Mambo 10 yaliyopo Ulaya, hasa hasa Sweden, pengine kwako ni mageni, na ungependa kuyafahamu

Mambo 10 yaliyopo Ulaya, hasa hasa Sweden, pengine kwako ni mageni, na ungependa kuyafahamu

Kwa hiyo mkuu, kifupi tu kuwa tunaishi ujima si ndio? Toka juzi tar.18 hakuna maji, I can imagine mtu una yale mnaita dyaba, moja au mawili tu...huku ndio tunasema kuishi kama mashetani.

Lakini kiukweli wenzetu sijui kwa nini wameweza sisi tupo hapa tulipo. Kuna nchi nilikuwa naona fine za barabara mtu anapigwa 200usd kwa kuendesha akiwa na kilevi kichwani, wenzetu mbona wako so strict, sisi tunashindwaje????
 
Sheria hiyo ya kuomba ukazi kwa kupata mke au mume anhörig invandring haijabadilishwa sana.Kilichongezeka ni kwamba ukipata mchumba mume au mke ni lazima uwe na kipato cha kuwatosheleza na makazi.Sharti halikuwepo mwanzoni.Kuomba ukazi unafanya ukiwa nyumbani.Migrationsverket hawapokei maombi ukiwa Sweden.
Well said Mkuu.
 
Au pair Mkuu sina ufahamu nayo.

Mkuu, najuwa wewe ni senior kwenye masuala ya nchi za Ng'ambo kutokana na utafiti wangu humu JF. Ila mKuu siku hizi Sweden mambo yamebadilika, hata hiyo ya kutafuta ji-Mama siyo rahisi kama zamani. Yaani sera kuhusu wahamiaji zinaendelea kubanwa siku hadi siku. Hata ukipata mchumba, kwa sasa hupewi uraia mpaka huyo mchumba wako naye aje kwenu na kipindi cha kuomba ukazi urudi kwenu kwanza.
Uraia siyo muhimu sana kwa mtu ambaye hataki kudumaa sehemu moja, kitu muhimu ni kibali cha ukazi.

Kuna mwanangu mmoja yupo Swiss, yeye ameowa na ana kibali cha kuishi lakini uraia wanataka akae miaka mitano mfululizo bila kuondoka Swiss, hilo sharti limemshinda maana lazima aje Bongo na amefanya mambo mazuri kwa future yake, kiasi kwamba uraia ingekuwa ndio kipaumbele chake asingefanya la maana Bongo.

Maana Wabongo ukiwategemea kuwatumia pesa wakufanyie mambo yako unaweza siku ukaja kulia na ukafa kwa pressure hutoamini usanii uliofanyiwa.
 
Uraia siyo muhimu sana kwa mtu ambaye hataki kudumaa sehemu moja, kitu muhimu ni kibali cha ukazi.

Kuna mwanangu mmoja yupo Swiss, yeye ameowa ana kibali cha kuishi lakini uraia wanataka akae miaka mitano mfululizo bila kuondoka Swiss, hilo sharti limemshinda maana lazima aje Bongo ma amefanya mambo mazuri kwa future yake, kiasi kwamba uraia ingekuwa ndio kipsumbele chake asingefanya la maana Bongo.

Maana Wabongo ukiwategemea kuwatumia pesa wakufanyie mambo yako unaweza siku ukaja kulia na ukafa kwa pressure hutoamini usanii uliofanyiwa.
Well said Mkuu. Niliteleza kidogo. Nilitakiwa kusema Ukazi (Residence permit) na siyo Uraia (Citizenship/Permanent residence).
 
Wadangaji sina experience nao ila itakuwa kwa kiasi kidogo maana karibia kila mtu ana uwezo wa kujiingizia kipato. Kuhusu biashara ya ngono, Kwa Sweden, anayenunua ni kosa, ila anayetoa huduma (Mwanamke) si kosa kwake. Huwa sijui mantiki ya hii sheria kwamba Mwanamme anakuwa guilt ila Mwanamke hawi guilt kwenye prostitution. Kwa Uholanzi kujiuza ni haki ya kila mtu. Kuna sehemu kabisa huko Amsterdam wana-mama waakuwa kwenye jumba lenye vioo wanajiuza kama unavyoona bidhaa kwenye maduka.
Red light district (RLD), Amsterdam hiyo na miji mingine mingi ya Ulaya. Yaani unapita unachagua chombo kama imekuvutia. Unatimba ghetoni kwake. Huku nyuma anarudishia pazia kuziba vile vioo kuonyesha yuko engaged, unatoa Uero 30 kwa dakika 20 mchezo umeisha ha ha ha ha ha. Naikumbuka sana RLD za Ghent, watoto kutoka Ulaya ya Mashariki na West Africa, hao bei ya kawaida sana.
 
Well kati ya hao wasafisha vyoo ulaya na wanapata kipato na kuishi kama binadamu anavyotakiwa kuishi, na hawa waliojichokea Bongo mpaka uchawa imekuwa ajira bora nani?

Ujuwe nilikuwa nakuonaga kama mtu muelewa na mwenye exposure kubwa kumbe sivyo,

Kwahiyo unataka kila mtu awe mwizi kama wewe mpaka viwango vya kusakwa na FBI?

Taarifa zako tunazo mtumishi, acha dharau.
Taarifa zangu uzipate wapi wewe mzee na hata kama unazo zitakusaidia nini? FBI wanitafute mimi kwa lipi? Nawapa ukweli, mkubali au mkatae kwa hoja lakini.
 
Bora huko huo mshahara naweza kulisha familia na kutuma hela huku tz kwa ndugu na jamaa zake..niambie huyo msafisha choo wa tz ana maisha gani?

Tanzania ni nchi ya laana kuanzia viongozi wake.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Lakini ukubali kuwa wa mwisho kwenye jamii. Wazungu kwanza, Waasia wanafuata na wengineo, wewe Muafrika upo chini. Utakula, utashiba, shule bure, matibabu bure maisha yatasonga
 
Sweden ni mojawapo ya nchi nzuri sana zenye kiwango cha juu kabisa cha ustaarabu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Una maana gani wazungu kwanza,wahindi wanafuata,kwenye Nchi ipi ?
Hapa Sweden inategemea na jitihada yako.Kiongozi wa Chama cha Upinzani Liberals Sweden ni mwanamke mweusi Nyamko Sabuni.Ambaye awali alishawahi kuwa waziri kwenye serikali iliyopita.
Kuna weusi wengi kwenye post mbalimbali za juu.Ni bidii na uwezo wako tu.Ukiwa na mawazo defeats na inferiority complex kufanikiwa ni ngumu sana.
 
Taarifa zangu uzipate wapi wewe mzee na hata kama unazo zitakusaidia nini? FBI wanitafute mimi kwa lipi? Nawapa ukweli, mkubali au mkatae kwa hoja lakini.
FBI investigation walishaku-clear?
 
Ndugu yangu katika hiyo namba 2 Hadi chozi la huzuni [emoji25][emoji25]limenitoka. Hapa tulipo CCM wametukatia maji tokea 26/10/2021 hadi leo hii 20/11/2021 hakuna dalili ya maji kutoka yaani ni changamoto tupu.

Imagine ndugu yangu tunatamanije kuwa katika taifa lenye maisha ya pepo kama hilo?! Kwa maisha tunayoishi hapa Tanzania kiukweli kama kuna kwenda mbinguni au motoni basi watanzania nadhani tumeshatumikia 80% ya adhabu maana hawa wajaalaaana wanachofanya watajibia siku ya kiama mbwa hawa MUNGU mwenye neema awalaani wote.
Mkuu, umeandika kwa uchungu sana!! Hadi nimejikuta nacheka.
Huku kwetu ni wiki sasa maji hakuna.
 
Kuna wakati sijui huwa mnafanya matani au mko serious mimi sijui, ila vitu vidogo sana kama air ticket si unacheck tu mwenyewe online kwa air liners?

Ni jambo la kushangaza kidogo ukiwa mtumiaji wa internet ushindwe kupata mwenyewe data rahisi kama nauli.

By the way kwenda Sweden unatakiwa kuomba viza ubalozini kwao, vigezo na masharti pia vinapatikana online.
Kuna mengi watu tunayajua,isipokuwa tunauliza kwa faida ya wengine

Kama Kila kitu tugoogle au kwenda online basi hakuna haja ya uwepo wa jamii forum

Ukitaka matokeo ya mpira unaenda live score

Ukitaka updates za vitu vingi zipo applications

Lakini watu wanaamua kushare Kila jambo hapa jamvini kwa faida ya wengi
 
Wadangaji sina experience nao ila itakuwa kwa kiasi kidogo maana karibia kila mtu ana uwezo wa kujiingizia kipato. Kuhusu biashara ya ngono, Kwa Sweden, anayenunua ni kosa, ila anayetoa huduma (Mwanamke) si kosa kwake. Huwa sijui mantiki ya hii sheria kwamba Mwanamme anakuwa guilt ila Mwanamke hawi guilt kwenye prostitution. Kwa Uholanzi kujiuza ni haki ya kila mtu. Kuna sehemu kabisa huko Amsterdam wana-mama waakuwa kwenye jumba lenye vioo wanajiuza kama unavyoona bidhaa kwenye maduka.
Mkuu vipi kuhusu wanawake wa ki sweden je wana penda Interracial relationship ?
 
Kwani mkuu kuna ubaya gani ukishare experience jinsi ya kupiga mahera makubwa makubwa tuachane na kazi za kufagia vyoo?
Hamna hela zaidi ya kuosha vyoo na kufagia mkuu. Maisha yakikushinda unaenda kuomba benefits. UDSM bora wangeanzisha degree program ya Janitorial Sciences kuwaanda vijana kuikabili hali ya soko la ajira Ulaya kama wakiamua kuzamia huko.
 
Nimalizie tu ya kwamba ni nchi ambayo hata ukizamia bila kibali utaingia tu, kwa sasa waarabu wengi sana wanaingia, miaka michache ijayo itakuwa chini ya waarabu na pia itakuwa ni nchi ya kiislamu.

Serikali yale inapenda sana wageni, ni swala la muda tu wazawa watakuwa wachache sana.

Ni nchi nzuri kwa wazamiaji.
 
Back
Top Bottom