Mambo 7 yanayodhihirisha ubora wa katiba inayopendekezwa.

Mambo 7 yanayodhihirisha ubora wa katiba inayopendekezwa.

naona hapa tunaongea na watu wasioelewa. Watu wa namna hii ni wazuri sana kwani wanakiri kuwa hawaelewi hivyo wakieleweshwa kama ninavyofanya sasa hivi. Mwakaboko wewe utakuwa mwanafunzi mzuri. Nakumbuka mwanafalsafa socrates alisema ignorance is the source of wisdom. Kwa hiyo bwana mwakaboko naona utakuwa wise muda si mrefu kwani naona umekuwa mwanafunzi mzuri. Elewa kwanza kuwa wewe unaongelea kitu tofauti ndomana unatumia nguvu nyingi au kubwa kujibu hoja, wewe unaongelea katiba ya chenge ambayo hapa haiongelewi. Hapa tunaongelea katiba inayopendekezwa. Nadhani unaanza kuelewa sasa!
 
Acha kuipigia upatu hii katiba ww tumia akili mkuu.......kulikuwa na makubaliano gani? au hata bungeni hukuona wajumbe wa katiba hawakuwa na makubaliano sasa mbona una lazimisha watu tukuelewe wakati sio kweli? ACHA TABIA HIYO NI MBAYA SANA.
 
naona hapa tunaongea na watu wasioelewa. Watu wa namna hii ni wazuri sana kwani wanakiri kuwa hawaelewi hivyo wakieleweshwa kama ninavyofanya sasa hivi. Mwakaboko wewe utakuwa mwanafunzi mzuri. Nakumbuka mwanafalsafa socrates alisema ignorance is the source of wisdom. Kwa hiyo bwana mwakaboko naona utakuwa wise muda si mrefu kwani naona umekuwa mwanafunzi mzuri. Elewa kwanza kuwa wewe unaongelea kitu tofauti ndomana unatumia nguvu nyingi au kubwa kujibu hoja, wewe unaongelea katiba ya chenge ambayo hapa haiongelewi. Hapa tunaongelea katiba inayopendekezwa. Nadhani unaanza kuelewa sasa!

dah ebu nisaidie mwenzangu kuwaelewesha hawa watu mwakaboko na mtk, hawa watu ni wagumu kuelewa na wanatumia hasira katika kutetea hoja zao, usitoke nje ya mada tena kwa lugha za ajabu ajabu, nenda katika point toa hoja ujibiwe.
 
kwa kweli umejitahidi sana kujifanya mstaarabu sanaa.... kwa kutumia swaeglish,haijalishi,nadhani swala la msingi hapa ni wewe kujielimisha kwanza kabla ya kuingia hapa na kuanza kuchangia mada ili uwe na uelewa wa kutosha na pale unapoishiwa basi utulie,nimesoma kwa umakini hoja zako du kweli kaa chini ujitafakari tena na tena kama unaendana na uliyoyaandika,sina maana hijitambui la hasha, ila nimeshangaa kuona hayo uloyaandika. uwe na mawazo chanya itakusaidia kujenga hoja,Unaonekana umekata tamaa.

IQ of a millipede
 
IQ of a millipede

umekuwa mfa maji kijana, umepigwa moko la shingo limekuuma unaweka tusi, matuc hamfi mtu, ndo unazidi kujing'arisha kwa wanaJF kuwa wewe hujui kitu na huna hoja zaidi ya matuc, pumzika au osha vyombo vya nyumbani kwako hapo au fagia uwanja kama huna kazi, matuc si mahala pake humu. khaaaa!!
 
MKUU ,HIZI NI id MAALUM KWA KAZI MAALUM..WATETEZI WA KATIBA YA CHENGE WOTE WAMEJIUNGA MWEZI MARCH MWAKA HUU..(SO FAR KATIKA UZI HUU..WHAT A COINCIDENCE)
USISAHAU KUNICHUKIA -Join Date : 15th March 2015
claudiaeliakimu-Join Date : 13th March 2015
UFO_ALIEN- Join Date : 10th March 2015
B-2 STEALTH BOMBER- Join Date : 15th March 2015
USIEMPENDA KAJA- Join Date : 14th March 2015
MWASI MWAKENDA- Join Date : 9th March 2015

MWENDELEZO WA WACHUMIA TUMBO...

Ni kweli kabisa mkuu, hii ni OPERATION TAKATISHA KATIBA PENDEKEZWA!
 

kwanza nautilia shaka uraia wako, inabidi nikufuatilie, pili tumia lugha ya taifa usijifanye unajua kiingereza humu ndani ukataka sifa, nenda katika mada husika tumia kiswahili kwa faida ya wengi, mie sie mwenzako, kama maneno yangu yamekuuma sana basi vumilia ndo ukubwa huo lakini katiba hii imetulia, ushauri wangu ni kwamba nenda kaisome upya kipengele hadi kipengele kisha uje na hoja zenye mantiki tena utumie lugha ya taifa ili wengi wajue. Hatupo kutambishiana kiingereza humu jf.
Kumbe umeumia sana pole, ila vumilia, NAONA SASA UMEKUJA NA RANGI YAKO HALISI YA KICHAMA (CCM), unajua kwa nini nimesema umekuja na rangi yako halisi ya kichama? kwa sababu wahafidhina wengi sana wa CCM wakishindwa hoja huwa wana kawaida ya kuwavua uraia Watanzania wenzao, Nawe sasa umeamua kuonesha rangi yako halisi. Fahamu tu kuwa huna tena nasema Huna uwezo wa kunivua uraia wangu. Mimi ni Mtanzania na nitabaki Mtanzania, kama hutaki nenda kanye sumu ya panya uone maumivu yake yakoje. Ila acha kushabikia katiba mbovu wewe
 
naona hapa tunaongea na watu wasioelewa. Watu wa namna hii ni wazuri sana kwani wanakiri kuwa hawaelewi hivyo wakieleweshwa kama ninavyofanya sasa hivi. Mwakaboko wewe utakuwa mwanafunzi mzuri. Nakumbuka mwanafalsafa socrates alisema ignorance is the source of wisdom. Kwa hiyo bwana mwakaboko naona utakuwa wise muda si mrefu kwani naona umekuwa mwanafunzi mzuri. Elewa kwanza kuwa wewe unaongelea kitu tofauti ndomana unatumia nguvu nyingi au kubwa kujibu hoja, wewe unaongelea katiba ya chenge ambayo hapa haiongelewi. Hapa tunaongelea katiba inayopendekezwa. Nadhani unaanza kuelewa sasa!
Mwanzoni nilikuwa najaribu kuwaelewesha namna gani katiba ya Bw. Chenge na Bw. Sitta (Katiba Pendekezwa) ilivyo mbovu, ambacho nilikuwa sikijui ilikuwa kuhusu ninyi, ila sasa nimejua kumbe ninyi wale wapiga deal. Nawafahamisheni kuwa Katiba Pendekezwa itapita na kama itashindikana kupita itapitishwa na itapitishwa kweli siwataniiii, Pamoja na ubovu wake. Kwani mmesahau (wewe na kundi lako) wakati ule wa BMK, mpaka marehemu alipiga kura. Asante kunielewa
 
dah ebu nisaidie mwenzangu kuwaelewesha hawa watu mwakaboko na mtk, hawa watu ni wagumu kuelewa na wanatumia hasira katika kutetea hoja zao, usitoke nje ya mada tena kwa lugha za ajabu ajabu, nenda katika point toa hoja ujibiwe.
una uhakika na unayoyasema? utapata ujasiri huo wa kuyasema hayo unayosema ukiwa mbele yangu uso kwa uso. Bila shaka utanikimbia. Na hata tukikutana darasani utaniogopa, I am among the best students in the country. Acha dhihaka kwa sababu ya posho unazopewa ili kung'arisha katiba ya Chenge. Acha kujaza server kwa hoja ambazo hazina maana, katiba ya chenge ni mbovu nimbovu, period. Ila kwa sababu ww uko kazini, endelea na kampeni endelea kupiga mpunga ila kizazi chako kitakuuliza ilkuwaje mlipitisha katiba mbovu namna hii tena isiyolinda maadili ya nchi inayoruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa mchana kweupe, piga deal lako, ondoka tuachieni nchi yetu
 
Tatizo sio yaliyomo bali yale ambayo HAYAPO;
Asante kwa kuwaonesha angalizo. Ila ndg yangu nimejifunza kitu.. hawa mashabiki ni kikosi kazi maalumu, ambacho kazi yake ni kuing'arisha katiba ya chenge ionekane ni nzuri kwa wananchi. Wewe mwenyewe umeona wanabadilisha mpaka miandiko yao, sio kwa bahati mbaya, This is a special mission. Ila ipo siku Watanzani tutafika Kanani tukimpata Joshua, Musa (Nyerere) alifanya yale aliyotumwa na akafanikiwa. Sasa shughuli pevu ni kumpata Joshua wa kutupeleka na kutongoza mpaka mto Jordan, kisha atuvushe katika mto huo mkubwa tena wenye mawe na kutuingiza Kanani. Tuvute subira, kwa sasa Katiba ya Watanzania ambao ni wazalendo imeshindikana. The sons of darkness has concurred the sons of light, but very soon the SONS OF LIGHT WILL TAKEOVER their victory
 
kumbe umeumia sana pole, ila vumilia, naona sasa umekuja na rangi yako halisi ya kichama (ccm), unajua kwa nini nimesema umekuja na rangi yako halisi ya kichama? Kwa sababu wahafidhina wengi sana wa ccm wakishindwa hoja huwa wana kawaida ya kuwavua uraia watanzania wenzao, nawe sasa umeamua kuonesha rangi yako halisi. Fahamu tu kuwa huna tena nasema huna uwezo wa kunivua uraia wangu. Mimi ni mtanzania na nitabaki mtanzania, kama hutaki nenda kanye sumu ya panya uone maumivu yake yakoje. Ila acha kushabikia katiba mbovu wewe

ukweli wa uzuri wa katiba unaujua wewe, unafuata upepo tu, kakutwanga dozi kali ndo maana unajibu uhuni humo, katiba imetulia kama hujaielewa utaielewa atakapo kuja yesu mara ya pili.
 
asante kwa kuwaonesha angalizo. Ila ndg yangu nimejifunza kitu.. Hawa mashabiki ni kikosi kazi maalumu, ambacho kazi yake ni kuing'arisha katiba ya chenge ionekane ni nzuri kwa wananchi. Wewe mwenyewe umeona wanabadilisha mpaka miandiko yao, sio kwa bahati mbaya, this is a special mission. Ila ipo siku watanzani tutafika kanani tukimpata joshua, musa (nyerere) alifanya yale aliyotumwa na akafanikiwa. Sasa shughuli pevu ni kumpata joshua wa kutupeleka na kutongoza mpaka mto jordan, kisha atuvushe katika mto huo mkubwa tena wenye mawe na kutuingiza kanani. Tuvute subira, kwa sasa katiba ya watanzania ambao ni wazalendo imeshindikana. The sons of darkness has concurred the sons of light, but very soon the sons of light will takeover their victory

imeukuuuma wewe huna hoja, kaisome uielewe kisha uje na hoja, mpya hii itapita tu kwa uweza wa mola, nyie bakini na mababaiko yenu eti kikosi kazi, na nyie ni kikosi kazi cha akina nani? Kila mtu yuko na mambo yake humu hakuna mwenye chata lolote wala alotumwa na mtu, maneno unayoambiwa na wengi yanakuumiza akili kwasabu unakosa majibu ndo unaishia kusema eti kikosi kazi, khaa fikiri mpaka upasuke kichwa.
 
mwanzoni nilikuwa najaribu kuwaelewesha namna gani katiba ya bw. Chenge na bw. Sitta (katiba pendekezwa) ilivyo mbovu, ambacho nilikuwa sikijui ilikuwa kuhusu ninyi, ila sasa nimejua kumbe ninyi wale wapiga deal. Nawafahamisheni kuwa katiba pendekezwa itapita na kama itashindikana kupita itapitishwa na itapitishwa kweli siwataniiii, pamoja na ubovu wake. Kwani mmesahau (wewe na kundi lako) wakati ule wa bmk, mpaka marehemu alipiga kura. Asante kunielewa

acha kulalamika na kutoa hoja zilizoexpiry muda unao wa kutosha isome katiba inayapendekezwa ujue uzuri wake na ufanye maamuzi sahihi kijana.
 

ukweli wa uzuri wa katiba unaujua wewe, unafuata upepo tu, kakutwanga dozi kali ndo maana unajibu uhuni humo, katiba imetulia kama hujaielewa utaielewa atakapo kuja yesu mara ya pili.
Only the fool will comment like that. Are you a fool?
 
acha kulalamika na kutoa hoja zilizoexpiry muda unao wa kutosha isome katiba inayapendekezwa ujue uzuri wake na ufanye maamuzi sahihi kijana.
Acha dharau, mimi sio kijana. Wewe endelea kupiga mpunga wako. Kama kuna mjinga wenzako alikwambia hoja za katiba kuwa zinaisha muda wake alikuongopea, ila cha muhimu endelea kupiga mpunga wako, maana wenye akili tumejua hii ni project maalumu
 
Katiba ya nyoka mwenye makengeza toka lini ikawa bora.
 
Acha dharau, mimi sio kijana. Wewe endelea kupiga mpunga wako. Kama kuna mjinga wenzako alikwambia hoja za katiba kuwa zinaisha muda wake alikuongopea, ila cha muhimu endelea kupiga mpunga wako, maana wenye akili tumejua hii ni project maalumu

Weka hoja sio kubashiri mambo yasiyo!
 
imeukuuuma wewe huna hoja, kaisome uielewe kisha uje na hoja, mpya hii itapita tu kwa uweza wa mola, nyie bakini na mababaiko yenu eti kikosi kazi, na nyie ni kikosi kazi cha akina nani? Kila mtu yuko na mambo yake humu hakuna mwenye chata lolote wala alotumwa na mtu, maneno unayoambiwa na wengi yanakuumiza akili kwasabu unakosa majibu ndo unaishia kusema eti kikosi kazi, khaa fikiri mpaka upasuke kichwa.
Hata usipopiga kura katiba itapita tu, kwani wewe hilo ulikuwa hulijui mpaka leo, wote wenye akili tunajua itapita hata wananchi wakikataa itapitishwa tu. Nini cha kuizuia isipite, ilipitishwa kwenye BMK penye watu wachache, sembuse kwenye lundo la watu. Wewe endelea kupiga deal lako tu
 
Back
Top Bottom