Mambo 7 yanayodhihirisha ubora wa katiba inayopendekezwa.

ukimbiwe wewe simba au chui? Toa hoja ujibiwe.

Katiba pendekezwa ina harufu ya rushwa; Ubabe, na uchakachuaji.
Imekiuka cardinal principal: Muundo wa serikali umekaa vibaya ulilazimishiwa;
muungano na ZNZ sio msitari kutoka kwenye maandiko matakatifu kwamba hauwezi kubadilishwa kulingana na mahitaji ya wakati
Katiba inatufanya watu wa tanzania bara hatuna asili kwa kuikana Tanganyika
Ilipitishwa kwa kura ya wazi na siri; je kura ya maoni itapigwa vipi?
 

Yeah niliusoma mchezo mapema, kinachonishangazaga hawa ni watanzania wenzetu wana watoto, hata kama hawana basi kuna watoto wa ndugu zao na hata wao watajaaliwa watoto siku moja, sasa haiyumkiniki mtu kutetea huu ufedhuli ilhali akijua kabisa wanae au wajukuu watakuja umia siku zijazo..

Very stupid!!
 
Muungwana ni yule anayetetea maslahi ya nchi na sio tumbo lake. Usitake kunidanganya hapa wakati ukweli naujua. Mimi nafahamu kuwa jiwe sio mkate, wewe unataka kuniaminisha kuwa jiwe ni mkate watoto wangu wale tu hakuna shida. Acheni kupotosha. Hebu niambie katika hayo niliyoya post hapo juu lipi halina maslahi kwa Taifa.

Yaani kama wasomi wote tungekuwa kama wewe, basi tungeonekana wote ni wajinga katika mambo yote ila ni wasomi. Nimekwambia kuwa ninazo hizo docs ili usije ukaja na ngonjera za alinacha kuwa sijaisoma. Nimeisoma na kuirudia tena na tena. Kuna vihaki fulani kwa vijana, wanawake na hata wazee vimewekwa, ila mwishowe vikapigwa pini visidaiwe mahakamani hata haki ya elimu haiwezi daiwa mahakamani. Au mwenzangu umekaririshwa!!!!! kitu chenyewe huna na hujakisoma?
 
nawe unahangaika sana na hao waliokutuma wakati nyote mnajua ukweli wa uzuri wa hii katiba. Pole sanan ujumbe umekufikia, ndo basi tenaaaaaa
Yaani umeonesha namna gani ulivyo na uelewa mdogo wa mambo, read between the lines, you will understand my ujumbe. Kwa sababu wewe unatumwa unadhani kila aliyepo hapa jukwaani katumwa kama wewe. Can't we learn from the past!!!!
 

hawa watu ni wanufaikaji na mfumo uliopo..haiwezekani ''mastermind'' adraft katiba....baada ya miezi kadhaa anaitwa kwenye kamati ya maadili ...upuuzi mtupu...
 

kama wao si jamii ya mafisadi basi ni wale watanzania wachache wenye funza kwenye ubongo
 
Umesema ukweli ambao unauma kwa wazalendo wa Kitanzania. Maana wengine ni viongozi wetu lakini uzalendo hakuna kabisa. Watu wote waelewa wanajua ile iko pale kulinda makundi fulani katika nchi hasa watu aina ya Chenge
 
kama unavyo sasa unabisha vitu gani kuhusu katiba inayopendekezwa? Ukweli unauma eeenh??? Message sent katiba hii ni ndiyooo tu coz imecover kila kitu, huna jipya la kuniconvince nkakuelewa, kaisome katiba uielewe then ndo uje na hoja zenye mantiki.

Alafu unatakiwa uelewe kwamba tatizo sio hayo yaliyomo tu ndio utuambie eti katiba ninzuri,tatizo niyale yaliyoondolewa hasa yanayowagusa viongozi na badala yake wanatuletea mambo eti ya usawa wa kijinsia kupata nafasi asilimia sawa.Hatupo kwenye mashindano ya urembo au komborela mkuu tunatafuta Muarobaini wa Ujenzi wa Taifa letu linalohusu vizazi vyote bila kujari itikadi,rangi,umri,jinsia nk.
 
Read betwen the lines in my post, you will understand my message. Ila kama unaisoma ukiwa na mihemko unaondoka na sifuri
 
wewe kijana uwage muelewa, toa hoja mbona hueleweki? toa 7bu zako ambazo zinakufanya uipinge hiyo Katiba then ujibiwe hizo hoja sio kulalamika lalamika tu bila msingi.
Pole pole ndg yangu, mimi sio kijana kama unavyofikiri. Mwenzako alisema nimejeli/ nimetukana nikamwambia ahighlight hayo matusi/kejeli kimya mpaka sasa. Nimeandika mapungufu ya hiyo katiba pendekezwa hapo, na hiyo ni sehemu tu, I think you have your own agenda and a not national agenda. Read between the lines or else keep quiet . Can't we learn even from the past!!!
 
TENA hufahamu, fahamu sasa kuwa wewe sio mzalendo wa kweli. Mzalendo wa kweli hawezi shabikia Taifa lake kuangamizwa na watu wachache ambao anawafahamu kuwa ni wezi ila kwa kuwa wamempa shekeli anaona hakuna shida. Yaliyoondolewa ni mihimili katika Taifa lolote la waungwana. Bila hata haya unasema eti nikalale ratiba yangu ya kulala unaijua wewe. Mwenye mamlaka ya kuniambia nikalale ni Mungu, maana Yeye ndiye ajuaye nitalala lini, sio wewe. Acheni kupotosha wananchi na kushabikia nchi kuibiwa au nawe ni ukoo mmoja na wazee wa escrow kwa hiyo unaona tunakuzibia ulaji mchana kweupe peeeeeeeeeeeee!!!
 

katiba ya nchi haipaswi kuwa na vipengele 7 tu ambavyo ni bora bali inabidi kila kitu kilichomo kiwe bora na itoke kwa wananchi kweli
 

Kama huna hoja kaka pumzika tuu ndugu yangu, hayo maneno tu hata kwenye khanga yamo! Katiba ni nzuri, isome uielewe.
 
Hamfrey polepole
Naomba uje huku bro.
 
Last edited by a moderator:
katiba ya nchi haipaswi kuwa na vipengele 7 tu ambavyo ni bora bali inabidi kila kitu kilichomo kiwe bora na itoke kwa wananchi kweli

Kweli wewe hujaisoma na hujaelewa kitu hapo, hizo ni baadhi ya sehemu ama vipengele muhimu vilivyomo kwenye Katiba hiyo, sio kwamba viko hivyo tuuu, dah kusoma kumbe ni shidaaah eenh! duh rudi darasani tena kwanza.
 
Katiba iliyoandikwa na wezi.... .mafisadi......wala rushwa........unategemea iwe safi???........ipo kimasrahi ya mafisadi kuwatanulia mianya yao ya kula fedha za walala hoi...... Am sorry mr. Chenge Vijisenti...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…