Ndo haondoki sasa. Mama bado yupo sana na akimaliza yake mitano tena watoto wa mjini wanampa mwenzao mwingine.Tuambie nn kafanya kuinua uchumi wa nchi. Sisi tunataka maendeleo na si kujivunia kuunganishwa. We want a great nation economically. Ni dhaifu na Hafai kuendelea kuongoza nchi yetu
Tuliza kichwa utaelewa.Hivi udikteta unautambua vyema mkuu?
Kwanza Demokrasia imeshamiri kuliko wakati waowote nchini,
JIwe alikuwa anapora, anaua, anateka na kuwapiga risasi wananchi wake. Mama hafanyi ujinga huo.? Hayo mazuri aliyoyafanya kuliko Jpm
Hapana. Samia is better than jiwe by far.SSH ni jambazi mbaya kuliko magufuli!
Uko sahihi. Kiini cha yote ni mfumo mbovu wa uongozi wa nchi yetu.Bila kushughulika na la kwanza atapiga march time kama mtangulizi wake tu.
Katiba Bora ndio Moyo wa kusukuma maendeleo na ustawi wa Taifa.
Acha mambo hayo,mnaongelea udikteta kama ni kitu chepesi sana,jiwe aliwaonjesha mkapoteana naona mnatamani tena.Tuliza kichwa utaelewa.
Kwani umeisha?Acha mambo hayo,mnaongelea udikteta kama ni kitu chepesi sana,jiwe aliwaonjesha mkapoteana naona mnatamani tena.
Hakuna udikteta tzKwani umeisha?