hiyo na miji mingine mingi ya Ulaya. Yaani unapita unachagua chombo kama imekuvutia. Unatimba ghetoni kwake. Huku nyuma anarudishia pazia kuziba vile vioo kuonyesha yuko engaged, unatoa Uero 30 kwa dakika 20 mchezo umeisha ha ha ha ha ha. Naikumbuka sana RLD za Ghent, watoto kutoka Ulaya ya Mashariki na West Africa, hao bei ya kawaida sana.Wadangaji sina experience nao ila itakuwa kwa kiasi kidogo maana karibia kila mtu ana uwezo wa kujiingizia kipato. Kuhusu biashara ya ngono, Kwa Sweden, anayenunua ni kosa, ila anayetoa huduma (Mwanamke) si kosa kwake. Huwa sijui mantiki ya hii sheria kwamba Mwanamme anakuwa guilt ila Mwanamke hawi guilt kwenye prostitution. Kwa Uholanzi kujiuza ni haki ya kila mtu. Kuna sehemu kabisa huko Amsterdam wana-mama waakuwa kwenye jumba lenye vioo wanajiuza kama unavyoona bidhaa kwenye maduka.
Taarifa zangu uzipate wapi wewe mzee na hata kama unazo zitakusaidia nini? FBI wanitafute mimi kwa lipi? Nawapa ukweli, mkubali au mkatae kwa hoja lakini.Well kati ya hao wasafisha vyoo ulaya na wanapata kipato na kuishi kama binadamu anavyotakiwa kuishi, na hawa waliojichokea Bongo mpaka uchawa imekuwa ajira bora nani?
Ujuwe nilikuwa nakuonaga kama mtu muelewa na mwenye exposure kubwa kumbe sivyo,
Kwahiyo unataka kila mtu awe mwizi kama wewe mpaka viwango vya kusakwa na FBI?
Taarifa zako tunazo mtumishi, acha dharau.
Sawa. Lakini ukubali kuwa wa mwisho kwenye jamii. Wazungu kwanza, Waasia wanafuata na wengineo, wewe Muafrika upo chini. Utakula, utashiba, shule bure, matibabu bure maisha yatasongaBora huko huo mshahara naweza kulisha familia na kutuma hela huku tz kwa ndugu na jamaa zake..niambie huyo msafisha choo wa tz ana maisha gani?
Tanzania ni nchi ya laana kuanzia viongozi wake.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
FBI investigation walishaku-clear?Taarifa zangu uzipate wapi wewe mzee na hata kama unazo zitakusaidia nini? FBI wanitafute mimi kwa lipi? Nawapa ukweli, mkubali au mkatae kwa hoja lakini.
FBI ya wapi?FBI investigation walishaku-clear?
Wadangaji kina jada Steven wapo.. kule wanalipa Kodi mzeebabaHujazungumzia wadangaji mwamba!!
Mkuu, umeandika kwa uchungu sana!! Hadi nimejikuta nacheka.Ndugu yangu katika hiyo namba 2 Hadi chozi la huzuni [emoji25][emoji25]limenitoka. Hapa tulipo CCM wametukatia maji tokea 26/10/2021 hadi leo hii 20/11/2021 hakuna dalili ya maji kutoka yaani ni changamoto tupu.
Imagine ndugu yangu tunatamanije kuwa katika taifa lenye maisha ya pepo kama hilo?! Kwa maisha tunayoishi hapa Tanzania kiukweli kama kuna kwenda mbinguni au motoni basi watanzania nadhani tumeshatumikia 80% ya adhabu maana hawa wajaalaaana wanachofanya watajibia siku ya kiama mbwa hawa MUNGU mwenye neema awalaani wote.
Kuna mengi watu tunayajua,isipokuwa tunauliza kwa faida ya wengineKuna wakati sijui huwa mnafanya matani au mko serious mimi sijui, ila vitu vidogo sana kama air ticket si unacheck tu mwenyewe online kwa air liners?
Ni jambo la kushangaza kidogo ukiwa mtumiaji wa internet ushindwe kupata mwenyewe data rahisi kama nauli.
By the way kwenda Sweden unatakiwa kuomba viza ubalozini kwao, vigezo na masharti pia vinapatikana online.
Na wewe si uweke life experiences zako ulivyokuwa Ulaya? Au Ulaya unaijua kupitia JF na Youtube?FBI investigation walishaku-clear?
Mkuu vipi kuhusu wanawake wa ki sweden je wana penda Interracial relationship ?Wadangaji sina experience nao ila itakuwa kwa kiasi kidogo maana karibia kila mtu ana uwezo wa kujiingizia kipato. Kuhusu biashara ya ngono, Kwa Sweden, anayenunua ni kosa, ila anayetoa huduma (Mwanamke) si kosa kwake. Huwa sijui mantiki ya hii sheria kwamba Mwanamme anakuwa guilt ila Mwanamke hawi guilt kwenye prostitution. Kwa Uholanzi kujiuza ni haki ya kila mtu. Kuna sehemu kabisa huko Amsterdam wana-mama waakuwa kwenye jumba lenye vioo wanajiuza kama unavyoona bidhaa kwenye maduka.
Kwani mkuu kuna ubaya gani ukishare experience jinsi ya kupiga mahera makubwa makubwa tuachane na kazi za kufagia vyoo?Na wewe si uweke life experiences zako ulivyokuwa Ulaya? Au Ulaya unaijua kupitia JF na Youtube?
Swali zuri.Mkuu vipi kuhusu wanawake wa ki sweden je wana penda Interracial relationship ?
Hamna hela zaidi ya kuosha vyoo na kufagia mkuu. Maisha yakikushinda unaenda kuomba benefits. UDSM bora wangeanzisha degree program ya Janitorial Sciences kuwaanda vijana kuikabili hali ya soko la ajira Ulaya kama wakiamua kuzamia huko.Kwani mkuu kuna ubaya gani ukishare experience jinsi ya kupiga mahera makubwa makubwa tuachane na kazi za kufagia vyoo?