jamiimemba
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 156
- 39
Kweli wewe hujaisoma na hujaelewa kitu hapo, hizo ni baadhi ya sehemu ama vipengele muhimu vilivyomo kwenye Katiba hiyo, sio kwamba viko hivyo tuuu, dah kusoma kumbe ni shidaaah eenh! duh rudi darasani tena kwanza.
read betwen the lines in my post, you will understand my message. Ila kama unaisoma ukiwa na mihemko unaondoka na sifuri
wew ndo haujanielewa eb soma tena post yangu...hz division 5 huwa hazielewi kabisa duh
Katiba pendekezwa ina harufu ya rushwa; Ubabe, na uchakachuaji.
Imekiuka cardinal principal: Muundo wa serikali umekaa vibaya ulilazimishiwa;
muungano na ZNZ sio msitari kutoka kwenye maandiko matakatifu kwamba hauwezi kubadilishwa kulingana na mahitaji ya wakati
Katiba inatufanya watu wa tanzania bara hatuna asili kwa kuikana Tanganyika
Ilipitishwa kwa kura ya wazi na siri; je kura ya maoni itapigwa vipi?
Muungwana ni yule anayetetea maslahi ya nchi na sio tumbo lake. Usitake kunidanganya hapa wakati ukweli naujua. Mimi nafahamu kuwa jiwe sio mkate, wewe unataka kuniaminisha kuwa jiwe ni mkate watoto wangu wale tu hakuna shida. Acheni kupotosha. Hebu niambie katika hayo niliyoya post hapo juu lipi halina maslahi kwa Taifa.
Yaani kama wasomi wote tungekuwa kama wewe, basi tungeonekana wote ni wajinga katika mambo yote ila ni wasomi. Nimekwambia kuwa ninazo hizo docs ili usije ukaja na ngonjera za alinacha kuwa sijaisoma. Nimeisoma na kuirudia tena na tena. Kuna vihaki fulani kwa vijana, wanawake na hata wazee vimewekwa, ila mwishowe vikapigwa pini visidaiwe mahakamani hata haki ya elimu haiwezi daiwa mahakamani. Au mwenzangu umekaririshwa!!!!! kitu chenyewe huna na hujakisoma?
alafu unatakiwa uelewe kwamba tatizo sio hayo yaliyomo tu ndio utuambie eti katiba ninzuri,tatizo niyale yaliyoondolewa hasa yanayowagusa viongozi na badala yake wanatuletea mambo eti ya usawa wa kijinsia kupata nafasi asilimia sawa.hatupo kwenye mashindano ya urembo au komborela mkuu tunatafuta muarobaini wa ujenzi wa taifa letu linalohusu vizazi vyote bila kujari itikadi,rangi,umri,jinsia nk.
TENA hufahamu, fahamu sasa kuwa wewe sio mzalendo wa kweli. Mzalendo wa kweli hawezi shabikia Taifa lake kuangamizwa na watu wachache ambao anawafahamu kuwa ni wezi ila kwa kuwa wamempa shekeli anaona hakuna shida. Yaliyoondolewa ni mihimili katika Taifa lolote la waungwana. Bila hata haya unasema eti nikalale ratiba yangu ya kulala unaijua wewe. Mwenye mamlaka ya kuniambia nikalale ni Mungu, maana Yeye ndiye ajuaye nitalala lini, sio wewe. Acheni kupotosha wananchi na kushabikia nchi kuibiwa au nawe ni ukoo mmoja na wazee wa escrow kwa hiyo unaona tunakuzibia ulaji mchana kweupe peeeeeeeeeeeee!!!
Katiba iliyoandikwa na wezi.... .mafisadi......wala rushwa........unategemea iwe safi???........ipo kimasrahi ya mafisadi kuwatanulia mianya yao ya kula fedha za walala hoi...... Am sorry mr. Chenge Vijisenti...
only the fool will comment like that, are you a fool?isome, ielewe, then ndo uje kwangu ukiwa na hoja za msingi na sio pumba unazoendelea kubwabwaja humu ndani.
Before posting anything serious like this You should remember first that you are not the determinant of my sleepy, Only God know when I am going to sleep. I am seeing you as among the national killers who roaming about day and night in the social networks to defend the public fund fraudsters. You are claiming to be a saint, while you are not. Who knows may be you are among the beneficiaries of the daily scams in our beloved nation, you are eating the human fresh by swindling the public funds. Off-course there is no difference the cannibals and the fraudsters. I am seeing with my open beautiful eyes, you are fighting to death to make sure your agenda passes. Worry not it will pass, And if it doesn't it will be made pass through the tunnel, everything is possible. But note that the day will come all this will end, and that time is very near when the sons of darkness will be overpowered by sons of light. Remember the light of Calvary can't overshadowed. Take it or leaveHUNA JIPYA WEWE KALALE TU KAMA UNA USINGIZI ILI UKUE, weka porojo zako at the end of the day you will vote "yes" kama umeielewa.
Read between the lines, acha mihemko. Kama umeumia kwa nilichoandika pole halikuwa lengo langu kukujeruhi bali kukuelewesha misingi iliyong'olewa na akina chengeweka porojo zako at the end of the day you will vote "yes" kama umeielewa.
HUNA JIPYA WEWE KALALE TU KAMA UNAUSINGIZI ILI UKUE, weka porojo zako at the end of the day you will vote "yes" kama umeielewa.
katiba iliyoandikwa na wezi.... .mafisadi......wala rushwa........unategemea iwe safi???........ipo kimasrahi ya mafisadi kuwatanulia mianya yao ya kula fedha za walala hoi...... Am sorry mr. Chenge vijisenti...
b 2 stealth bomber minus bombs and stealth properties! (i.e brains without gray matter!) bs; usifanye kupost post thread hapa hobby au kupoteza idle tme yako; you need to have what it takes kupost kitu hapa kikapata positive acclaim; ukileta uji uji na story za vijiweni utakutana na mawe mpaka upate msongo wa mawazo, unacheza wewe na jf; linaitwa jamvi la great thinkers; kama unaelewa maana ya kauli hiyo!! Sio watu wa mipasho na bongo flava! Great thinker; you have to put your mind into gear! Think; cogitate and ponder kabla hujabatuka kupost ujiuji hapa! Pole. You are not in my league!
b 2 stealth bomber minus bombs and stealth properties! (i.e brains without gray matter!) bs; usifanye kupost post thread hapa hobby au kupoteza idle tme yako; you need to have what it takes kupost kitu hapa kikapata positive acclaim; ukileta uji uji na story za vijiweni utakutana na mawe mpaka upate msongo wa mawazo, unacheza wewe na jf; linaitwa jamvi la great thinkers; kama unaelewa maana ya kauli hiyo!! Sio watu wa mipasho na bongo flava! Great thinker; you have to put your mind into gear! Think; cogitate and ponder kabla hujabatuka kupost ujiuji hapa! Pole. You are not in my league!
before posting anything serious like this you should remember first that you are not the determinant of my sleepy, only god know when i am going to sleep. I am seeing you as among the national killers who roaming about day and night in the social network to defend the public fund fraudsters. You are claiming to be a saint, while you not. Who knows may be you among the beneficiaries of the daily scams in our beloved nation, you are eating the human fresh by swindling the public funds. Off-course there is no difference the cannibals and the fraudsters. I am seeing with my open beautiful eyes, you are fighting to death to make sure your agenda passes. Worry not it will pass, and if it doesn't it will be made pass through the tunnel, everything is possible. But note that the day will come all this will end, and that time is very near when the sons of darkness will be overpowered by sons of light. Remember the light of calvary can't overshadowed. Take it or leave
B 2 Stealth Bomber minus Bombs and stealth properties! (i.e Brains without gray matter!) Bs; usifanye kupost post thread hapa hobby au kupoteza idle tme yako; you need to have what it takes kupost kitu hapa kikapata positive acclaim; ukileta uji uji na story za vijiweni utakutana na mawe mpaka upate msongo wa mawazo, unacheza wewe na JF; Linaitwa jamvi la Great thinkers; kama unaelewa maana ya kauli hiyo!! sio watu wa mipasho na bongo flava! great thinker; you have to put your mind into gear! think; cogitate and ponder kabla hujabatuka kupost ujiuji hapa! pole. you are not in my league!