- Thread starter
- #61
Ndo haondoki sasa. Mama bado yupo sana na akimaliza yake mitano tena watoto wa mjini wanampa mwenzao mwingine.Tuambie nn kafanya kuinua uchumi wa nchi. Sisi tunataka maendeleo na si kujivunia kuunganishwa. We want a great nation economically. Ni dhaifu na Hafai kuendelea kuongoza nchi yetu